Tetesi: CHADEMA muda wowote kusitisha Oparesheni UKUTA

Tetesi: CHADEMA muda wowote kusitisha Oparesheni UKUTA

Status
Not open for further replies.
Taratibu naanza kukumbuka ile stop walio pigwa baa ya vichaa walipo sisitiza kwenda Dodoma kuwasaidia polisi kuzuia mkutano wa Ccm usifanyike
vijana morali ilikuwa juu sana tangazo likapita kuwa wameandikisha zaidi ya vijana elfu tano nchi ikaanza kuhamaki tukaamini labda wapo serious dah Mara ghiiiiiiiiiiiiiiiiii so tegemea Mkuu hilo kutokea mana kama serikali itaona kuwa ni tishio wanaweza omba mazungumzo sasa mbowe yeye ndo anaomba mazungumzo
Mbowe anatafuta sababu ili ionekane serikali inataka mazngumzo.
 
Hii zama nyingine litakalokua na liwe magu mazungumzo No
 
Yani hakutakua na ukuta wala uzio hapa.Hizo nisinema tu na soon utasikia wameachana nahiyo operesheni yao
 
Nimeshajiandaa kwa lolote....! Ila wajukuu zangu wapate mahali salama pa kuishi miaka ijayo
 
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema kuwa chama chake kiko tayari kusitisha mikutano na maandamano ya Septemba 1 yaliyotajwa kuwa sehemu ya Operesheni UKUTA, endapo yataanzishwa mazungumzo kutafuta muafaka. Mbowe ambaye hivi sasa yuko kanda ya Kaskazini akipanga mikakati na viongozi wa chama hicho kuhusu namna ya kuratibu na kutekeleza operesheni UKUTA, amesema kuwa wako tayari kusitisha mpango huo na kushiriki mazungumzo yoyote yatakayoanzishwa ( Source😀ar 24)

My take;
Huu ni mwanzo wa Mbowe kubadili gia angani nina uhakika kabisa moyoni mwake hakuna kitu kama ukutani!. Je kama wakisitisha 'udikteta' wa raisi utakwisha?...ni jibu gani anategemea kutoka serikalini?...anaamini ataruhusiwa kuendelea na mikutano na maandamano?...au safari ya Ogasti,28 ni kweli?

=======

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema kuwa chama chake kiko tayari kusitisha mikutano na maandamano ya Septemba 1 yaliyotajwa kuwa sehemu ya Operesheni UKUTA, endapo yataanzishwa mazungumzo kutafuta muafaka.

Mbowe ambaye hivi sasa yuko kanda ya Kaskazini akipanga mikakati na viongozi wa chama hicho kuhusu namna ya kuratibu na kutekeleza operesheni UKUTA, amesema kuwa wako tayari kusitisha mpango huo na kushiriki mazungumzo yoyote yatakayoanzishwa.

“Tutashiriki mazungumzo yoyote ya kusaka muafaka na kama matamko ya Rais Magufuli yakibalishwa. Tutawaeleza wanachama kusitisha mikutano ya Septemba 1 na kuendelea na mikutano ya kawaida,” alisema Mbowe.

Kiongozi huyo wa Chadema alitangaza kufanyika kwa Operesheni Ukuta nchi nzima na kwamba Kamati Kuu ya Chama hicho imeridhia kufanya maandamano na mikutano nchi nzima kwa lengo la kupinga kile walichodai ni kuminywa kwa demokrasia ndani na nje ya Bunge.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba amewataka kusitisha maandamano hayo akieleza kuwa kama walizoea kutikisa kiberiti, wakati huu hiki ni kiberiti cha gesi.

Source: Dar24


Chadema wako kama Wanawake, siku zote Mwanamke akitaka kitu huwa akwambii moja kwa moja bali hukuanzishia visa, na kila unapompuuzia basi visa huongezeka, labda ndiyo maana Wanachama karibia wote wa chadema wana matatizo kwenye ndoa zao kwa maana Wanawake wanashindwa kujua yupi Mwanamke na yupi Mwanaume yaani wanaleta ushindani kwa wake zao!!
Hakuna majadiliano na takataka yoyote ili tuone hiyo Septemba Mosi watafanya nini!
 
Chadema wako kama Wanawake, siku zote Mwanamke akitaka kitu huwa akwambii moja kwa moja bali hukuanzishia visa, na kila unapompuuzia basi visa huongezeka!
Hakuna majadiliano na yoyote ili tuone hiyo Septemba Mosi watafanya nini!
CHADEMA ni hatari.
 
Ameona uzi wa magu haulegei, picha ya damu kumwagika kaiona kupitia mazoezi ya vijana wa jeshi la polisi kuwa hawatanii!
 
