Pre GE2025 CHADEMA mwombeni Rais Donald Trump ku-push hoja yenu ya uchaguzi huru na haki

Pre GE2025 CHADEMA mwombeni Rais Donald Trump ku-push hoja yenu ya uchaguzi huru na haki

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Gabeji

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
1,530
Reaction score
1,903
Marekani ndio nchi iliyoanzisha democrasia katika mfumo wa vyama vingi.
Marekani kupitia IMF , WORLD BANK, wameineza sera ya democrasia, katika nchi masikini kuanzia miaka ya 1980s. Nguvu ya uma ni muhimu sana katika kuleta mabadiliko ya kweli ndani ya Tanzania.

Lakini kulingana na asili yetu, utamaduni, elimu dini ya uzalendo, pamoja na uchawa ndani ya taifa Tanzania ni ngumu sana tena sana kuunganisha uma kwa pamoja tukawa na nguvu ya mabadiliko.

Hivyo mh Tundu Lisu fanya mazungumzo na viongozi mashauli duniani wanao amini katika uchaguzi wa uhuru na haki ktk kupushi hoja ya " No reform No election" akiwemo Trump wa USA.

Serikali ya ccm inatumia polisi, tiss, kutisha watu, kutokana na sbb hizo juu, ni ngumu mno tena mno kuzuia uchaguzi Tanzania eti kwa kutumia nguvu ya uma pekee! (Ignorance, selfishness, betrayal, egoism na uchawa).

Mungu akulinde Tundu Lisu, ili ufanikiwe,ktk kuongoza mabadiliko ya kweli.
Mungu ibariki CHADEMA, Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
 
Sera ya Trump ni América First. Hana muda na Tanzania. Hata hizo demokrasia walizoeneza miaka ya 1980 walieneza kwa maslahi yao si kwa sababu wanatupenda.

Mbona hawakupeleka demokrasia nchi za uarabuni? Ina maana waarabu hawastahili kuwa na demokrasia au?

Mabadiliko ya kweli ni yale yatakayotokea ndani ya nchi, yatakayoongozwa na wananchi wenyewe. Ukitaka Trump apush agenda yako andaa na migodi kadhaa ya mádini kabisa ili agenda yako ikipita anakuja kuchimba.

Tunatakiwa kuondokana na fikra za utegemezi. Kama tunataka mabadiliko tuwe tayari sisi wenyewe kuyapambania.

Tusitegemee msaada wa mtu yoyote. Hakuna anayetupenda huko nje ya nchi. Hata hapo Kenya wako busy na mambo yao, ya kwetu hayawahusu. Sembuse Trump?
 
Mna kipi cha kuwapa...?........
Kwa sasa kila mtu na maslahi yake......wale wakutoa pesa halafu mnauza marinda wameshatolewa hawa wa sasa anakupa msaada anataka madini au kitu kingine cha thamani ......enzi za wakina Biden na Usaid yao zimepita
 
Sera ya Trump ni América First. Hana muda na Tanzania. Hata hizo demokrasia walizoeneza miaka ya 1980 walieneza kwa maslahi yao si kwa sababu wanatupenda. Mbona hawakupeleka demokrasia nchi za uarabuni? Ina maana waarabu hawastahili kuwa na demokrasia au? Mabadiliko ya kweli ni yale yatakayotokea ndani ya nchi, yatakayoongozwa na wananchi wenyewe. Ukitaka Trump apush agenda yako andaa na migodi kadhaa ya mádini kabisa ili agenda yako ikipita anakuja kuchimba. Tunatakiwa kuondokana na fikra za utegemezi. Kama tunataka mabadiliko tuwe tayari sisi wenyewe kuyapambania. Tusitegemee msaada wa mtu yoyote. Hakuna anayetupenda huko nje ya nchi. Hata hapo Kenya wako busy na mambo yao, ya kwetu hayawahusu. Sembuse Trump?
Upo sahihi mkuu, shida ni uchawa ndani Tanzania, inahitajika elimu ya kizalendo sanaaaaaaaaa
 
Marekani ndio nchi iliyoanzisha democrasia katika mfumo wa vyama vingi.
Marekani kupitia IMF , WORLD BANK, wameineza sera ya democrasia, katika nchi masikini kuanzia miaka ya 1980s. Nguvu ya uma ni muhimu sana katika kuleta mabadiliko ya kweli ndani ya Tanzania.

