Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,179
- 26,188
Ndivyo mlivyo so hamtuumizi kichwa,twajua vizuriHujitambui
Majizi yalisha wanunua kwa viroba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndivyo mlivyo so hamtuumizi kichwa,twajua vizuriHujitambui
Majizi yalisha wanunua kwa viroba
Ndivyo mlivyo so hamtuumizi kichwa,twajua vizuriHujitambui
Majizi yalisha wanunua kwa viroba
Kwa hiyo wewe hautaki balaa tusilolipenda libatilishwe? Vita huwa vinamalizika kwa majeshi ya pande hasimu kupewa amri ya kurudi nyuma. Mbowe ni M/kiti,kwa akili zako anaweza kushindwa "kutoa maagizo" ya kuahirisha balaa hili niksi linaloweza kusababisha umwagikaji wa damu?Hahaha nimeshindwa hata kusoma huu ugoro wako ,wamesitisha ,Lowasa yuko Mbeya ,juzi Mbowe alikua Arusha ,kina Beregu walikua wanachanja mbuga huko wakapata ajali ,Lisu yupo makao makuu anaandaa mashitaka ,Sumaye naye anapiga jaramba Pwani ,mweee hii ngoma mbona nzito
Utanipotezea muda kukujibu ,endelea na wengineKwa hiyo wewe hautaki balaa tusilolipenda libatilishwe? Vita huwa vinamalizika kwa majeshi ya pande hasimu kupewa amri ya kurudi nyuma. Mbowe ni M/kiti,kwa akili zako anaweza kushindwa "kutoa maagizo" ya kuahirisha balaa hili niksi linaloweza kusababisha umwagikaji wa damu?
Ndiyo nyie vichochezi visivyokuwa na mbele wala nyuma. Na siku "pendwa" ikifika wewe utakuwa bar umejificha,"umeufyata" unalewa na wala maandamano hautashiriki,bali utayaangalia kwenye luninga za kwenye ulevi.
Utanipotezea muda kukujibu ,endelea na wengine