Uchaguzi 2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo ni wakati wa kukutana na kutoa tamko la pamoja nini kifanyike

Uchaguzi 2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo ni wakati wa kukutana na kutoa tamko la pamoja nini kifanyike

Bado naamini CDM na ACT wanalo jambo kubwa la kufanya ili kutuongoza kwenye hii vita ya utawala wa kidhalimu, tuwape muda haya sio mambo ya kukurupuka tu kama alivyofanya Maalim huko Zanzibar.
 
Mkuu hakuna mbunge wa CHADEMA wala ACT kwa Tanzania bara atakayetangazwa.
CUF watapata wabunge, NCCR mmoja, TADEA ya Shibuda mbunge mmoja. Jumla watano. Lkn ACT na Chadema target yao ni kuviua kabisa.
 
Sky Eclat na BAK angalau nyinyi bado mnanguvu ya kutype.
wenzenu wanalia,wamesusa hata kula na kuoga.
hii ndo Tanzania na walioamua ni wananchi wapenda maendeleo.
tunnaubiri matamko mfululizo pamoja na mikwala pamoja na lugha za matumaini kutoka kwa viongozi wenu.
Huyu Mmawia sijui ndio kapotelea wapi. Simsikii kabisaaa.
 
Wanaiba hivi:

Let say kituo kimoja kuna wapiga kura 500 wenye haki ya kupiga kura pale. Then wanajitokeza 200. Kati ya hao 200, CHADEMA inapata let say 110 na CCM 90.

NEC (DED) na mawakala mule ndani wanawapigia kura wale 300 ambao hawakwenda kupiga kura. In most cases wanaweza kuchukua 200 kati ya 300 ili isiwe too obvious. Then zile 90 plus 200 hewa inakuwa 290 kwa wagombea wa CCM. Ukifanya hivi jimbo zina, Lissu na wenzie wanatimuliwa vumbi kali.

Kama mawakala hawapo then kazi inakuwa laini mnooo. Michezo huanzia vituoni. Mawakala dhaifu wa Upinzani ni mwanzo wa vipigo heavy.
Mawakala walitolewa vituoni
 
Ukandamizwaji wa Haki ,umefikia kiwango Cha doomsday ..ya NI kiwango kikubwa saaana..lakini kwann watu wanakosa utu kabisa!?🙌🙌🙌
 
Wala watu msijipe matumaini. Wapinzani hawatakuwa na tamko lolote la maana.
Kumbukeni kabla ya Lissu kurudi yote yalikuwa yameufyata na kunyikunyata labda Maalim Seif tu ndio alikuwa jasiri kama Lissu.
Yule wanamwita mwamba tuvushe ni bata tu.

Hamna kitu watafanya! Tulionya humu, usiingie kwenye uchaguzi bila tume! Hawakusikia! Mwingine huko Mbeya alisema atashinda tu hata bila tume huru! Leo kiko wapi!
 
Nilitegemea hadi muda huu mmeshaitisha press conference kuelezea kinachojiri kuliko kila mtu kulia kivyake, Ester Bulaya analia kivyake, Heche analia kivyake, Zitto kivyake na Lema kivyake haisaidii, muda huu ni wakati wa kuonyesha mshikamano.

Kama ni ushahidi wa wizi wa kura umeshaonekana, mmejionea wenyewe mawakala wenu wengi wakienguliwa na sasa wanatolewa vituoni wakati muhimu wa kuhesabu na kujumlisha kura. Mmeshuhudia viongozi wenu hasa wenyeviti na makatibu wakivamiwa na kuuwawa hadharani, mawakala wenu wanakamatwa, mnasubiri kitu gani kuongea na wapigakura wenu.

Lissu, Maalimu Seif, Mbowe, Zitto where are you.
Hakuna haja ya wapinzani kufanya press, msiba huu sio wa upinzani, acheni tunyooshwe tu, jambo hili ni la umma wa Tanzania nzima, kama kuna mwanaccm anadhani kutakuwa na upendeleo wa huduma basi asubiri tu, safari hii hakuna wa kuisoma namba, tutaziandika wote, halafu tutazisoma kwa pamoja. JPM for life, CCM mbele kwa mbele! Yajayo yanafurahisha?
 
