Uchaguzi 2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo ni wakati wa kukutana na kutoa tamko la pamoja nini kifanyike

Uchaguzi 2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo ni wakati wa kukutana na kutoa tamko la pamoja nini kifanyike

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Nilitegemea hadi muda huu mmeshaitisha press conference kuelezea kinachojiri kuliko kila mtu kulia kivyake, Ester Bulaya analia kivyake, Heche analia kivyake, Zitto kivyake na Lema kivyake haisaidii, muda huu ni wakati wa kuonyesha mshikamano.

Kama ni ushahidi wa wizi wa kura umeshaonekana, mmejionea wenyewe mawakala wenu wengi wakienguliwa na sasa wanatolewa vituoni wakati muhimu wa kuhesabu na kujumlisha kura. Mmeshuhudia viongozi wenu hasa wenyeviti na makatibu wakivamiwa na kuuwawa hadharani, mawakala wenu wanakamatwa, mnasubiri kitu gani kuongea na wapigakura wenu.

Lissu, Maalimu Seif, Mbowe, Zitto where are you.
 
Mnataka kuharibu uchaguzi ? Ukumbuke huu tunatumia hela zetu za ndani. Nyie mnataka kuchelewesha maendeleo
 
Nilitegemea hadi muda huu mmeshaitisha press conference kuelezea kinachojiri kuliko kila mtu kulia kivyake, Ester Bulaya analia kivyake, Heche analia kivyake, Zitto kivyake na Lema kivyake haisaidii, muda huu ni wakati wa kuonyesha mshikamano...

Popote mlipo tupo.
 
Acha maneno ya uchochezi yasiyokuwa na ushahidi. Mtu kama wewe ni hatari kwa taifa
 
Bado kwanza kura zinahesabiwa
Watawaridhisha kwa kuwapa wabunge kadhaa. Halafu nafasi za urais zote wanachukua ccm. Wakati ilitakiwa kuwa kinyume chake.

Muda ni Sasa. Kura zinakamatwa kwenye malori halafu tunasubiri zihesabiwe!!?? Tunahesabu nn?
 
Watawaridhisha kwa kuwapa wabunge kadhaa. Halafu nafasi za urais zote wanachukua ccm. Wakati ilitakiwa kuwa kinyume chake.

Muda ni Sasa. Kura zinakamatwa kwenye malori halafu tunasubiri zihesabiwe!!?? Tunahesabu nn?
Hizo za malori inatakiwa zizibitiwe hapo hapo na wapenzi wa demokrasia wakati mawakala nao wanapambana kwenye kujumlisha kila kituo
 
Watawaridhisha kwa kuwapa wabunge kadhaa. Halafu nafasi za urais zote wanachukua ccm. Wakati ilitakiwa kuwa kinyume chake.

Muda ni Sasa. Kura zinakamatwa kwenye malori halafu tunasubiri zihesabiwe!!?? Tunahesabu nn?
Za kuambiwa, ongeza na zako. Ni ngumu kuamini mtu kama wewe unaweza kuamini habari hii ya uongo wa wazi.
 
Nilitegemea hadi muda huu mmeshaitisha press conference kuelezea kinachojiri kuliko kila mtu kulia kivyake, Ester Bulaya analia kivyake, Heche analia kivyake, Zitto kivyake na Lema kivyake haisaidii, muda huu ni wakati wa kuonyesha mshikamano.

Kama ni ushahidi wa wizi wa kura umeshaonekana, mmejionea wenyewe mawakala wenu wengi wakienguliwa na sasa wanatolewa vituoni wakati muhimu wa kuhesabu na kujumlisha kura. Mmeshuhudia viongozi wenu hasa wenyeviti na makatibu wakivamiwa na kuuwawa hadharani, mawakala wenu wanakamatwa, mnasubiri kitu gani kuongea na wapigakura wenu.

Lissu, Maalimu Seif, Mbowe, Zitto where are you.
Wapigie simu mkuu..
Bulaya ni kiherehere chake
 
Back
Top Bottom