CHADEMA ni chama Kikuu cha Upinzani kwa vigezo gani?

CHADEMA ni chama Kikuu cha Upinzani kwa vigezo gani?

ACT Wazalendo ina wabunge 4 wa kuchaguliwa.

CHADEMA ina mbunge mmoja wa kuchaguliwa

CUF ina mbunge mmoja wa kuchaguliwa.

CHADEMA haina mbunge wabunge wa viti maalumu wanadai walishawafukuza.

J J Mnyika anasema CHADEMA ina wajibu kama chama kikuu cha upinzani.

Ndio nauliza CHADEMA ni chama kikuu cha upinzani kwa vigezo gani?

Kuuliza siyo ujinga

Maendeleo hayana vyama!
Kuwa na wabunge waliopita kwa vigezo vya rushwa hakukipi uhai chama fulani na kuua chama fulani,kigezo cha uhai wa chama ni taasisi iliyopo kwenye chama hicho ambapo hakitegemei rushwa,mtu,sifa za kijinga bali kinalinda katiba yake 100% huu ndio msingi wa CHADEMA (CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO)UHURU NA WATU,WATU NA MAENDELEO.
 
ACT Wazalendo ina wabunge 4 wa kuchaguliwa.

CHADEMA ina mbunge mmoja wa kuchaguliwa

CUF ina mbunge mmoja wa kuchaguliwa.

CHADEMA haina mbunge wabunge wa viti maalumu wanadai walishawafukuza.

J J Mnyika anasema CHADEMA ina wajibu kama chama kikuu cha upinzani.

Ndio nauliza CHADEMA ni chama kikuu cha upinzani kwa vigezo gani?

Kuuliza siyo ujinga

Maendeleo hayana vyama!
Kigezo ni kura, mpuuzi wewe
 
ACT Wazalendo ina wabunge 4 wa kuchaguliwa.

CHADEMA ina mbunge mmoja wa kuchaguliwa

CUF ina mbunge mmoja wa kuchaguliwa.

CHADEMA haina mbunge wabunge wa viti maalumu wanadai walishawafukuza.

J J Mnyika anasema CHADEMA ina wajibu kama chama kikuu cha upinzani.

Ndio nauliza CHADEMA ni chama kikuu cha upinzani kwa vigezo gani?

Kuuliza siyo ujinga

Maendeleo hayana vyama!
Katika uchaguzi mkuu wa rais uliopita walipata zaidi ya 5% ya kura na hakuna chama kingine kilichopata zaidi ya hizo.
 
Ukishakuwa na tatizo la kutojiamini hata akipita kuku mbele yako utamuona anakuringia.
 
Inaweza kuwa katika ligi timu mojawapo kati ya Simba na Yanga inaongoza ligi na nyingine ni ya tisa katika msimamo wa ligi, na wakati huo huo kuna timu zinafuatia kwa ile ya kwanza.
Lakini bado hiyo haiondoi ushindani wa timu mbili hizo na hapo ndipo anapatikana mpinzani mkuu.
 
ACT Wazalendo ina wabunge 4 wa kuchaguliwa.

CHADEMA ina mbunge mmoja wa kuchaguliwa

CUF ina mbunge mmoja wa kuchaguliwa.

CHADEMA haina mbunge wabunge wa viti maalumu wanadai walishawafukuza.

J J Mnyika anasema CHADEMA ina wajibu kama chama kikuu cha upinzani.

Ndio nauliza CHADEMA ni chama kikuu cha upinzani kwa vigezo gani?

Kuuliza siyo ujinga

Maendeleo hayana vyama!
Kuwa na wabunge waliopita kwa vigezo vya rushwa hakukipi uhai chama fulani na kuua chama fulani,kigezo cha uhai wa chama ni taasisi iliyopo kwenye chama hicho ambapo hakitegemei rushwa,mtu,sifa za kijinga bali kinalinda katiba yake 100% huu ndio msingi wa CHADEMA (CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO)UHURU NA WATU,WATU NA MAENDELEO.
Lile ni genge la wahuni
kama lile la chato siyo?
 
ACT Wazalendo ina wabunge 4 wa kuchaguliwa.

CHADEMA ina mbunge mmoja wa kuchaguliwa

CUF ina mbunge mmoja wa kuchaguliwa.

CHADEMA haina mbunge wabunge wa viti maalumu wanadai walishawafukuza.

J J Mnyika anasema CHADEMA ina wajibu kama chama kikuu cha upinzani.

Ndio nauliza CHADEMA ni chama kikuu cha upinzani kwa vigezo gani?

Kuuliza siyo ujinga

Maendeleo hayana vyama!
Kigezo kikubwa ni hizi post zako za kuwaandama.
 
Swali alilo uliza linahitaji majibu kwa fact sio kuachama na maneno kudondoka. Wewe umejibu kwa shali Wakati ameuliza kwa nia ya kuhitaji kufahamu. Si bora ungekaa kimya kama sisi wengine ambao hatuna majibu tunasubiria wenye uelewa wa hili watoe majibu. Tanzania sijui akili zetu zilienda wapi
UmekaaJe kimya huku unazungumza ![emoji102].
 
Kuwa na wabunge waliopita kwa vigezo vya rushwa hakukipi uhai chama fulani na kuua chama fulani,kigezo cha uhai wa chama ni taasisi iliyopo kwenye chama hicho ambapo hakitegemei rushwa,mtu,sifa za kijinga bali kinalinda katiba yake 100% huu ndio msingi wa CHADEMA (CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO)UHURU NA WATU,WATU NA MAENDELEO.

kama lile la chato siyo?
Ubelgiji
 
Back
Top Bottom