Pre GE2025 CHADEMA mwombeni Rais Donald Trump ku-push hoja yenu ya uchaguzi huru na haki

Pre GE2025 CHADEMA mwombeni Rais Donald Trump ku-push hoja yenu ya uchaguzi huru na haki

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Marekani ndio nchi iliyoanzisha democrasia katika mfumo wa vyama vingi.
Marekani kupitia IMF , WORLD BANK, wameineza sera ya democrasia, katika nchi masikini kuanzia miaka ya 1980s. Nguvu ya uma ni muhimu sana katika kuleta mabadiliko ya kweli ndani ya Tanzania.

Lakini kulingana na asili yetu, utamaduni, elimu dini ya uzalendo, pamoja na uchawa ndani ya taifa Tanzania ni ngumu sana tena sana kuunganisha uma kwa pamoja tukawa na nguvu ya mabadiliko.

Hivyo mh Tundu Lisu fanya mazungumzo na viongozi mashauli duniani wanao amini katika uchaguzi wa uhuru na haki ktk kupushi hoja ya " No reform No election" akiwemo Trump wa USA.

Serikali ya ccm inatumia polisi, tiss, kutisha watu, kutokana na sbb hizo juu, ni ngumu mno tena mno kuzuia uchaguzi Tanzania eti kwa kutumia nguvu ya uma pekee! (Ignorance, selfishness, betrayal, egoism na uchawa).

Mungu akulinde Tundu Lisu, ili ufanikiwe,ktk kuongoza mabadiliko ya kweli.
Mungu ibariki CHADEMA, Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
🌤️🙋‍♂️✍️🎯👏👌👍👊🤝🙏🆒
 
Mabadiliko ya nchi yanaletwa na wananchi wenyewe!
Kama wananchi wanaogopa virungu harafu wanatarajia mtu mwingine aje awapiganie hiyo sahau!
US yuko bize na mambo yake.
 
Marekani ndio nchi iliyoanzisha democrasia katika mfumo wa vyama vingi.
Marekani kupitia IMF , WORLD BANK, wameineza sera ya democrasia, katika nchi masikini kuanzia miaka ya 1980s. Nguvu ya uma ni muhimu sana katika kuleta mabadiliko ya kweli ndani ya Tanzania.

Lakini kulingana na asili yetu, utamaduni, elimu dini ya uzalendo, pamoja na uchawa ndani ya taifa Tanzania ni ngumu sana tena sana kuunganisha uma kwa pamoja tukawa na nguvu ya mabadiliko.

Hivyo mh Tundu Lisu fanya mazungumzo na viongozi mashauli duniani wanao amini katika uchaguzi wa uhuru na haki ktk kupushi hoja ya " No reform No election" akiwemo Trump wa USA.

Serikali ya ccm inatumia polisi, tiss, kutisha watu, kutokana na sbb hizo juu, ni ngumu mno tena mno kuzuia uchaguzi Tanzania eti kwa kutumia nguvu ya uma pekee! (Ignorance, selfishness, betrayal, egoism na uchawa).

Mungu akulinde Tundu Lisu, ili ufanikiwe,ktk kuongoza mabadiliko ya kweli.
Mungu ibariki CHADEMA, Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Chadema imeshuka kiushawishi, mwaka 2020 ilikua 20% mwaka 2025 ina 10%.
Muhimu ni kuongeza ushawishi kwa wananchi, hizo zingine ni kelele za chura tu
 
Marekani ndio nchi iliyoanzisha democrasia katika mfumo wa vyama vingi.
Marekani kupitia IMF , WORLD BANK, wameineza sera ya democrasia, katika nchi masikini kuanzia miaka ya 1980s. Nguvu ya uma ni muhimu sana katika kuleta mabadiliko ya kweli ndani ya Tanzania.

Lakini kulingana na asili yetu, utamaduni, elimu dini ya uzalendo, pamoja na uchawa ndani ya taifa Tanzania ni ngumu sana tena sana kuunganisha uma kwa pamoja tukawa na nguvu ya mabadiliko.

Hivyo mh Tundu Lisu fanya mazungumzo na viongozi mashauli duniani wanao amini katika uchaguzi wa uhuru na haki ktk kupushi hoja ya " No reform No election" akiwemo Trump wa USA.

Serikali ya ccm inatumia polisi, tiss, kutisha watu, kutokana na sbb hizo juu, ni ngumu mno tena mno kuzuia uchaguzi Tanzania eti kwa kutumia nguvu ya uma pekee! (Ignorance, selfishness, betrayal, egoism na uchawa).

Mungu akulinde Tundu Lisu, ili ufanikiwe,ktk kuongoza mabadiliko ya kweli.
Mungu ibariki CHADEMA, Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Hawezi kuwasikiliza

Tuko against ushoga
 
Sera ya Trump ni América First. Hana muda na Tanzania. Hata hizo demokrasia walizoeneza miaka ya 1980 walieneza kwa maslahi yao si kwa sababu wanatupenda.

