Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Hayakuhusu achana na Chadema kabisa, yaani wewe fisiem uishauri Chadema?Inaonekana Godbles Lema hawaamini akina Mnyima wala yule mkurugenzi wao yeye akiwa na hoja anaita press anaongea t, tena anaongea as if chama chake hakina wasemaji.
Ukiwa na chama cha namna hii ni hatari sana, kesho john Mrema ataongea, kesho Mnyika ataongea, keshokutwa Lissu, keshokutwa yake Mbowe, siku nyingine yule wa Bawacha na siku nyingine yule wa Bavicha, wakati mwingine yule bonge jinga aliyekuwa meya manispaa ubungo, hiki chama au upuuzi
hanaga hata point za kuongea anatukana wapiga kura wenyewe ataharibu chamaInaonekana Godbles Lema hawaamini akina Mnyima wala yule mkurugenzi wao yeye akiwa na hoja anaita press anaongea t, tena anaongea as if chama chake hakina wasemaji.
Ukiwa na chama cha namna hii ni hatari sana, kesho john Mrema ataongea, kesho Mnyika ataongea, keshokutwa Lissu, keshokutwa yake Mbowe, siku nyingine yule wa Bawacha na siku nyingine yule wa Bavicha, wakati mwingine yule bonge jinga aliyekuwa meya manispaa ubungo, hiki chama au upuuzi
Kasaidia nini kushinda kwake mtandaoni zaidi ya kuposti upuuzi tu!Inaonekana Godbles Lema hawaamini akina Mnyima wala yule mkurugenzi wao yeye akiwa na hoja anaita press anaongea t, tena anaongea as if chama chake hakina wasemaji.
Ukiwa na chama cha namna hii ni hatari sana, kesho john Mrema ataongea, kesho Mnyika ataongea, keshokutwa Lissu, keshokutwa yake Mbowe, siku nyingine yule wa Bawacha na siku nyingine yule wa Bavicha, wakati mwingine yule bonge jinga aliyekuwa meya manispaa ubungo, hiki chama au upuuzi
stupid as stupid does by Fatma karumeInaonekana Godbles Lema hawaamini akina Mnyima wala yule mkurugenzi wao yeye akiwa na hoja anaita press anaongea t, tena anaongea as if chama chake hakina wasemaji.
Ukiwa na chama cha namna hii ni hatari sana, kesho john Mrema ataongea, kesho Mnyika ataongea, keshokutwa Lissu, keshokutwa yake Mbowe, siku nyingine yule wa Bawacha na siku nyingine yule wa Bavicha, wakati mwingine yule bonge jinga aliyekuwa meya manispaa ubungo, hiki chama au upuuzi
ππ½ββοΈππ½ββοΈππ½ββοΈ !Anapunguza stress mitandaoni, benki zote zinamdai, achilia mbali songesha
Huyu Lema hana kazi ya kufanya ,kule CANADA haiwezi ishi kwa maana kuna mzigo wa mke na watoto na wafadhili hawako tayari kulisha baba mama na watoto.Inaonekana Godbles Lema hawaamini akina Mnyima wala yule mkurugenzi wao yeye akiwa na hoja anaita press anaongea t, tena anaongea as if chama chake hakina wasemaji.
Ukiwa na chama cha namna hii ni hatari sana, kesho john Mrema ataongea, kesho Mnyika ataongea, keshokutwa Lissu, keshokutwa yake Mbowe, siku nyingine yule wa Bawacha na siku nyingine yule wa Bavicha, wakati mwingine yule bonge jinga aliyekuwa meya manispaa ubungo, hiki chama au upuuzi
Unafikiri Mwenyekiti wa SACCOS asingekuwa ni ndugu yake Lema angepata wapi sauti ya kuwa msemaji wa SACCOS.Kasaidia nini kushinda kwake mtandaoni zaidi ya kuposti upuuzi tu!
Unafikiri Mwenyekiti wa SACCOS asingekuwa ni ndugu yake Lema angepata wapi sauti ya kuwa msemaji wa SACCOS.Kasaidia nini kushinda kwake mtandaoni zaidi ya kuposti upuuzi tu!
si afadhali ya kuuza ubunge kuliko ile wanayosema kuwa alikuwa ni mwizi wa magari?Lema ni TLP damdam. Huko CHADEMA kaenda kibiashara zaidi. Ana kashfa ya kuuza ubunge wake 2005 akiwa TLP.
mchungaji maigwa anayo akili sio kama LemaLema kama Mchungaji Msigwa
Kunya anye Kuku akinya Bata....ππΌ