Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅Kwa hali hii:
View attachment 3228911
Sote ni ndugu kwa nini tusiwe na agenda moja za haki?
Duniani sote wapita njia.
Huyu dada ni nani, Upendo Peneza?Matokeo ya kula CCM na Kulala Chadema hayo 🤗
Ni kama yeye, hizo filter zimefanya nishindwe kumtambua sawasawaHuyu dada ni nani, Upendo Peneza?
filter? 🤭Ni kama yeye, hizo filter zimefanya nishindwe kumtambua sawasawa
Makeups zao, maana sijavaa miwani lakini namwona alivyopendeza 🙌filter? 🤭
My friends ladies and gentlemen,Kwa hali hii:
View attachment 3228911
Sote ni ndugu kwa nini tusiwe na agenda moja za haki?
Duniani sote wapita njia.
ni muhimu zaidi kujiepusha kubabaika na kuhadaishwa na na technolojia.
My friends ladies and gentlemen,
hamna haja ya kubaishwa na scene za Artificial Intelligence na mkababaika kiasi hicho,
agenda ya Taifa 2025-2030 ni Dr.Samia Suluhu Hassan, na agenda ya Taifa kwa mwaka 2030-2040 ni Dr Emanuel Nchimbi, Full stop.🐒