Lakini kulingana na asili yetu, utamaduni, elimu dini ya uzalendo, pamoja na uchawa ndani ya taifa Tanzania ni ngumu sana tena sana kuunganisha uma kwa pamoja tukawa na nguvu ya mabadiliko.

Hivyo mh Tundu Lisu fanya mazungumzo na viongozi mashauli duniani wanao amini katika uchaguzi wa uhuru na haki ktk kupushi hoja ya " No reform No election" akiwemo Trump wa USA.

Serikali ya ccm inatumia polisi, tiss, kutisha watu, kutokana na sbb hizo juu, ni ngumu mno tena mno kuzuia uchaguzi Tanzania eti kwa kutumia nguvu ya uma pekee! (Ignorance, selfishness, betrayal, egoism na uchawa).

Mungu akulinde Tundu Lisu, ili ufanikiwe,ktk kuongoza mabadiliko ya kweli.
Mungu ibariki CHADEMA, Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Watanzani tusibweteke tukidhanibkuna mjomba yoyote atakaye tunasua katika madhila tulio nayo. Hao wazungu wanamiradi yao kibao humu nchini inayokomba mabilioni yavfedha, hawezi kuhangaika na tundulisu ambaye anasema ataziba na kukuta mianya na mirija yote ya unyonyaji. Watanzania kama hatuwezi kujipigania hakuna wakutupigania tufe kikondoo tu. Hao wazungu mpaka wahahkik,, ishe kuwa wamekomba kila lasilimali yetu ndipo hapo watatafuta njia za kuwapa silaha mmalizane kabisa, ona Libya, Congo, Sudani na kwingineko kwingi. Tusipokuwa na akili tutajisambaratisha wenyewe. Tumebarikiwa kila kitu lakini vinakuwa laana yakutuumiza sisi wenyewe.
 
Marekani ndio nchi iliyoanzisha democrasia katika mfumo wa vyama vingi.
Marekani kupitia IMF , WORLD BANK, wameineza sera ya democrasia, katika nchi masikini kuanzia miaka ya 1980s. Nguvu ya uma ni muhimu sana katika kuleta mabadiliko ya kweli ndani ya Tanzania.

Lakini kulingana na asili yetu, utamaduni, elimu dini ya uzalendo, pamoja na uchawa ndani ya taifa Tanzania ni ngumu sana tena sana kuunganisha uma kwa pamoja tukawa na nguvu ya mabadiliko.

Hivyo mh Tundu Lisu fanya mazungumzo na viongozi mashauli duniani wanao amini katika uchaguzi wa uhuru na haki ktk kupushi hoja ya " No reform No election" akiwemo Trump wa USA.

Serikali ya ccm inatumia polisi, tiss, kutisha watu, kutokana na sbb hizo juu, ni ngumu mno tena mno kuzuia uchaguzi Tanzania eti kwa kutumia nguvu ya uma pekee! (Ignorance, selfishness, betrayal, egoism na uchawa).

Mungu akulinde Tundu Lisu, ili ufanikiwe,ktk kuongoza mabadiliko ya kweli.
Mungu ibariki CHADEMA, Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Trump yuko busy kujenga nchi yake, si kila kitu cha kuliloa watu wa nje. Mtajifunza lini ngozi nyeusi?
 
