Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
Tangu mwanzo mahakama ilikwisha jionesha upande iliyoko.Kwakua mmekubali kushiriki kuibariki haramu ya serikali ya CCM, basi nawashauri tumieni mbinu zote halali kudai haki yenu.
Nendeni mahakani mkaiombe mahakama mambo yafuatayo.
1. Uchaguzi usimamishwe mpaka kasoro kubwa zilizojitokeza zitatuliwe.
2. Pelekeni orodha ya kasoro zilizojitokeza na kuiomba mahakama iiamuru TAMISEMI ( Mkwe mwenye kifua kipana) izitatue kasoro zote na kuipelekea mahakama ushahidi ndipo uchaguzi uendelee.
Unatwanga maji kwenye kinu unaowashauri wala hawana habari wanajuw atayari wameshashindwa uchaguziKwakua mmekubali kushiriki kuibariki haramu ya serikali ya CCM, basi nawashauri tumieni mbinu zote halali kudai haki yenu.
Nendeni mahakani mkaiombe mahakama mambo yafuatayo.
1. Uchaguzi usimamishwe mpaka kasoro kubwa zilizojitokeza zitatuliwe.
2. Pelekeni orodha ya kasoro zilizojitokeza na kuiomba mahakama iiamuru TAMISEMI ( Mkwe mwenye kifua kipana) izitatue kasoro zote na kuipelekea mahakama ushahidi ndipo uchaguzi uendelee.
Hicho wangekifanya tangu mwanzoKwakua mmekubali kushiriki kuibariki haramu ya serikali ya CCM, basi nawashauri tumieni mbinu zote halali kudai haki yenu.
Nendeni mahakani mkaiombe mahakama mambo yafuatayo.
1. Uchaguzi usimamishwe mpaka kasoro kubwa zilizojitokeza zitatuliwe.
2. Pelekeni orodha ya kasoro zilizojitokeza na kuiomba mahakama iiamuru TAMISEMI ( Mkwe mwenye kifua kipana) izitatue kasoro zote na kuipelekea mahakama ushahidi ndipo uchaguzi uendelee.
Mahakama zote ni ccmHakuna cha maana unachoweza kupata kwa mahakama za CCM
Kwakua mmekubali kushiriki kuibariki haramu ya serikali ya CCM, basi nawashauri tumieni mbinu zote halali kudai haki yenu.
Nendeni mahakani mkaiombe mahakama mambo yafuatayo.
1. Uchaguzi usimamishwe mpaka kasoro kubwa zilizojitokeza zitatuliwe.
2. Pelekeni orodha ya kasoro zilizojitokeza na kuiomba mahakama iiamuru TAMISEMI ( Mkwe mwenye kifua kipana) izitatue kasoro zote na kuipelekea mahakama ushahidi ndipo uchaguzi uendelee.
Waende Mahakama ya Kenya au Tanzania? Tuanzie hapo kwanza, maana huenda umesahau kuwa hii nchi inaitwa Tanzania sio Kenya au South AfricaKwakua mmekubali kushiriki kuibariki haramu ya serikali ya CCM, basi nawashauri tumieni mbinu zote halali kudai haki yenu.
Nendeni mahakani mkaiombe mahakama mambo yafuatayo.
1. Uchaguzi usimamishwe mpaka kasoro kubwa zilizojitokeza zitatuliwe.
2. Pelekeni orodha ya kasoro zilizojitokeza na kuiomba mahakama iiamuru TAMISEMI ( Mkwe mwenye kifua kipana) izitatue kasoro zote na kuipelekea mahakama ushahidi ndipo uchaguzi uendelee.
Chadema na ACT wanaweza kuungana msibani pekeyake, na sio kwenye mambo mengine gentleman πKwakua mmekubali kushiriki kuibariki haramu ya serikali ya CCM, basi nawashauri tumieni mbinu zote halali kudai haki yenu.
Nendeni mahakani mkaiombe mahakama mambo yafuatayo.
