Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani akulinde bila kibali cho OCD?Hatutakubali kusimamisha mikutano, tunachohitaji ni ulinzi tu basi full stop
Kijana huyo ni Mbowe kasema.Nyie watu wa ajabu sana akitangaza UKUTA mnalialia sasa anataka kusitisha mnalialia, tuwaeleweje? Mnajua lengo la UKUTA? Hizi ni dalili kuwa mnapiga kelele tu bila kueLewa dhana nzima ya UKUTA
Wasira aliyesema CDM itakufa kabla ya sijui 2010 leo ametoka hadharani na kuona logic behind UKUTA lakini nyie wamezaji ndio hamuelewi
Ndio hapo sasa.Nani akulinde bila kibali cho OCD?
Tusubiri mkuu...mbivu na mbichi...hata mita miambili mbowe alisema watakaa baadaye yakayeyuka.Wakaishi wapi? Kwa Fisadi Lowasa or?
Washachemka..Ndiyo maana sina Chama na siwezi kuamini mwana siasa yeyote.
Hakika mkuu.Ameona uzi wa magu haulegei, picha ya damu kumwagika kaiona kupitia mazoezi ya vijana wa jeshi la polisi kuwa hawatanii!
Unapingana na ukweli kijana.Kiwanda cha uzushi uongo na umbea katika ubora wake
Hakika,Magufuli hajaribiwi.Wameshalegea. Hata hivyo, tutaweka majeshi yetu standby
Hakika mkuu,ni ukweli mtupu!Hii kweli?
Hakika mkuu,ni ukweli mtupu!
Hakika mkuu umeileta kama ilivyotakiwa...ninanukuu picha hizi kuongeza mvuto wa hoja.Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema kuwa chama chake kiko tayari kusitisha mikutano na maandamano ya Septemba 1 yaliyotajwa kuwa sehemu ya Operesheni UKUTA, endapo yataanzishwa mazungumzo kutafuta muafaka.
![]()
Freeman Mbowe akizungumza na baadhi ya viongozi wa Chadema, Kanda ya Kaskazini
Mbowe ambaye hivi sasa yuko kanda ya Kaskazini akipanga mikakati na viongozi wa chama hicho kuhusu namna ya kuratibu na kutekeleza operesheni UKUTA, amesema kuwa wako tayari kusitisha mpango huo na kushiriki mazungumzo yoyote yatakayoanzishwa.
“Tutashiriki mazungumzo yoyote ya kusaka muafaka na kama matamko ya Rais Magufuli yakibalishwa. Tutawaeleza wanachama kusitisha mikutano ya Septemba 1 na kuendelea na mikutano ya kawaida,” alisema Mbowe.
![]()
Baadhi ya viongozi wa Chadema Kanda ya Kaskazini wakimsikiliza Mwenyekiti wa chama, Freeman Mbowe
Kiongozi huyo wa Chadema alitangaza kufanyika kwa Operesheni Ukuta nchi nzima na kwamba Kamati Kuu ya Chama hicho imeridhia kufanya maandamano na mikutano nchi nzima kwa lengo la kupinga kile walichodai ni kuminywa kwa demokrasia ndani na nje ya Bunge.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba amewataka kusitisha maandamano hayo akieleza kuwa kama walizoea kutikisa kiberiti, wakati huu hiki ni kiberiti cha gesi.
Tatizo CHADEMA hawana hata ofisiKama wameamua kusitisha maandamano basi hiyo tarehe 1/9/2016 wana CHADEMA wafanye hata usafi wa mitaro na KUTA mbalimbali zinazozunguka majengo mbalimbali. Uchafu bado ni kero kubwa sana mitaani.
Mpigie simu Mbowe atakujulisja1: hiyo kauli imetolewa wapi? Maudhui gani?
Polisi na hii serikali ya Magufuli inajua ni kiasi gani chadema imewekeza katika hiyo operation UKUTA na wanajua vyema Kuwa hili swala haliwezi pita kama wengi wenu mnavyojifariji humu ndani.
Kama ni kweli hiyo kauli imetolewa na Kamanda Mbowe, basi ni wazi Kuwa maandalizi ya UKUTA yameshakamilika kwa zaidi ya asilimia 95% na kinachofanyika ni kumalizia kujenga msingi wa kumfikisha Mfalme Inc tarehe husika
Hatutakubali kusimamisha mikutano, tunachohitaji ni ulinzi tu basi full stop