Mleta mada uko nje ya muda

Sera ya Marekani chini ya Trump imebadilika .Ya sasa yeye ni kushughukika zaidi na mambo ya ndani ya Marekani tu.Ndio maana kavunja hadi shirika la Misaada ya nje la Marekabi la USAID ambalo ndilo lilikuwa likitumika kama fimbo ya kupiga nchi mbalimbali kuwa lazima zikuval8abe na matakwa ya Marekani kukubali mifumo ya Marekani iwe ya demokrasia yao ,kukubali ndoa za jinsia noja nk na ndio walikuwa wafadhili wa wanaharakati nk

Enzi za kwenda kulia lia Marekani zimeisha
Trump Hataki watu wa kumsumbua ofisini kwake kwa mambo ya nchini kwao yasiyohusu Marekani.Hataki hata kusikia
 
Watanzani tusibweteke tukidhanibkuna mjomba yoyote atakaye tunasua katika madhila tulio nayo. Hao wazungu wanamiradi yao kibao humu nchini inayokomba mabilioni yavfedha, hawezi kuhangaika na tundulisu ambaye anasema ataziba na kukuta mianya na mirija yote ya unyonyaji. Watanzania kama hatuwezi kujipigania hakunaupo wakutupigania tufe kikondoo tu. Hao wazungu mpaka wahahkik,, ishe kuwa wamekomba kila lasilimali yetu ndipo hapo watatafuta njia za kuwapa silaha mmalizane kabisa, ona Libya, Congo, Sudani na kwingineko kwingi. Tusipokuwa na akili tutajisambaratisha wenyewe. Tumebarikiwa kila kitu lakini vinakuwa laana yakutuumiza sisi wenyewe.
Upo sahihi mkuu, ni kwa sbb viongozi wa afrika hawezi kuwaongoza watu,wafrika akili zao ni za mbuzi, wafrika hawezi kujitawala wenyewe, uchawa kila kona,sio viongozi wa dini, sio wasomi, Mungu atusaidie
 
Trump yuko busy kujenga nchi yake, si kila kitu cha kuliloa watu wa nje. Mtajifunza lini ngozi nyeusi?
Trump ndicho anachotaka kuwa kila nchi kwa sasa wajue kutatua changamoti zao wao wenyewe kwenye nchi zao kama ambavyo marekani hutatua changamoto zake yenyewe

Hataki foleni White House ya vijitu vinaleta shida zao za nchini kwao
 
Mleta mada uko nje ya muda

Sera ya Marekani chini ya Trump imebadilika .Ya sasa yeye ni kushughukika zaidi na mambo ya ndani ya Marekani tu.Ndio maana kavunja hadi shirika la Misaada ya nje la Marekabi la USAID ambalo ndilo lilikuwa likitumika kama fimbo ya kupiga nchi mbalimbali kuwa lazima zikuval8abe na matakwa ya Marekani kukubali mifumo ya Marekani iwe ya demokrasia yao ,kukubali ndoa za jinsia noja nk na ndio walikuwa wafadhili wa wanaharakati nk

Enzi za kwenda kulia lia Marekani zimeisha
Trump Hataki watu wa kumsumbua ofisini kwake kwa mambo ya nchini kwao yasiyohusu Marekani.Hataki hata kusikia



Trump

Mleta mada uko nje ya muda

Sera ya Marekani chini ya Trump imebadilika .Ya sasa yeye ni kushughukika zaidi na mambo ya ndani ya Marekani tu.Ndio maana kavunja hadi shirika la Misaada ya nje la Marekabi la USAID ambalo ndilo lilikuwa likitumika kama fimbo ya kupiga nchi mbalimbali kuwa lazima zikuval8abe na matakwa ya Marekani kukubali mifumo ya Marekani iwe ya demokrasia yao ,kukubali ndoa za jinsia noja nk na ndio walikuwa wafadhili wa wanaharakati nk

Enzi za kwenda kulia lia Marekani zimeisha
Trump Hataki watu wa kumsumbua ofisini kwake kwa mambo ya nchini kwao yasiyohusu Marekani.Hataki hata kusikia
Sio tu marekani na nchi zingine, watu BAdo sana kuwa na nguvu ya uma, kwa sbb ya uchawa, kukosa elimu bora, na kuwa na utamaduni ya kisnitch, Tundu Lisu ana Kazi nzito sana ya kutoa elimu ya kujitambua pamoja na ya uzalendo, watanzania HAWA wawezi kuingia barabarani eti wapinge uchaguzi , never ever , may be after 50 year
 