Mbona hawakupeleka demokrasia nchi za uarabuni? Ina maana waarabu hawastahili kuwa na demokrasia au?

Mabadiliko ya kweli ni yale yatakayotokea ndani ya nchi, yatakayoongozwa na wananchi wenyewe. Ukitaka Trump apush agenda yako andaa na migodi kadhaa ya mádini kabisa ili agenda yako ikipita anakuja kuchimba.

Tunatakiwa kuondokana na fikra za utegemezi. Kama tunataka mabadiliko tuwe tayari sisi wenyewe kuyapambania.

Tusitegemee msaada wa mtu yoyote. Hakuna anayetupenda huko nje ya nchi. Hata hapo Kenya wako busy na mambo yao, ya kwetu hayawahusu. Sembuse Trump?
Sisi tuna nchi yetu na wao wana nchi yao wasitupangie CCM DAIMA SAMIA MITANO
 
Marekani ndio nchi iliyoanzisha democrasia katika mfumo wa vyama vingi.
Marekani kupitia IMF , WORLD BANK, wameineza sera ya democrasia, katika nchi masikini kuanzia miaka ya 1980s. Nguvu ya uma ni muhimu sana katika kuleta mabadiliko ya kweli ndani ya Tanzania.

Lakini kulingana na asili yetu, utamaduni, elimu dini ya uzalendo, pamoja na uchawa ndani ya taifa Tanzania ni ngumu sana tena sana kuunganisha uma kwa pamoja tukawa na nguvu ya mabadiliko.

Hivyo mh Tundu Lisu fanya mazungumzo na viongozi mashauli duniani wanao amini katika uchaguzi wa uhuru na haki ktk kupushi hoja ya " No reform No election" akiwemo Trump wa USA.

Serikali ya ccm inatumia polisi, tiss, kutisha watu, kutokana na sbb hizo juu, ni ngumu mno tena mno kuzuia uchaguzi Tanzania eti kwa kutumia nguvu ya uma pekee! (Ignorance, selfishness, betrayal, egoism na uchawa).

Mungu akulinde Tundu Lisu, ili ufanikiwe,ktk kuongoza mabadiliko ya kweli.
Mungu ibariki CHADEMA, Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Ni bahati mbaya sana kwa Chadema kwamba Marekani ya leo ya Trump haiamini katika sera za nje. Yenyewe ina deal na mambo ya ndani tu. Na mbaya nyingine sijui kama Trump anawajua Chadema.
 
Hoja yangu ni kutafuta influncial people, na nchi na sio kutegemea tu nguvu ya Tanzania BAdo sana ,uchawa umeota mizizi kila kona ya nchb
Badala ya kutafuta influential people kwanini tusiondoe tatizo la uchawa? Yaani matatizo yetu tuyakwepe tukatafute msaada nje? Kama sio utumwa ni nini sasa?
 
Sijaona post ya kikuda na ya kijinga kama hii.wao wenyewe hao mabwana zenu wanashida zao halafu unataka wa kutatulie shida take.
Unaposema uchaguzi hautofanyika maana yake kwamba unakubali ccm iendelee kutawala mpaka hapo mtakaporuhusu uchaguzi kufanyika
Unaona eee. Nguvu ya kuzuia uchaguzi kwanini usiitumie kushinda?
 
Upo sahihi mkuu, shida ni uchawa ndani Tanzania, inahitajika elimu ya kizalendo sanaaaaaaaaa
Mkuu kwa jinsi Trump anavyoidharau Africa sioni anaingiliaje noma ya hapa kwetu. Na kwa taarifa yako unaweza kukuta hata Trump hajui kuwa kuna nchi inaitwa Tanzania. Na hata kama anajua ipo anajuwa wote ni manyani kuanzia viongozi, hadi wanaotawaliwa. Inshort anachukia watu weusi kuliko kawaida.
 
Mkuu kwa jinsi Trump anavyoidharau Africa sioni anaingiliaje noma ya hapa kwetu. Na kwa taarifa yako unaweza kukuta hata Trump hajui kuwa kuna nchi inaitwa Tanzania. Na hata kama anajua ipo anajuwa wote ni manyani kuanzia viongozi, hadi wanaotawaliwa. Inshort anachukia watu weusi kuliko kawaida.
Ni kweli mkuu anachukia kwa sbb ya akili za viongozi wa afrika, wanaiba fedha ndani ya nchi zao wanaenda kuficha marekani, ,hoja yangu ni kuwa nguvu ya uma kwa Tanzania kuweza kuzuia uchaguzi ni ngumu sana, ksbb ya uchawa, na kukosa elimu ya uzalendo.ni muhimu kutafuta nchi rafiki kuinga mkono chadema na sio kutegemea nguvu ya uma, kwa Tanzania hii, never ever, ladba miaka 50,ijayo
 
