Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Watatulia tu hao na hakuna kitakachotokea Zanzibar.Wewe ni wakupuuzwa tu.
Ni vizuri alivyofanya lakini mwaka huu hatuko peke yetu. Kumbuka 2015 mpaka serikali ilimuondoa muwakilishi wa UNDP kwa msaada alikmpa Maalim. Sasa hivi wamerudia yale yale.
Uchaguzi umekwisha tulijenge Taifa letu.
Mwenye nguvu bado ajipange kwa 2025.
Adios.