Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Wameendelea kutovaa barakoa.
Ni CHADEMA hawahawa walioishinikiza serikali ya awamu ya 5 itoe takwimu za kila siku za wagonjwa wa UVIKO-19.
Ni CHADEMA hawahawa walioupinga msimamo wa jemedari Hayati Dkt. Magufuli juu ya kutowekwa lockdown nchi nzima/maeneo yenye msongamano.
Kipi kilitarajiwa kwao?
Kubwa tulilolitarajia kwao ni kuiunga mkono Serikali ya awamu ya 6 na kusimamia misimamo yao ile ya zamani dhidi ya UVIKO-19 kwa angalau kuvaa barakoa ndani ya mikutano yao ya ndani inayoendelea huko kanda ya ziwa.
Kinyume chake ni haya:
1) Mh. Mwenyekiti Mbowe havai barakoa.
2) Uongozi wa BAWACHA taifa hawavai barakoa.
3) John Heche na wenzake hawavai barakoa.
***************************
Je, huu si "Ukinyonga" na undumilakuwili wa CHADEMA?
Ni CHADEMA hawahawa walioishinikiza serikali ya awamu ya 5 itoe takwimu za kila siku za wagonjwa wa UVIKO-19.
Ni CHADEMA hawahawa walioupinga msimamo wa jemedari Hayati Dkt. Magufuli juu ya kutowekwa lockdown nchi nzima/maeneo yenye msongamano.
Kipi kilitarajiwa kwao?
Kubwa tulilolitarajia kwao ni kuiunga mkono Serikali ya awamu ya 6 na kusimamia misimamo yao ile ya zamani dhidi ya UVIKO-19 kwa angalau kuvaa barakoa ndani ya mikutano yao ya ndani inayoendelea huko kanda ya ziwa.
Kinyume chake ni haya:
1) Mh. Mwenyekiti Mbowe havai barakoa.
2) Uongozi wa BAWACHA taifa hawavai barakoa.
3) John Heche na wenzake hawavai barakoa.
***************************
Je, huu si "Ukinyonga" na undumilakuwili wa CHADEMA?