Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
- Thread starter
- #21
Genge hilo si chama...Wenzako wakishaongea wanadelete hata kumbukumbu hawaachi. Hao CDM bana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Genge hilo si chama...Wenzako wakishaongea wanadelete hata kumbukumbu hawaachi. Hao CDM bana.
Saccos ya ukweni kwa "mfalme"....Hiki ni chama au taasisi ya fedha ya mbowe?
Bado upo kwenye kivuli cha Marehemu hayati stone...mzee wa fixChadema ni genge la wahuni!
Karibu Chato tuvue swahiba....achana na "pang'ang'a" za tajiri Mbowe....🤣🤣Bado upo kwenye kivuli cha Marehemu hayati stone...mzee wa fix
Kwahiyo wewe unasemaje,?arapsii aingilie Kati ama?mnaitisha kongamano kipindi corona imepamba moto.Je wote watakuwa wamevaa barakoa? na ni lazima kuwa na makongamano kipindi hichi?
nimeona anayejiita Mch Peter msigwa naye atakuwa mwanza kesho kwenye kongamano.lakini nasikia huko kwake iringa hali si shwari kuhusu corona.Au ndiyo unaenda kuomba msaada wa barakoa na chanjo?
tuwage serious kwa mambo serious kwa wakati serious