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema kuwa chama chake kiko tayari kusitisha mikutano na maandamano ya Septemba 1 yaliyotajwa kuwa sehemu ya Operesheni UKUTA, endapo yataanzishwa mazungumzo kutafuta muafaka. Mbowe ambaye hivi sasa yuko kanda ya Kaskazini akipanga mikakati na viongozi wa chama hicho kuhusu namna ya kuratibu na kutekeleza operesheni UKUTA, amesema kuwa wako tayari kusitisha mpango huo na kushiriki mazungumzo yoyote yatakayoanzishwa ( Source😀ar 24)

My take;
Huu ni mwanzo wa Mbowe kubadili gia angani nina uhakika kabisa moyoni mwake hakuna kitu kama ukutani!. Je kama wakisitisha 'udikteta' wa raisi utakwisha?...ni jibu gani anategemea kutoka serikalini?...anaamini ataruhusiwa kuendelea na mikutano na maandamano?...au safari ya Ogasti,28 ni kweli?

=======

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema kuwa chama chake kiko tayari kusitisha mikutano na maandamano ya Septemba 1 yaliyotajwa kuwa sehemu ya Operesheni UKUTA, endapo yataanzishwa mazungumzo kutafuta muafaka.

Mbowe ambaye hivi sasa yuko kanda ya Kaskazini akipanga mikakati na viongozi wa chama hicho kuhusu namna ya kuratibu na kutekeleza operesheni UKUTA, amesema kuwa wako tayari kusitisha mpango huo na kushiriki mazungumzo yoyote yatakayoanzishwa.

“Tutashiriki mazungumzo yoyote ya kusaka muafaka na kama matamko ya Rais Magufuli yakibalishwa. Tutawaeleza wanachama kusitisha mikutano ya Septemba 1 na kuendelea na mikutano ya kawaida,” alisema Mbowe.

Kiongozi huyo wa Chadema alitangaza kufanyika kwa Operesheni Ukuta nchi nzima na kwamba Kamati Kuu ya Chama hicho imeridhia kufanya maandamano na mikutano nchi nzima kwa lengo la kupinga kile walichodai ni kuminywa kwa demokrasia ndani na nje ya Bunge.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba amewataka kusitisha maandamano hayo akieleza kuwa kama walizoea kutikisa kiberiti, wakati huu hiki ni kiberiti cha gesi.

Source: Dar24
Waendelee tu,anafikiri Jpm ana muda wa kuwaita ikulu wanywe chai...
Utawala huu sio jk,mazungumzo watayaskia tu..
 
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema kuwa chama chake kiko tayari kusitisha mikutano na maandamano ya Septemba 1 yaliyotajwa kuwa sehemu ya Operesheni UKUTA, endapo yataanzishwa mazungumzo kutafuta muafaka. Mbowe ambaye hivi sasa yuko kanda ya Kaskazini akipanga mikakati na viongozi wa chama hicho kuhusu namna ya kuratibu na kutekeleza operesheni UKUTA, amesema kuwa wako tayari kusitisha mpango huo na kushiriki mazungumzo yoyote yatakayoanzishwa ( Source😀ar 24)

My take;
Huu ni mwanzo wa Mbowe kubadili gia angani nina uhakika kabisa moyoni mwake hakuna kitu kama ukutani!. Je kama wakisitisha 'udikteta' wa raisi utakwisha?...ni jibu gani anategemea kutoka serikalini?...anaamini ataruhusiwa kuendelea na mikutano na maandamano?...au safari ya Ogasti,28 ni kweli?

=======

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema kuwa chama chake kiko tayari kusitisha mikutano na maandamano ya Septemba 1 yaliyotajwa kuwa sehemu ya Operesheni UKUTA, endapo yataanzishwa mazungumzo kutafuta muafaka.

Mbowe ambaye hivi sasa yuko kanda ya Kaskazini akipanga mikakati na viongozi wa chama hicho kuhusu namna ya kuratibu na kutekeleza operesheni UKUTA, amesema kuwa wako tayari kusitisha mpango huo na kushiriki mazungumzo yoyote yatakayoanzishwa.

“Tutashiriki mazungumzo yoyote ya kusaka muafaka na kama matamko ya Rais Magufuli yakibalishwa. Tutawaeleza wanachama kusitisha mikutano ya Septemba 1 na kuendelea na mikutano ya kawaida,” alisema Mbowe.

Kiongozi huyo wa Chadema alitangaza kufanyika kwa Operesheni Ukuta nchi nzima na kwamba Kamati Kuu ya Chama hicho imeridhia kufanya maandamano na mikutano nchi nzima kwa lengo la kupinga kile walichodai ni kuminywa kwa demokrasia ndani na nje ya Bunge.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba amewataka kusitisha maandamano hayo akieleza kuwa kama walizoea kutikisa kiberiti, wakati huu hiki ni kiberiti cha gesi.

Source: Dar24
Nyie watu wa ajabu sana akitangaza UKUTA mnalialia sasa anataka kusitisha mnalialia, tuwaeleweje? Mnajua lengo la UKUTA? Hizi ni dalili kuwa mnapiga kelele tu bila kueLewa dhana nzima ya UKUTA

Wasira aliyesema CDM itakufa kabla ya sijui 2010 leo ametoka hadharani na kuona logic behind UKUTA lakini nyie wamezaji ndio hamuelewi
 
History shows kwamba the current person in power hana tabia ya kukaa na kusort things out, anatumia brute force zaidi so i doubt that will happen
Ila a week is a long time, anything can happen, so we just have to wait and see
Hajawahi na hatawahi kukaa na kupga soga...
N man of actions
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom