Uchaguzi 2020 CHADEMA na Siasa za kutafuta Kura za Huruma kutoka kwa Wananchi badala ya kutegemea uwezo wa Sera

Uchaguzi 2020 CHADEMA na Siasa za kutafuta Kura za Huruma kutoka kwa Wananchi badala ya kutegemea uwezo wa Sera

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
CHADEMA wamekuwa wakijitahidi Sana kufanya matukio ya kuvunja Sheria ili vyombo vya dola vichukue hatua na wawekwe ndani I'll wapigiwe kura za kuhurumiwa na wananchi. Huu Ni utamaduni mpya ambao CHADEMA imeouanzisha ambao haujaeahi fanya kazi ila chaguzi zao za ndani unaonyesha kufanya kazi

Yote hiyo inatokana na wao kukosa hoja za Kisiasa tofauti na zamani

Warudi kwenye historia wao walikuwa wakishinda sababu walikuwa na hoja zao binafsi zinazogusa uchumi wa nchi na maendeleo ya nchi mfano Vita dhidi ya mafisadi na ufisadi iliwabeba vizuri mno na wananchi wa Rika zote itikadi zote wakiwemo Wana CCM waliwakubali Hadi Raisi aliikubali aliposhika tu Urais akaanza Vita ya kupambana na mafisadi na ufisadi

Kwa Sasa CHADEMA Haina sera au kitu Cha kueleweka inachosimamia .Kwa miaka mitano hawajajipambanua kuwa wanasimamiwa Nini hasa tofauti na miaka ya nyuma ambapo ukiongelea CHADEMA kila mtu anajua ni wapiga Vita walio msitari wa mbele kupinga ufisadi na wizi wa Mali za umma na rushwa

Sasa hivi wanalia Lia tu kutafuta kura za huruma! Hawana kitu cha maana wanachosimamia
 
Sheria walioivunja ni ipi?

Lete vifungu.

Subirini muweke mikutano kwa kujaza wasanii ndio mnalosubiri.
 
Lissu anakuja na Tax payers bill of Rights!! Kwa hiyo mjiandae tu kukosa kura zote za wafanyabiashara mwaka huu!

Nilitegemea muda huu ungekuwa unatumia kutafuta majibu ya Lissu kwa hoja hii YAMOTO SANA!! Ila bado mnaweweseka tu.

Poleni sana mwaka huu wana Lumumba. Huyu ndo Tundu Antipas Lissu. Jiandaeni tu kumkabidhi nchi yake hapo October 2020!
 
Lissu anakuja na Tax payers bill of Rights!! Kwa hiyo mjiandae tu kukosa kura zote za wafanyabiashara mwaka huu!!!
Amekuwa mbunge muda mrefu hiyo hoja alitakiwa aipeleke bungeni Sio kwa wananchi hakuipeleka wakati uwezo wa kuipeleka alikuwa nao akawa anakula miposho ya bure hapeleki hoja zinazogusa wananchi !! Huo Ni ushahidi wa uzembe wake akiwa mbunge .Hakutumia nafasi yake Kama mbunge kupeleleka hiyo hoja.Bungeni alikalia tu kutetea mabeberu kuongelea MIGA MIGA !!!

Halafu hiyo hoja ya kuokoteza haimo kweye sera zilizozinduliwa na chadema !! Ushahidi mwingine kuwa Lisu Ni mgombea binafsi ndani ya Chadema habebi sera za Chadema anabeba zake za kujitungia hivyo hata akichaguliwa anaonyesha wazi kuwa hatasimamia vilivyomo kwenye sera atatunga vyake

Kazi ya mgombea uraisi Ni kunadi sera za chama zilizoidhinishwa sio kujitungia vya kwake na kuvinadi!!
 
Lissu anakuja na Tax payers bill of Rights!! Kwa hiyo mjiandae tu kukosa kura zote za wafanyabiashara mwaka huu!!!

Nilitegemea muda huu ungekuwa unatumia kutafuta majibu ya Lissu kwa hoja hii YAMOTO SANA!! Ila bado mnaweweseka tu.

