Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyuhuyu mbowe ninaemjua? Alieiuza chadema CCM? Ndio awe rais aje kutuuza Kwa mabeberu? Mbowe na pesa nikama samaki na maji mbowe akiwa rais nahama nchi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mbowe ndio rais ajaye.
Kimewauma mnooBinadamu hamna jema,
Akileta siasa za jino kwa jino, tatizo akiamua kushirikiana na watawala pia tatizo, jema lipi ndugu zetu “wahafidhina”???
Kimewauma mnoo
Wa nchi gani aloo,Mbowe ndio rais ajaye.
Binadamu hawana jemaRoho mbayaa za chuki.
Binadamu hawana jema
Kwani jela kakaa peke yake? Hakuna wafuasi wa chadema wako jela mpaka Leo? Sisi wengine tulikaa lokapu oysterbay mwezi mzima tulikamatwa siku tatu kabla ya uchaguzi yote hayo tunakipambania chama alafu Leo mbowe kalamba asali anakiuwa chama nyie nzi wake mnaona sawa tuMumuache na yeye ale, wakati Yuko jela hamkuandamana Wala nini, mnataka mwenzenu aumie tu, Mbowe hebu kula, usisikilize hao wasio na muelekeo
Sukuma Gang mna mtazamo wa kishamba na kimasikini sana.
Achana nao hao,acha mbowe ale bataBinadamu hamna jema,
Akileta siasa za jino kwa jino, tatizo akiamua kushirikiana na watawala pia tatizo, jema lipi ndugu zetu “wahafidhina”???
Hii itakuwa asali ya nyuki wadogo. Nitam sana, kila mara utaitaka tu!
wa mnapenda sana kuongozwa na wanyonge? Ili mpige hela? Sasa ni wakati wa kuongozwa na matajiri na wanaojua uchumi la sivyo nchi hii haiendi popote.Wa nchi gani aloo,
Bora tumuache bi mkubwa tu
Kwisha habari yenu mulibanaa sasa mumeachia kilaini kwa mama sasa mnafaidi matunda ya mapinduzi, Tz itahitaji miaka 100 zaidi kupata upinzani wa kweli, Tundu lissu naye kashikwa ni Belgium haweze kuvumilia hata wiki 1 TanzaniaBinadamu hamna jema,
Akileta siasa za jino kwa jino, tatizo akiamua kushirikiana na watawala pia tatizo, jema lipi ndugu zetu “wahafidhina”???