Chadema mteueni Lema awe mwenezi au msemaji wenu maana kila siku yuko mtandaoni

Chadema mteueni Lema awe mwenezi au msemaji wenu maana kila siku yuko mtandaoni

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Inaonekana Godbles Lema hawaamini akina Mnyika wala yule mkurugenzi wao yeye akiwa na hoja anaita press anaongea t, tena anaongea as if chama chake hakina wasemaji.

Ukiwa na chama cha namna hii ni hatari sana, kesho john Mrema ataongea, kesho Mnyika ataongea, keshokutwa Lissu, keshokutwa yake Mbowe, siku nyingine yule wa Bawacha na siku nyingine yule wa Bavicha, wakati mwingine yule ataongea yule aliyekuwa meya manispaa ubungo.
 
Inaonekana Godbles Lema hawaamini akina Mnyima wala yule mkurugenzi wao yeye akiwa na hoja anaita press anaongea t, tena anaongea as if chama chake hakina wasemaji.

Ukiwa na chama cha namna hii ni hatari sana, kesho john Mrema ataongea, kesho Mnyika ataongea, keshokutwa Lissu, keshokutwa yake Mbowe, siku nyingine yule wa Bawacha na siku nyingine yule wa Bavicha, wakati mwingine yule bonge jinga aliyekuwa meya manispaa ubungo, hiki chama au upuuzi
Hayakuhusu achana na Chadema kabisa, yaani wewe fisiem uishauri Chadema?
 
Inaonekana Godbles Lema hawaamini akina Mnyima wala yule mkurugenzi wao yeye akiwa na hoja anaita press anaongea t, tena anaongea as if chama chake hakina wasemaji.

Ukiwa na chama cha namna hii ni hatari sana, kesho john Mrema ataongea, kesho Mnyika ataongea, keshokutwa Lissu, keshokutwa yake Mbowe, siku nyingine yule wa Bawacha na siku nyingine yule wa Bavicha, wakati mwingine yule bonge jinga aliyekuwa meya manispaa ubungo, hiki chama au upuuzi
hanaga hata point za kuongea anatukana wapiga kura wenyewe ataharibu chama
 
Inaonekana Godbles Lema hawaamini akina Mnyima wala yule mkurugenzi wao yeye akiwa na hoja anaita press anaongea t, tena anaongea as if chama chake hakina wasemaji.

Ukiwa na chama cha namna hii ni hatari sana, kesho john Mrema ataongea, kesho Mnyika ataongea, keshokutwa Lissu, keshokutwa yake Mbowe, siku nyingine yule wa Bawacha na siku nyingine yule wa Bavicha, wakati mwingine yule bonge jinga aliyekuwa meya manispaa ubungo, hiki chama au upuuzi
Kasaidia nini kushinda kwake mtandaoni zaidi ya kuposti upuuzi tu!
 
Inaonekana Godbles Lema hawaamini akina Mnyima wala yule mkurugenzi wao yeye akiwa na hoja anaita press anaongea t, tena anaongea as if chama chake hakina wasemaji.

Ukiwa na chama cha namna hii ni hatari sana, kesho john Mrema ataongea, kesho Mnyika ataongea, keshokutwa Lissu, keshokutwa yake Mbowe, siku nyingine yule wa Bawacha na siku nyingine yule wa Bavicha, wakati mwingine yule bonge jinga aliyekuwa meya manispaa ubungo, hiki chama au upuuzi
stupid as stupid does by Fatma karume
 
Lema ni TLP damdam. Huko CHADEMA kaenda kibiashara zaidi. Ana kashfa ya kuuza ubunge wake 2005 akiwa TLP.
 
Inaonekana Godbles Lema hawaamini akina Mnyima wala yule mkurugenzi wao yeye akiwa na hoja anaita press anaongea t, tena anaongea as if chama chake hakina wasemaji.

Ukiwa na chama cha namna hii ni hatari sana, kesho john Mrema ataongea, kesho Mnyika ataongea, keshokutwa Lissu, keshokutwa yake Mbowe, siku nyingine yule wa Bawacha na siku nyingine yule wa Bavicha, wakati mwingine yule bonge jinga aliyekuwa meya manispaa ubungo, hiki chama au upuuzi
Huyu Lema hana kazi ya kufanya ,kule CANADA haiwezi ishi kwa maana kuna mzigo wa mke na watoto na wafadhili hawako tayari kulisha baba mama na watoto.
 
Unamuonaga vipi huko?!! Muda wote na wewe uko huko_ Kwanini?
 
Kasaidia nini kushinda kwake mtandaoni zaidi ya kuposti upuuzi tu!
Unafikiri Mwenyekiti wa SACCOS asingekuwa ni ndugu yake Lema angepata wapi sauti ya kuwa msemaji wa SACCOS.
Lema ni TLP damdam. Huko CHADEMA kaenda kibiashara zaidi. Ana kashfa ya kuuza ubunge wake 2005 akiwa TLP.
si afadhali ya kuuza ubunge kuliko ile wanayosema kuwa alikuwa ni mwizi wa magari?
Lema kama Mchungaji Msigwa

Kunya anye Kuku akinya Bata....😂🐼
mchungaji maigwa anayo akili sio kama Lema
 
Lema ukimsikiliza , unajiuliza huyu jamaa anadhani mambo ya Nchi yanashuka tuu kama mana ile ya jangwani. Nchi inahitaji kujengwa kwa kujitoa sio hadithi zake za kutoka bongo iwe kama ulaya. Hata huko ulaya mambo sio mepesi kama anvyosimulia
 
Back
Top Bottom