Unaona eee. Nguvu ya kuzuia uchaguzi kwanini usiitumie kushinda?
Kabisa mkuu, kama anaweza kuzuia uchaguzi basi anaweza kushinda pia simple logic, chadema kwa sasa wangejikita kujimalisha CHAMA katk mioa yote,
 
Upo sahihi mkuu, kuondoa uchawa, maana yake ni kupata katiba mpya ndo suluhisho , lakin chadema wamekulupuka sana, juu ya hii hoja no reform no election, mpaka sasa vyama vyote vimetangaza wagombea urais BAdo chadema tu
 
Ni kweli mkuu anachukia kwa sbb ya akili za viongozi wa afrika, wanaiba fedha ndani ya nchi zao wanaenda kuficha marekani, ,hoja yangu ni kuwa nguvu ya uma kwa Tanzania kuweza kuzuia uchaguzi ni ngumu sana, ksbb ya uchawa, na kukosa elimu ya uzalendo.ni muhimu kutafuta nchi rafiki kuinga mkono chadema na sio kutegemea nguvu ya uma, kwa Tanzania hii, never ever, ladba miaka 50,ijayo
Hakuna NCHI RAFIKI duniani. Nakukumbusha. HAKUNA NCHI RAFIKI DUNIANI.
Pili nguvu ya umma pekee ndio inaweza kufanya mabadiliko. Mwaka 2014 wananchi wa Burkina Faso waliandamana na kufanikiwa kumtoa madarakani Blaise Compaoré muuaji wa Thomas Sankara. Kama wa Burkinabé wangetegemea nchi rafiki, Compaoré angeendelea kuwanyonya hadi leo. Jifunze kwa raia wa Burkina Faso waafrika wenzio.
 
Ni kweli mkuu anachukia kwa sbb ya akili za viongozi wa afrika, wanaiba fedha ndani ya nchi zao wanaenda kuficha marekani, ,hoja yangu ni kuwa nguvu ya uma kwa Tanzania kuweza kuzuia uchaguzi ni ngumu sana, ksbb ya uchawa, na kukosa elimu ya uzalendo.ni muhimu kutafuta nchi rafiki kuinga mkono chadema na sio kutegemea nguvu ya uma, kwa Tanzania hii, never ever, ladba miaka 50,ijayo
Kwanini tusijikite kuelimisha raia ili wawe tayari kupambania haki zao? Hiyo ndo njia pekee ya mafanikio ya uhakika. Kutafuta wageni watusaidie ni short cut na siku zote short cut is a wrong cut. Ukraine walisaidiwa na Marekani mwaka 2014 kumtoa madarakani Rais wao, nadhani umeona matokeo ya msaada wa Marekani kwa Ukraine.
 
Hakuna NCHI RAFIKI duniani. Nakukumbusha. HAKUNA NCHI RAFIKI DUNIANI.
Pili nguvu ya umma pekee ndio inaweza kufanya mabadiliko. Mwaka 2014 wananchi wa Burkina Faso waliandamana na kufanikiwa kumtoa madarakani Blaise Compaoré muuaji wa Thomas Sankara. Kama wa Burkinabé wangetegemea nchi rafiki, Compaoré angeendelea kuwanyonya hadi leo. Jifunze kwa raia wa Burkina Faso waafrika wenzio.
Hahahahahah, na sio watanzania, ambao wakihojiwa tu na polisi wanatetemeka, je kuandamna? Never ever, labda baada ya miaka 20 ijayo,. Watanzania wamefungwa sana kaitka swala la kupigania haki, hilo halipo mkuu,ndo maana unakuta tunamwachia chadema pekee, jambo la kitaifa, Tanzania kuna shida mkuu, elimu ya kupigania haki ni ndogo sana
 
Triump alivyokuwa mbabe usishangae anawafurumusha akina lissu Kwa spidi ya mwendokasi
 
Hahahahahah, na sio watanzania, ambao wakihojiwa tu na polisi wanatetemeka, je kuandamna? Never ever, labda baada ya miaka 20 ijayo,. Watanzania wamefungwa sana kaitka swala la kupigania haki, hilo halipo mkuu,ndo maana unakuta tunamwachia chadema pekee, jambo la kitaifa, Tanzania kuna shida mkuu, elimu ya kupigania haki ni ndogo sana
Dawa ni kuondoa huo uoga na sio kwenda kujipa utumwa wa hiari kwa kutafuta msaada. Kama hatuwezi kuondoa uoga basi tusilalamike , tufurahie matunda ya uoga wetu.
 
Dawa ni kuondoa huo uoga na sio kwenda kujipa utumwa wa hiari kwa kutafuta msaada. Kama hatuwezi kuondoa uoga basi tusilalamike , tufurahie matunda ya uoga wetu.elimu

Dawa ni kuondoa huo uoga na sio kwenda kujipa utumwa wa hiari kwa kutafuta msaada. Kama hatuwezi kuondoa uoga basi tusilalamike , tufurahie matunda ya uoga wetu.
Hapo ndo shida
 
Back
Top Bottom