Chadema na dharau kwa amri ya mahakama.

Huyu kaka hakuwa na haja ya kwenda mahakamani.Ameonyesha jinsi gani yupo weak bila CDM .Angeanzisha tu chama chake nadhani anepata wafuasi.Ila sasa ameonyesha udhaifu.Nadhani washauri wake wanampoteza.
 
Kuna tofauti kati ya kumjadili zitto na kujadili uanachama wa zitto. Shughulisheni bongo zenu, msilete mihemko isiyo na msingi.

Unapomzuia zitto kufanya mikutano unaongelea suala lake binafsi au uanachama wake?
 
Kwa nukta hiyo, ni dhahiri Chadema wamejichanganya na yaonyesha kweli wamemjadili ZZK.

Kesho jaji asikilize shauri na kutoa hukumu kwa kimombo.
 
Dean, wana maanisha kuwa wao walisha ujadili uanachama wa zitto na walisha mvua uanachama kinyume na agizo la mahakama na hawajali litakalo tokea maana wao walisha fanya maamuzi.

Shirikisha ubongo hata kwa sekunde kiongozi,kwahyo hata wewe unaweza ukaenda mahakamani kuweka pingamizi ukihisi Invisible anaweza akafuta post/uzi y/wako?
 
Last edited by a moderator:
Kama ulivyosema ni kweli kwenye facebook page yake hakuna kitu kama hiki !

Lakini hata kama kingekuwepo, hivi kweli Zitto ni wa kumwamini na kuchukulia maneno yake at first value ? Kama yeye akisaidiwa na wapuuzi wenzake (Mkumbo na Mwigamba) wameweza kutunga shutuma nyingi za uongo kwa uongozi halali wa Chama ili tu kufanikisha malengo yake haramu ya kupata madaraka, atashindwaje kutunga uongo mwingine ?

Ngoja nikupe baadhi ya uongo wa wazi kabisa aliyeosema hadharani ambao hata wewe utakuwa unaujau !

1. Alisema ana majina ya walioficha mabilioni uswisi na atawataja --- Uongo wa wazi ili ajipatie umaarufu....

2. Alisema pale serena kwamba alijitoa kuwa signatory wa Chadema, (ili apate sifa kwamba yeye ni mtu safi hawezi kushiriki ufisadi) - Uongo wa wazi kweupe mchana kwani hakuwahi kuwa signatory !

Hivi kweli unaweza kumchukulia mtu huyu serious atakapotoa allegations (kama hizo hapo juu) kuhusu watu wengine ? Hivi Zitto ambaye yeye na watu wake hawaspare effort yeyete kumchafua Mbowe, Slaa na CDM kwa ujumla, angekuwa na hizo information kabla unafikiri angeacha kuzitumia against Mbowe ?

Uzuri ni kwamba yeye hajatoa hizo shutuma lakini hata kama angekuwa amezitoa, most probably zingekuwa fake !

kama hiyo thread ipo kwenye ukurasa wa zzk wa facebook mletaji atufafanulie huyo zzk ana kurasa ngapi maana nimemfollow cjaona kitu kama hicho. na kama ni kwelizzk amepost basi hakuna haja ya kuendelea kuwaamini wanasiasa kumbe wote wizi mtupu.
 
Huyu kaka hakuwa na haja ya kwenda mahakamani.Ameonyesha jinsi gani yupo weak bila CDM .Angeanzisha tu chama chake nadhani anepata wafuasi.Ila sasa ameonyesha udhaifu.Nadhani washauri wake wanampoteza.

Zzk ana chama tayari yupo na sisimizi mb. wa mahakama mwenzake kafulila chama chao kinaitwa CHAUMA.
 

Jaribu kufikiri vizuri, Zitto alitakiwa ajitetee mbele ya kamati kuu kwa nini asifukuzwe kutokana na ule wa waraka, lakini yeye akakimbilia mahakamani uanachama wake usijadiliwe, lakini zuio la mahakama halifuti intention ya CC ya kumfukuza Zitto chamani kama angepatikana na hatia. Najua mapenzi yako kwa Zitto yanaweza kukufanya usione ukweli kwani kila mwanadamu ni victim wa mapenzi.
Lissu hakuna alichokosea alichozungumzia ni kuwa Zitto bado ni mwanachama wa CHADEMA kwa sababu za kimahakama lakini kama zisingekuwepo angeungana na wale wenzie wawili waliofukuzwa leo na shitaka lao lilikuwa moja.
 
we mhaya gani kilaza hjvyo sisi acha kutumika

si yumbishwi na kashifa zako. umeshindwa kujadili mada una jadili kabila langu.

TUKUBALIANE CHADEMA WAMEKIUKA AGIZO LA MAHAKAMA.
 
Tumewabamba hatujawabamba???Tumewa
bamba!!!Tena kinooooma."mtataga".
 
Last edited by a moderator:
Sijui Lissu alisoma cho gani.kitendo cha kuelezea hatima ya Zitto CHADEMA katika taarifa yake ya leo kitabadilisha maamuzi ya jaji.

lisu ni mlevi wa sheria na ameharibu mlengo wa kesi.

take from me.

usiku mwema.
 
Umeeleza vizuri sana, lakini sidhani kama Ruttashobolwa atakubaliana na wewe !

Mwanzoni nilifikiri haelewi nami nikabishana naye kwa posts kadhaa....baadaye nikaconclude kwamba hataki kuelewa kwa makusudi !

 

Huyu zzk anachelewesha ukombozi kweli,hatuna shida na ubunge wako zz endelea kuwa mb. Wa mahakama lakini sisi hatukutaki CDM mambo uliyoyafanya ya kuuza majimbo ili magamba yashinde ni mambo mabaya sana!
 
Sijui Lissu alisoma cho gani.kitendo cha kuelezea hatima ya Zitto CHADEMA katika taarifa yake ya leo kitabadilisha maamuzi ya jaji.

lisu ni mlevi wa sheria na ameharibu mlengo wa kesi.

take from me.

usiku mwema.

Mambo ya chadema hayakuhusu. Nenda kalalamike mahakamani na wewe.
 
acha wafu wawazike wafu wenzio siyo?
 

msome dr slaa umuelewe.

Kama ulivyo sema anasema kama isingekuwa mahakama angeunganishwa na wenzie, lakini tukubaliane kuwa kauli hiyo ina maanisha walisha ujadili uanachama wake, kama sio mahakama na yeye wange mtangaza amefukuzwa kama wenzie.
Ka ame kwenda mbali zaidi kwa kusema wana chama wasi hudhurie mikutano yake aki maanisha hawamtambui kama mwana chama maana walisha ujadili uanachama wake na kumvua uanachama kinyume na agizo la mahakama.
 
"Wamejialibia", "take from me", "cho".
Uandishi wako unaonesha una upeo mdogo wa kufikiri.:thumbdown:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…