Hakuna haja ya wapinzani kufanya press, msiba huu sio wa upinzani, acheni tunyooshwe tu, jambo hili ni la umma wa Tanzania nzima, kama kuna mwanaccm anadhani kutakuwa na upendeleo wa huduma basi asubiri tu, safari hii hakuna wa kuisoma namba, tutaziandika wote, halafu tutazisoma kwa pamoja. JPM for life, CCM mbele kwa mbele! Yajayo yanafurahisha?
Ni msiba wa waliowengi hiyo ipo dhahiri. Jambazi ameshafanya yake.
 
Nilitegemea hadi muda huu mmeshaitisha press conference kuelezea kinachojiri kuliko kila mtu kulia kivyake, Ester Bulaya analia kivyake, Heche analia kivyake, Zitto kivyake na Lema kivyake haisaidii, muda huu ni wakati wa kuonyesha mshikamano.

Kama ni ushahidi wa wizi wa kura umeshaonekana, mmejionea wenyewe mawakala wenu wengi wakienguliwa na sasa wanatolewa vituoni wakati muhimu wa kuhesabu na kujumlisha kura. Mmeshuhudia viongozi wenu hasa wenyeviti na makatibu wakivamiwa na kuuwawa hadharani, mawakala wenu wanakamatwa, mnasubiri kitu gani kuongea na wapigakura wenu.

Lissu, Maalimu Seif, Mbowe, Zitto where are you.
Anza we we uwe mfano kwa wenzio. Ule Uhuru wa kuropoka mwisho ulikuwa Oktoba 27, baada ya hapo ni kazi kazi. Jitokeze barabarani ujifanye kama unaandamana uone
 
Nilitegemea hadi muda huu mmeshaitisha press conference kuelezea kinachojiri kuliko kila mtu kulia kivyake, Ester Bulaya analia kivyake, Heche analia kivyake, Zitto kivyake na Lema kivyake haisaidii, muda huu ni wakati wa kuonyesha mshikamano.

Kama ni ushahidi wa wizi wa kura umeshaonekana, mmejionea wenyewe mawakala wenu wengi wakienguliwa na sasa wanatolewa vituoni wakati muhimu wa kuhesabu na kujumlisha kura. Mmeshuhudia viongozi wenu hasa wenyeviti na makatibu wakivamiwa na kuuwawa hadharani, mawakala wenu wanakamatwa, mnasubiri kitu gani kuongea na wapigakura wenu.

Lissu, Maalimu Seif, Mbowe, Zitto where are you.
Sasa mkakamata ushahidi na kuuchoma moto, jamii itawasaidiaje?. Unachoma ushahidi kisha unalalamika?
 
Nilitegemea hadi muda huu mmeshaitisha press conference kuelezea kinachojiri kuliko kila mtu kulia kivyake, Ester Bulaya analia kivyake, Heche analia kivyake, Zitto kivyake na Lema kivyake haisaidii, muda huu ni wakati wa kuonyesha mshikamano.

Kama ni ushahidi wa wizi wa kura umeshaonekana, mmejionea wenyewe mawakala wenu wengi wakienguliwa na sasa wanatolewa vituoni wakati muhimu wa kuhesabu na kujumlisha kura. Mmeshuhudia viongozi wenu hasa wenyeviti na makatibu wakivamiwa na kuuwawa hadharani, mawakala wenu wanakamatwa, mnasubiri kitu gani kuongea na wapigakura wenu.

Lissu, Maalimu Seif, Mbowe, Zitto where are you.
Acha uongo tuliwaambia watz siyo wajinga kama mnavyofikiria. Naona wamewayoosha tayari na huku Kawe Mdee anapumlia mipira!!! hahahahaha.
 
Back
Top Bottom