CHADEMA ni kiboko, Rufaa inachukua miaka miwili kusikilizwa!

CHADEMA ni kiboko, Rufaa inachukua miaka miwili kusikilizwa!

Tena ni afadhali angalau rufaa hii imeweza kusikilizwa baada ya naniliu kupewa fedha za kuitisha kikao hiki na nanilii!, Mamlaka ya rufaa ya NKM na M/Bawacha ni Baraza Kuu. Zitto alitimuliwa na CC ya Chadema, bila kuitishwa kabisa Baraza Kuu at all!. Kwa Halima Mdee ambaye Baraza Kuu, ndio Mamlaka yake ya nidhamu, haijapelekewa mashitaka yoyote ya Mdee!.
Kiukweli safari ya Upinzani Tanzania, bado ni ndefu!.
P
Babu unajitahidi sana kujipendekeza kwa kutumia Chadema ili upate uteuzi pole sana.Hii KATIBA imezalisha taifa la watu wa hovyo sana mazezeta yasiyo taka kufanya kazi za halali wanasubiri teuzi kufanya siasa za Umalaya malayatuu.
 
Kufungwa jela kumeathiri uwezo wako wa kuhesabu miaka
 
Tena ni afadhali angalau rufaa hii imeweza kusikilizwa baada ya naniliu kupewa fedha za kuitisha kikao hiki na nanilii!, Mamlaka ya rufaa ya NKM na M/Bawacha ni Baraza Kuu. Zitto alitimuliwa na CC ya Chadema, bila kuitishwa kabisa Baraza Kuu at all!. Kwa Halima Mdee ambaye Baraza Kuu, ndio Mamlaka yake ya nidhamu, haijapelekewa mashitaka yoyote ya Mdee!.
Kiukweli safari ya Upinzani Tanzania, bado ni ndefu!.
P

Lakini ktk hili sakata mbona unapenda kuanzia kwenye issue ya rufaa tu na hutazami suala zima la kisheria na kanuni jinsi wabunge viti maalum wanavyopendekezwa na kila chama wakati wa uchaguzi na orodha ya majina kupelekwa NEC kungojea matokeo ya kura za urais kila chana kinavyopata?

Orodha ya majina pendekezwa viti maalum ya CDM yalipelekwa NEC kabla ya siku ya uchaguzi kungojea idadi ya kura chama hicho kingepata ili kupata idadi kamili ya wabunge hao idadi ambayo kwa CDM ilikuwa wabunge 19.

Sasa Paskali unataka kuniambia kuwa orodha hiyo ilijumuisha majina ya watu waliokuwa mahabusu na pia wale ambao walikuwa wanagombea ubunge katika majimbo yao? Eg Mdee na Bulaya?

Paskali kimakusudi unaliacha suala hili kulizungumzia suala hili.
Isitoshe mbona NEC mpaka sasa inashindwa kuianika barua inayosemekana iliandikwa na KM wa CDM na orodha ya hao 19?

Kwa maoni yangu ni vyema akina Mdee waende mahakamani kwani huko Team Kibatala itahakikisha yote haya nyuma ya pazia yajulikane wazi, kuna uhalifu mkubwa pamoja na kughushi nyaraka ulifanywa na mamlaka za nchi - Mhimili wa utawala (NEC) na Bunge.

Kama NEC tayari walikuwa na orodha pendekezwa ya majina kutoka CDM kwa nini wahangaike kutafuta mengine?

Hapa inaonekana waliotakiwa kuingizwa Bungeni ni kina Mdee etc tu.
 
Jee wamealifu kifungu gani cha Katiba ya chadema?
 
Babu unajitahidi sana kujipendekeza kwa kutumia Chadema ili upate uteuzi pole sana.Hii KATIBA imezalisha taifa la watu wa hovyo sana mazezeta yasiyo taka kufanya kazi za halali wanasubiri teuzi kufanya siasa za Umalaya malayatuu.
Katiba ya Chadema ya hovyo sana, kusikiliza rufaa moja inachukua miaka miwili, hawa ndio wanataka tuwape nchi wasimamie mahakama? Kesi ya wizi wa bata itachukua miaka sita
 
Tena ni afadhali angalau rufaa hii imeweza kusikilizwa baada ya naniliu kupewa fedha za kuitisha kikao hiki na nanilii!

Mamlaka ya rufaa ya NKM na M/Bawacha ni Baraza Kuu. Zitto alitimuliwa na CC ya Chadema, bila kuitishwa kabisa Baraza Kuu at all!. Kwa Halima Mdee ambaye Baraza Kuu, ndio Mamlaka yake ya nidhamu, haijapelekewa mashitaka yoyote ya Mdee!.

Kiukweli safari ya Upinzani Tanzania, bado ni ndefu!.
P
Toka hapa huna maana kabisa. Umeshindwa kuona makosa ya waziwazi unashabikia procedure
 
BBaada
Ni lazima Msajili wa vyama vya siasa nchini aingilie Kati suala hili.

Hawa akina Halima Mdee na wenzake wamesubiri takribani miaka miwili Rufaa zao kusikilizwa hii si sawa kabisa.

Mambo kama haya huwezi kuyaona CCM

Halafu wanasema katiba mpya inachelewa, ooohhh kesi mahakamani zinachelewa, maendeleo yamecheleweshwa Tanzania, wao rufaa tu miaka miwili, nchi wataiweza? Ccm walimpa za uso Ndungai fasta ndani ya wiki tu.

