Uchaguzi 2020 CHADEMA na Tundu Lissu wamekuja na mwarobaini wa tatizo la mfumo wetu wa elimu

Uchaguzi 2020 CHADEMA na Tundu Lissu wamekuja na mwarobaini wa tatizo la mfumo wetu wa elimu

Je! Hii sera yenu ya elimu, ikiwapendeza CCM wakaitekeleza baada ya kushinda 2020, kuna haja ya CHADEMA tena? Kumbuka 2015 kuna zenu zilizotekelezwa na CCM!
 
Hakuna ukweli unaposema elimu yetu siyo shirikishi!? Kunahaja ya kuongeza na kuboresha maeneo fulani has ktk ubunifu lakini tusiidharau na kuiponda elimu yetu.
 
Unajitahidi kuwa viguvugu ila unashindwa. Be honest utaitesa sana nafsi jitahidi ulie ulikopeleka mboga
Kwa hiyo unataka niseme Lissu hawezi kufanya hivyo au hatakuwa Raisi.
 
Mfumo wetu wa elimu ni wa faulu mtihani basi
Nyie wajinga Sana Chadema kwa hiyo hata elimu ya udereva inayotolewa a vyuo vya udereva na ya kumsaidia mtu kufauku mitihani Tu hawezi endesha gari? Kea hiyo magari yote nchini yanaendeshwa na Wakenya au waliosoma Kenya au elimu ya ulaya?

Elimu ya mapishi pia VETA mtu kufaulu tu hawezi pika? Wapishi wore mahotelini Ni Wakenya na waliosoma kenya au elimu ya ulaya?

Elimu ya umakenika pia mtu akiisoma anaishia kufaulu mitihani Tu hawezi tengenexa gari?
Kwa hiyo.makenika tulio naonni waliosoma Kenya na ulaya?


Elimu ya upadre na uchungaji inayotolewa nchini haimuwezeshi mtu kufanya kazi za upadre au uchungaji Ni ya kufaulu mitihani Tu?

Elimu ya uwakili wa sheria inayotolrea nchini haimuwezeshi mtu kufanya kazi za uwakili? Ni ya kumuwezesha kufaulu mitihani Tu?

Kifupi Chadema Ni hopeless kabisa kutwa kusifia vitu vya nje ndio maana tunapisema Lisu Ni mgombea kibaraka wa Wakenya na wazungu hatutanii tuko serious
 
Safi sana chadema Safi sana Rais Tundu Lissu
 
huu ndo mfumo uliopo kote duniani, you cant change it because syllabus sio african based but inaaendana na dunia inavotaka, kwa kifupi kaongea pumba tena, the main reason you have school sio kwenda kujaza vitu kichwan but ni kujifunza namna ya kuendesha maisha kupitia jinsi dunia ilivobadilika, it will forever be here!
 
Nyie wajinga Sana Chadema kwa hiyo hata elimu ya udereva inayotolewa a vyuo vya udereva na ya kumsaidia mtu kufauku mitihani Tu hawezi endesha gari? Kea hiyo magari yote nchini yanaendeshwa na Wakenya au waliosoma Kenya au elimu ya ulaya?

Elimu ya mapishi pia VETA mtu kufaulu tu hawezi pika? Wapishi wore mahotelini Ni Wakenya na waliosoma kenya au elimu ya ulaya?

Elimu ya umakenika pia mtu akiisoma anaishia kufaulu mitihani Tu hawezi tengenexa gari?
Kwa hiyo.makenika tulio naonni waliosoma Kenya na ulaya?


Elimu ya upadre na uchungaji inayotolewa nchini haimuwezeshi mtu kufanya kazi za upadre au uchungaji Ni ya kufaulu mitihani Tu?

Elimu ya uwakili wa sheria inayotolrea nchini haimuwezeshi mtu kufanya kazi za uwakili? Ni ya kumuwezesha kufaulu mitihani Tu?

Kifupi Chadema Ni hopeless kabisa kutwa kusifia vitu vya nje ndio maana tunapisema Lisu Ni mgombea kibaraka wa Wakenya na wazungu hatutanii tuko serious
Fikiri kabla ya kufikri, fikiri kabla ya kusema then fikiri kabla ya kuchukua hatua. Nakupongeza kwa kufikili kabla ya kusema

Ila dadavau je ni asilimia ngapi wanaofika chuo wa wanafunzi wote wa form 4 au Darasa la saba?
 
huu ndo mfumo uliopo kote duniani, you cant change it because syllabus sio african based but inaaendana na dunia inavotaka, kwa kifupi kaongea pumba tena, the main reason you have school sio kwenda kujaza vitu kichwan but ni kujifunza namna ya kuendesha maisha kupitia jinsi dunia ilivobadilika, it will forever be here!
Kama ni mfumo wa dunia ilivyotaka, je mbona Vita vya corona tumevipiga bila kutumia dunia inavyotaka????
 
Mfumo wetu wa elimu ni wa faulu mtihani basi
Nyumba zote unaxoziona pamoja na unayoishi zimejengwa na watu waliosoma Kenya au ulaya? Kama elimu waliyosoma ilikuwa ya kufaulu mitihani Tu waliwezaje kujebga majumba yote unayoayaona ikiwemo ya kwako?

