The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Kila mmoja anaona mwenendo mbovu w serikali na Bunge letu. Mijadala haieleweki. Serikali haina msimamizi kabisa
Kwa ninavyoona upinzani msilambe asali mkatusaliti 2025 naomba mtupe nafasi tuende bungeni.
Najua mmepigwa stop mikutano ya hadhara lakini tunawasubiri Kwa hamu 2025 mkiliamsha dude.
Mje na ajenda ambazo zitawwacha midomo wazi CCM. Hadi watajuta Kwa nini waliwazuia kuaanza kampaign. Mapema ili wapate majibu.
Nashauri vile ambavyo mliingiza wabunge wengi 2010 napenda iwe ivoivo 2025 maana CCM itakuwa inatambaa.
Tuombe uzima..
Kwa ninavyoona upinzani msilambe asali mkatusaliti 2025 naomba mtupe nafasi tuende bungeni.
Najua mmepigwa stop mikutano ya hadhara lakini tunawasubiri Kwa hamu 2025 mkiliamsha dude.
Mje na ajenda ambazo zitawwacha midomo wazi CCM. Hadi watajuta Kwa nini waliwazuia kuaanza kampaign. Mapema ili wapate majibu.
Nashauri vile ambavyo mliingiza wabunge wengi 2010 napenda iwe ivoivo 2025 maana CCM itakuwa inatambaa.
Tuombe uzima..