Poleni sana mwaka huu wana Lumumba. Huyu ndo Tundu Antipas Lissu. Jiandaeni tu kumkabidhi nchi yake hapo October 2020!
Lissu hana Sera zaidi ya kutetea ushoga na kusema watu wavae barakoa wakati yeye havai
 
Kazi ya mgombea uraisi Ni kunadi sera za chama zilizoidhinishwa sio kujitungia vya kwake na kuvinadi!!
Na wewe mmiminiaji wa risasi, je sera ya kumiminia watu risasi ilidhinishwa na chama au alijitungia tu aliyekutuma?
 
CCM wote mna mind set Moja.. Yaan akishafikiri mmoja na kutunga propaganda basi mnaibeba ccm wote na kutembea nayo bila hata kutafakari na kuona ni jinsi gani hoja zenu zinawadhalilisha mnaojiita "chama kongwe na zee zaidi Tanzania"
 
Amekuwa mbunge muda mrefu hiyo hoja alitakiwa aipeleke bungeni Sio kwa wananchi hakuipeleka wakati uwezo wa kuipeleka alikuwa nao akawa anakula miposho ya bure hapeleki hoja zinazogusa wananchi !! Huo Ni ushahidi wa uzembe wake akiwa mbunge .Hakutumia nafasi yake Kama mbunge kupeleleka hiyo hoja.Bungeni alikalia tu kutetea mabeberu kuongelea MIGA MIGA !!!

Halafu hiyo hoja ya kuokoteza haimo kweye sera zilizozinduliwa na chadema !! Ushahidi mwingine kuwa Lisu Ni mgombea binafsi ndani ya Chadema habebi sera za Chadema anabeba zake za kujitungia hivyo hata akichaguliwa anaonyesha wazi kuwa hatasimamia vilivyomo kwenye sera atatunga vyake

Kazi ya mgombea uraisi Ni kunadi sera za chama zilizoidhinishwa sio kujitungia vya kwake na kuvinadi!!
Kwani kujenga stigglers gorge ilikuwa kwenye ilani ya CCM???

Unauliza Lissu kawa mbunge kwa mda gani????? Kwani kwa kipindi chote alichokuwa mbunge hoja zake zipi mmezifanyia kazi????
 
Kwani kujenga stigglers gorge ilikuwa kwenye ilani ya CCM???

Unauliza Lissu kawa mbunge kwa mda gani????? Kwani kwa kipindi chote alichokuwa mbunge hoja zake zipi mmezifanyia kazi????
Ndio ilikuwemo kwenye Ilani kwenye kipengele Cha kuhakikisha umeme wa uhakika na mwingi unapatikana kwa Bei nafuu na kirahisi bila rushwa
 
CHADEMA wamekuwa wakijitahidi Sana kufanya matukio ya kuvunja Sheria ili vyombo vya dola vichukue hatua na wawekwe ndani I'll wapigiwe kura za kuhurumiwa na wananchi. Huu Ni utamaduni mpya ambao CHADEMA imeouanzisha ambao haujaeahi fanya kazi ila chaguzi zao za ndani unaonyesha kufanya kazi

Yote hiyo inatokana na wao kukosa hoja za Kisiasa tofauti na zamani

Warudi kwenye historia wao walikuwa wakishinda sababu walikuwa na hoja zao binafsi zinazogusa uchumi wa nchi na maendeleo ya nchi mfano Vita dhidi ya mafisadi na ufisadi iliwabeba vizuri mno na wananchi wa Rika zote itikadi zote wakiwemo Wana CCM waliwakubali Hadi Raisi aliikubali aliposhika tu Urais akaanza Vita ya kupambana na mafisadi na ufisadi

Kwa Sasa CHADEMA Haina sera au kitu Cha kueleweka inachosimamia .Kwa miaka mitano hawajajipambanua kuwa wanasimamiwa Nini hasa tofauti na miaka ya nyuma ambapo ukiongelea CHADEMA kila mtu anajua ni wapiga Vita walio msitari wa mbele kupinga ufisadi na wizi wa Mali za umma na rushwa

Sasa hivi wanalia Lia tu kutafuta kura za huruma! Hawana kitu cha maana wanachosimamia
Kwanini mliwapiga risasi?
 
Back
Top Bottom