Wewe una mtindio wa akili
 
Waanze kusoma kwanza wao .walikimbia umande leo wanataka kufanya majaribio kwenye elimu yetu na kutupiga mizinga jukwaani
Ni vizuri wamlazimishe Mbowe form six Division zero akasome pia katibu wao mkuu Mnyika form six apelekwe kusoma kwa viboko
 
Ila dadavau je ni asilimia ngapi wanaofika chuo wa wanafunzi wote wa form 4 au Darasa la saba?
Kifupi wengi wanaomaliza darasa Saba na form four huenda Vyuo vya VETA kusoma vya muda mrefu au mfupi
 
Nyie wajinga Sana Chadema kwa hiyo hata elimu ya udereva inayotolewa a vyuo vya udereva na ya kumsaidia mtu kufauku mitihani Tu hawezi endesha gari? Kea hiyo magari yote nchini yanaendeshwa na Wakenya au waliosoma Kenya au elimu ya ulaya?

Elimu ya mapishi pia VETA mtu kufaulu tu hawezi pika? Wapishi wore mahotelini Ni Wakenya na waliosoma kenya au elimu ya ulaya?

Elimu ya umakenika pia mtu akiisoma anaishia kufaulu mitihani Tu hawezi tengenexa gari?
Kwa hiyo.makenika tulio naonni waliosoma Kenya na ulaya?


Elimu ya upadre na uchungaji inayotolewa nchini haimuwezeshi mtu kufanya kazi za upadre au uchungaji Ni ya kufaulu mitihani Tu?

Elimu ya uwakili wa sheria inayotolrea nchini haimuwezeshi mtu kufanya kazi za uwakili? Ni ya kumuwezesha kufaulu mitihani Tu?

Kifupi Chadema Ni hopeless kabisa kutwa kusifia vitu vya nje ndio maana tunapisema Lisu Ni mgombea kibaraka wa Wakenya na wazungu hatutanii tuko serious
Akili kama ya kwako inaitwa fixed mindset, watu wenye akili kama hizi, hawawezi kujifunza jambo jipya! Hili ni zao la elimu yetu ya kukremu na kukariri!
Lakini tumia akili ndogo tu kujizuia kupinga kila kitu, ili ccm wakiichukua hii sera kama walivyo chukua ya elimu bure, usionekane mnafiki!
 
Kwangu mimi haiwezekani.
Jitaidi tu ndugu yangu, mabadiliko yanaanza na wewe! Na haina haja ya kutangaza msimamo huo hapa, au kuhama ccm, kura ni Siri yako, October 28 chagua CHADEMA, tuipeleke nchi yetu pazuri!
 
huu ndo mfumo uliopo kote duniani, you cant change it because syllabus sio african based but inaaendana na dunia inavotaka, kwa kifupi kaongea pumba tena, the main reason you have school sio kwenda kujaza vitu kichwan but ni kujifunza namna ya kuendesha maisha kupitia jinsi dunia ilivobadilika, it will forever be here!
Unazungumzia dunia ipi mkuu? Hata watoto wa viongozi wetu wanapelekwa kusoma huko duniani, kama Miraji Kikwete, ambaye kuna mtu amemtaja hapa! Kuwa na uwezo wa unibunifu na ku-reason kunatokana na mfumo wa elimu.

Mfumo wetu huu tumeiga nchi zilizo kuwa za kikomonisti, ambapo mwalimu na mtaala Ndio kila kitu, mwanafunzi anapaswa kusikiliza kila anachoambiwa bila kipinga ama kuhoji. Mifumo ya nchi nyingine za magharibi ni tofauti, na kuna shule ambazo zina uhuru wa kupita mipaka kwa wanafunzi, lakini kuna zenye balance.

Sera ya CHADEMA ya elimu, ni shirikishi na utafanyika mchakato mkubwa, ukishirikisha wadau na wananchi kwa jumla kuboresha elimu yetu.
 
Kwa hili namuunga mkono kwa asilimia zote!!

Mfumo wa elimu tunaouhitaji ni wa kuwawezesha watu kuwa na practical skills kwa kiasi kikubwa!

Hatuhitaji elimu za mkwawa alifia bwawa gani, sijui mzungu wa kwanza anaitwa nani!! Elimu ya kipumbavu sana!

Fumua kabisa huu ugonjwa wote wa akina ndalichako!
Kweli tuna mitaala outdated, tujikite kwenye vocation education, ili mtoto akimaliza STD 7 Kama atashinda kuendelea aweze kujiajiri au kuajirika, vivyo hivyo kwa form IV ,na FormVI

Mi namshauri Lisu badala ya kununua ndege tujenge vVETA kila kata nchi nzima

Pia turudishe au tujenge Tena Technical college kila mkoa, zilizokuwepo wanasiasa eti wamezigeuza University za theories

Elimu iwe Ni pyramidal approach, ili wengi wanaodrop primary level tayari Wana vocational skilis za kuishi, then wanaodrop form fourvivyo hivyo, wachache wanaodrop form six Hao nao wanaenda vyuo vya Kati kupata skills, halafu ile cream ndo tunaipeleka university
 
Mheshimiwa lissu sera yetu ya elimu yetu isisahau kuwekeza hela nyingi kwenye vitengo vya research vyuo vikuu,

Tunayo pia tume ya sayansi na technologia
Ni wakati wa kuimarisha ili iwe na tija
 
Back
Top Bottom