Pre GE2025 CHADEMA Mwanza kuandamana kesho Februari 19, 2025 hadi ofisi ya Mkuu wa Mkoa kupinga mauaji na utekaji wa viongozi wao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wana hamu ya kupigwa, RC alishaeleza waende viongozi atawakabidhi jeshi la polisi. Inaonekans hawana kazi ya kufanya na wana hamu ya virungu. Kwa hiyo kila akipotea mtu tuandamane?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…