1. Uchaguzi usimamishwe mpaka kasoro kubwa zilizojitokeza zitatuliwe.
2. Pelekeni orodha ya kasoro zilizojitokeza na kuiomba mahakama iiamuru TAMISEMI ( Mkwe mwenye kifua kipana) izitatue kasoro zote na kuipelekea mahakama ushahidi ndipo uchaguzi uendelee.
You can't be serious, huko mahakamani si ndio wengine walienda kuizuia Tamisemi isisimamie huu uchaguzi na ikawa hola? Unatoa wapi imani na mahakama, wakati inategemea maagizo toka serekalini?Kwakua mmekubali kushiriki kuibariki haramu ya serikali ya CCM, basi nawashauri tumieni mbinu zote halali kudai haki yenu.
Nendeni mahakani mkaiombe mahakama mambo yafuatayo.
1. Uchaguzi usimamishwe mpaka kasoro kubwa zilizojitokeza zitatuliwe.
2. Pelekeni orodha ya kasoro zilizojitokeza na kuiomba mahakama iiamuru TAMISEMI ( Mkwe mwenye kifua kipana) izitatue kasoro zote na kuipelekea mahakama ushahidi ndipo uchaguzi uendelee.
Sasa kwanini wamekubali kushiriki huo uchaguzi? Ukiamua kupambana basi pambana mpaka mwisho.You can't be serious, huko mahakamani si ndio wengine walienda kuizuia Tamisemi isisimamie huu uchaguzi na ikawa hola? Unatoa wapi imani na mahakama, wakati inategemea maagizo toka serekalini?
Basi CCM itatawala milele.Chadema na ACT wanaweza kuungana msibani pekeyake, na sio kwenye mambo mengine gentleman π
Kwahiyo Lissu ni CCM? Maana yeye ni Afisa wa Mahakama Kuu.Mahakama zote ni ccm
Uchaguzi upo kama kawaida, hayo matatizo ya kutengeneza mnayajua wenyeweKwakua mmekubali kushiriki kuibariki haramu ya serikali ya CCM, basi nawashauri tumieni mbinu zote halali kudai haki yenu.
Nendeni mahakani mkaiombe mahakama mambo yafuatayo.
1. Uchaguzi usimamishwe mpaka kasoro kubwa zilizojitokeza zitatuliwe.
2. Pelekeni orodha ya kasoro zilizojitokeza na kuiomba mahakama iiamuru TAMISEMI ( Mkwe mwenye kifua kipana) izitatue kasoro zote na kuipelekea mahakama ushahidi ndipo uchaguzi uendel
sina hakika na hilo gentleman,Basi CCM itatawala milele.
Kwa watoa hukumu wa dunia ya teuzi,kamwe haitatokea tanzania.Kwakua mmekubali kushiriki kuibariki haramu ya serikali ya CCM, basi nawashauri tumieni mbinu zote halali kudai haki yenu.
Nendeni mahakani mkaiombe mahakama mambo yafuatayo.
1. Uchaguzi usimamishwe mpaka kasoro kubwa zilizojitokeza zitatuliwe.
2. Pelekeni orodha ya kasoro zilizojitokeza na kuiomba mahakama iiamuru TAMISEMI ( Mkwe mwenye kifua kipana) izitatue kasoro zote na kuipelekea mahakama ushahidi ndipo uchaguzi uendelee.
Wameamua kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa Tanzania unaosimamiwa na wizara iliyo chini ya mkwe wa mwenyekiti wa CCM, basi hawana ku exhaust option zote zilizopo mezani.Waende Mahakama ya Kenya au Tanzania? Tuanzie hapo kwanza, maana huenda umesahau kuwa hii nchi inaitwa Tanzania sio Kenya au South Africa
kama hawana imani na mifumo ya nchi hii kwanini wanashiriki huo uchaguzi wa mkwe?Kwa watoa hukumu wa dunia ya teuzi,kamwe haitatokea tanzania.
Wameamua kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa Tanzania unaosimamiwa na wizara iliyo chini ya mkwe wa mwenyekiti wa CCM, basi hawana ku exhaust option zote zilizopo mezani.