Katuwakilishe vyema. Mtuletee Lissu amtoe huyu aliyegoma kuongeza mshahara kwa miaka 5 kwa sababu mfu
Wafuasi wa Lissu hawajiamini.chaguo la wajumbe ni Nyarandu.
Watapitishaje mgonjwa bana ataweza kuzunguka nchi nzima au mnataka kumtesa mwenzenu tu.Hebu kuweni na huruma.Nyalandu mbona mashine safi tu.wakishindwa mpitisha chuma a.k.a lissu itakua basi tena jambo ambalo najua haliwezekani hata siku moja nyarandu sio kwa sasa mda huu
mkuu iyo mashine au simba wa yuda kwa jina linguine, tumemisi mishemishe na mashamsham ya siasa ,mambo ya ugonjwa kila mtu ni mgonjwa tu kwani we binafsi mara ya mwisho kufanya check up ya mwili wako ilikua lini mpaka useme we sio mgonjwa? sasa lisu anatuzidi maana tangu amepata matatizo amechekiwa kila mahala na bado anaendelea chekiwaWatapitishaje mgonjwa bana ataweza kuzunguka nchi nzima au mnataka kumtesa mwenzenu tu.Hebu kuweni na huruma.Nyalandu mbona mashine safi tu.
Nyalandu ndo yupi?Ukimpigia nyalandu ujue umempigia ccm B
Tutakosa burudani ya uchaguzi asipokuwepo lissu.Upo uwezekano huo kwani ccm inafanya kila jitihada Lisu asiwe mgombea Urais wa chadema na wengi wakiona Lisu hayupo watavujika moyo na huenda siku ya kupiga kura wasijitokeze kupiga kura, uchaguzi ugubikwe na wapiga kura Wachache zaidi
Tutakosa show za bure na remix ya mond na kiba ndo haitoki tena.Raha ya uchaguzi iwepo competition.1995 mrema 2015 Lowasa na 2020 Lisu kinyume na Lisu uchaguzi hautakuwa na moto mkali utapooza na kumpa nafasi jiwe kuingia ikulu asubuhi mapema
YaahhhhTutakosa show za bure na remix ya mond na kiba ndo haitoki tena.Raha ya uchaguzi iwepo competition.
Kushinda au kushindwa ni matokeo, burudani ni muhimu.
Bwashee Yohana Mbatizaji tangu lini mambo ya CHADEMA yakakuhusu. Nakuonya on a very serious note. Hatutaki ushauri wako wa nani tumchague awe mgombea watu wa uRais. Shughulika na yenu ya Lumumba!Bora mngechapisha fomu moja tu kama vipi!
Siyo watu wanunue fomu halafu kumbe tayari mna jina lenu mfukoni.