Mna kipi cha kuwapa...?........
Kwa sasa kila mtu na maslahi yake......wale wakutoa pesa halafu mnauza marinda wameshatolewa hawa wa sasa anakupa msaada anataka madini au kiti kingine cha thamani ......enzi za wakina Biden na Usaid yao zimepita
Mleta mada hajui kusoma alama za nyakati bado hajaamka usingizini anaota akiwa ofisini kwa akina Biden na USAID

Trump.sasa hivi hasogeleki yuko busy kujenga Marekani yake tu
 
Wajenge hoja zenye mashiko tu.
Kwa Trump wataingilia wapi, Trump anatazama zaidi suti siyo brain
Mkuu upo sahihi, shida sio hoja, shida ni huu utamaduni wa uchawa, na kutokuwa wazalendo. Ni ngumu mno eti mtanzania huyo apinge uchaguzi usifanyike, akiona tu gari la polisi anakimbia
 
Sijaona post ya kikuda na ya kijinga kama hii.wao wenyewe hao mabwana zenu wanashida zao halafu unataka wa kutatulie shida take.
Unaposema uchaguzi hautofanyika maana yake kwamba unakubali ccm iendelee kutawala mpaka hapo mtakaporuhusu uchaguzi kufanyika
 
Mleta mada hajui kusoma alama za nyakati bado hajaamka usingizini anaota akiwa ofisini kwa akina Biden na USAID
Hoja yangu ni kutafuta influncial people, na nchi na sio kutegemea tu nguvu ya Tanzania BAdo sana ,uchawa umeota mizizi kila kona ya nchi
 
Sijaona post ya kikuda na ya kijinga kama hii.wao wenyewe hao mabwana zenu wanashida zao halafu unataka wa kutatulie shida take.
Unaposema uchaguzi hautofanyika maana yake kwamba unakubali ccm iendelee kutawala mpaka hapo mtakaporuhusu uchaguzi kufanyika
Read between words
 
Mleta mada una shida sana. Wasubirini Democratic muwapelekee huo ujinga lakini kwa Trump sahau hiyo biashara, yaani aache kuhangaika na mambo ya nchini kwake aje kukusaidia wewe?
 
Trump kampa kazi Elon Musk kwa hela zake
Sasa ana nini cha kusaidia
Tuache kujipendekeza kwa huyo mzee, kwanza hataki kusikia ombaomba
 
Tena
Sera ya Trump ni América First. Hana muda na Tanzania. Hata hizo demokrasia walizoeneza miaka ya 1980 walieneza kwa maslahi yao si kwa sababu wanatupenda.

Mbona hawakupeleka demokrasia nchi za uarabuni? Ina maana waarabu hawastahili kuwa na demokrasia au?

Mabadiliko ya kweli ni yale yatakayotokea ndani ya nchi, yatakayoongozwa na wananchi wenyewe. Ukitaka Trump apush agenda yako andaa na migodi kadhaa ya mádini kabisa ili agenda yako ikipita anakuja kuchimba.

Tunatakiwa kuondokana na fikra za utegemezi. Kama tunataka mabadiliko tuwe tayari sisi wenyewe kuyapambania.

Tusitegemee msaada wa mtu yoyote. Hakuna anayetupenda huko nje ya nchi. Hata hapo Kenya wako busy na mambo yao, ya kwetu hayawahusu. Sembuse Trump?
jamaa huwa anatutukana kabisa Eti City hall 😳🙄 !

As long as Madini yote yalipeanwa kwa Kampuni zao kwa ile mikataba aliyotuambia Anko Magu kwamba Tumepigwa mtu asitegemee msaada kutoka kwao !
 
Back
Top Bottom