Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika mkuu,ni ukweli mtupu!
Kwa walipofikia hawawezi kusitisha. Tumaini peke yake walilobaki nalo Viongozi wa Chyademan walilobaki nalo ni Poliysi wazingire nyumba zao ikifika hiyo sep 1.
Polysi wakizingira nyumba zao mkakati wa Viongozi wa Chyademan kutoshiriki maandamano utakuwa umefanikiwa.
Ombi langu kwa Polisi wasiwafate Majumbani wawasubiri Mitaani.
Hatuzijui au HUZIJUI..?? Uzuri wa jina la CCM unaujuwa lakini makashfa yake unayajuwa?Sababu za UKUTA hatuzijui ila jina lenyewe UKUTA sio zuri
Hata tulipoandamana kupinga ufisadi bado mlikebehi na kutupiga mabomu ya machozi na Risasi za moto!Wao wafanye wasifanye
Maandamano kama hayo hushiriki wasio jitambua.
Mwenye akili zake hawezi kuandamana kwa hoja za kijinga kama hizo,
Ufisadi umewapoteza leo wamekosa hoja wanakuja na upuzi upuzi!!!
Mimi sita weka msiba wala kuumia kwa lolote litakalo tokea Tar 01
MAGU NI WATOFAUTI SANA
Hivi hoja za kijinga ni zipi? Kati ya watu kudai haki yao kwa mujibu wa katiba na hoja ya kuita watu 2000 kwenye uchaguzi wa mwenyekiti halafu hamna uchaguzi mtu anapewa kijiti? Yaani wajinga siku zote hawawezi kuona mbeleWao wafanye wasifanye
Maandamano kama hayo hushiriki wasio jitambua.
Mwenye akili zake hawezi kuandamana kwa hoja za kijinga kama hizo,
Ufisadi umewapoteza leo wamekosa hoja wanakuja na upuzi upuzi!!!
Mimi sita weka msiba wala kuumia kwa lolote litakalo tokea Tar 01
MAGU NI WATOFAUTI SANA
Viroba tatizoHivi hoja za kijinga ni zipi? Kati ya watu kudai haki yao kwa mujibu wa katiba na hoja ya kuita watu 2000 kwenye uchaguzi wa mwenyekiti halafu hamna uchaguzi mtu anapewa kijiti? Yaani wajinga siku zote hawawezi kuona mbele
HujitambuiHata tulipoandamana kupinga ufisadi bado mlikebehi na kutupiga mabomu ya machozi na Risasi za moto!
Siku za mbele tukimalza la udikteta mtasema tumeacha jambo la msingi kupigania demokrasia!Ndivyo mlivyo
Hayo yakoAmini, sadam, gadafi walikuwa wa tofauti pia!
Porojo zenu tulisha zoeaTutashiriki ili mshangae mlivyowajinga nyie mnaoishi kwenye giza ya kuongozwa na akili ya mtu mmoja
Viroba tatizoInaonekana UKUTA umewaingia lumumba kuliko hata sisi chadema.. Hahahaa wenzetu hamlali.. Na mkilala mnauota UKUTA.. sisi akha.. tunaisubiri kwa hamu September mosi tufanye yetu.. Polisi hawana uwezo wa kutuzuia na ndo maana wanatishia watu kwa mazoezi.. Mama ni mechi bc.. Chadema 3 na polisiccm 0 na dakika ni ya 89 na mwamuzi anaangalia saa yke kuashiria mechi kuisha... Hahaaa namuona uncle magu haamini kilicho tokea.. teh teh teh teh.. Kashika kiuno kuashiria mzee mzima UKUTA ume mchosha...
Ujinga ni pale unapo hisi maandamano hayapo kwa mujibu wa katibaWao wafanye wasifanye
Maandamano kama hayo hushiriki wasio jitambua.
Mwenye akili zake hawezi kuandamana kwa hoja za kijinga kama hizo,
Ufisadi umewapoteza leo wamekosa hoja wanakuja na upuzi upuzi!!!
Mimi sita weka msiba wala kuumia kwa lolote litakalo tokea Tar 01
MAGU NI WATOFAUTI SANA
Hayo yako
Hata wasipo hairisha
UKUTA umeshindwa tayari
Kyela wala hamna maandalizi yyt ya UKUTA
Wala hatuna habari nao
Tumeshtuka
Akili za BAVICHAWe na mke Acha sweeping statements