Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Rudi kachukue bongo lala lako!!Mtu mwenye akili timamu, hawezi kuhudhuria mikutano ya MACHADEMA majinga yaliyosheheni udini mtupu, mkutano umejaa maaskofu, sasa huo ni mkutano au wanajumuia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rudi kachukue bongo lala lako!!Mtu mwenye akili timamu, hawezi kuhudhuria mikutano ya MACHADEMA majinga yaliyosheheni udini mtupu, mkutano umejaa maaskofu, sasa huo ni mkutano au wanajumuia?
Kweli Mkuu, jana tulikuwa na kenge wawili kwenye Mkutano wa CHADEMA na SAUTI YA WATANZANIA. Tunashukuru wengine wote walikuwa sawa tu. Walisema kile walitakiwa kusema kwa ujasiri wa hali ya juu kabisa pasipo kuogopa chochote.Msafara wa mamba na kenge nao wamo
Hili la Bandari, lingetufanya tuweke uvyama na udini mbali, tuungane kama Watanzania. Mwenyewe hapa ni mwanachama na nina kadi ya CCM lakini kwa hili hapana. Siwezi kusapoti mkataba wa hivyo, never!Rudi kachukue bongo lala lako!!
Dah!Sio kila kitu lazima upinge.
Sijaona kosa la DPW au mkataba wake, binafsi nauunga mkono maana tumechelewa. Ila itabidi serikali ijapange haswa maana watu watajaribu hujumu hata kwa kuchoma bandari
Aliyekuzaa
Lini mlikuwa na akili nyinyi?Rudi kachukue bongo lala lako!!