Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Siasa bana. Ila aliyetegemea kitu tofauti na tunachokiona sasa alikuwa anajipa faraja tu.
Nilipopiga kura mimi niliona mawakala wawili waliochoooka. Wale hata haikuhitaji kuwatoa nje. Vipigo vingine Wapinzani huwa wanajiandalia wenyewe tu.
Nilipopiga kura mimi niliona mawakala wawili waliochoooka. Wale hata haikuhitaji kuwatoa nje. Vipigo vingine Wapinzani huwa wanajiandalia wenyewe tu.