Chadema kufanya uamuzi wa kujenga shimo la choo wanaweza kuchukua miaka mitatu, sembuse ujenzi wa barabara
Baada ya viruzuku kumsaidia jamaa kununulia vimaandazi pale ngomeni sasa baada ya kua out na kupitisha bakuli mitaani kapata nguvu ya kufanya maamuzi
 
Tena ni afadhali angalau rufaa hii imeweza kusikilizwa baada ya naniliu kupewa fedha za kuitisha kikao hiki na nanilii!

Mamlaka ya rufaa ya NKM na M/Bawacha ni Baraza Kuu. Zitto alitimuliwa na CC ya Chadema, bila kuitishwa kabisa Baraza Kuu at all!. Kwa Halima Mdee ambaye Baraza Kuu, ndio Mamlaka yake ya nidhamu, haijapelekewa mashitaka yoyote ya Mdee!.

Kiukweli safari ya Upinzani Tanzania, bado ni ndefu!.
P
Acha uongo huu hii ndio ina wafanya watu wenye taaluma ya uandishi kama wewe wote wanaonekana wapumbavu kama ulivyo Mjinga!!!..
 
Tena ni afadhali angalau rufaa hii imeweza kusikilizwa baada ya naniliu kupewa fedha za kuitisha kikao hiki na nanilii!

Mamlaka ya rufaa ya NKM na M/Bawacha ni Baraza Kuu. Zitto alitimuliwa na CC ya Chadema, bila kuitishwa kabisa Baraza Kuu at all!. Kwa Halima Mdee ambaye Baraza Kuu, ndio Mamlaka yake ya nidhamu, haijapelekewa mashitaka yoyote ya Mdee!.

Kiukweli safari ya Upinzani Tanzania, bado ni ndefu!.
P
Baraza lilvomtimua zitto alikimbilia mahakamani hakukata rufaa kamati kuu usipotoshe na ndomana alichemka kesi chadema wakishakufukuza niwewe Sasa kuchagua moja uwe mbunge wamahakama kwakua unataarifa mbowe kapewa pesa na ikulu unavosema maana akina mdee hawawezi Tena kuwa wabunge Mana serikali yasasa inataka usafi
 
Ni lazima Msajili wa vyama vya siasa nchini aingilie Kati suala hili.

Hawa akina Halima Mdee na wenzake wamesubiri takribani miaka miwili Rufaa zao kusikilizwa hii si sawa kabisa.

Mambo kama haya huwezi kuyaona CCM
Jinsi akili yako ivyokosa akili umeshajisaulisha kuwa MaCCM mlimpa mzee Mbowe kesi ya UGAIDI na mkafunga miezi nane tunahangaika na kesi ya MCHONGO. MaCCM mlikua hamtaki kabisa kuona CHEDEMA wakikutana, mlihakikisha hawakutani popote na mkatumia policcm kushusha bendera na kukamata walipofanya mikutano.
Watu wa hovyo sana nyie, ni takataka kabisa kabisa.
 
Wanastahili pongezi kwa kufanikiwa kukaa Baraza kuu, naamini ni gharama kubwa sana kukusanya watu wengi vile ,

Ikizingitiwa Hawana ruzuku Wala mapato ya uhakika,

Ila kiukweli waangalie upya mifumo Yao ya rufaa Ili isicheleweshe haki za watu
Washenzi na wanafiki wakubwa hao MATAGA. Wangekaa vipi mara hii wamesahau policcm walivyokuwa wanavamia na kuvuruga mikutano ya Chadema. Hii nchi una wanafiki wakubwa sana.
 
Tena ni afadhali angalau rufaa hii imeweza kusikilizwa baada ya naniliu kupewa fedha za kuitisha kikao hiki na nanilii!

Mamlaka ya rufaa ya NKM na M/Bawacha ni Baraza Kuu. Zitto alitimuliwa na CC ya Chadema, bila kuitishwa kabisa Baraza Kuu at all!. Kwa Halima Mdee ambaye Baraza Kuu, ndio Mamlaka yake ya nidhamu, haijapelekewa mashitaka yoyote ya Mdee!.

Kiukweli safari ya Upinzani Tanzania, bado ni ndefu!.
P
Dah Mr, Njaa umeuza ID au ndio njaa inapiga kweli, unaona isije kuwa tabu umeamua kuwa takataka kama takataka zingine za Majalalani pale CCM..?!
Wewe wakuandika hivi humu, kweli!!
”Nanilii..naniuu..”ndio vitu gani mkuu, yaani dah upewe tu teuzi na mama kama zipo. Balaa hili sasa.
 
Tena ni afadhali angalau rufaa hii imeweza kusikilizwa baada ya naniliu kupewa fedha za kuitisha kikao hiki na nanilii!

Mamlaka ya rufaa ya NKM na M/Bawacha ni Baraza Kuu. Zitto alitimuliwa na CC ya Chadema, bila kuitishwa kabisa Baraza Kuu at all!. Kwa Halima Mdee ambaye Baraza Kuu, ndio Mamlaka yake ya nidhamu, haijapelekewa mashitaka yoyote ya Mdee!.

Kiukweli safari ya Upinzani Tanzania, bado ni ndefu!.
P
Hivi ndivyo walivyofanya- NDIYO maana Mdee anasema ni UHUNI?!
 
Hivi ndivyo walivyofanya- NDIYO maana Mdee anasema ni UHUNI?!
Bora akae kimya walau alinde hako kaheshima kadogo kalikosalia.Kadri anavyozidi kuongea anapoteza mvuto kabsaa au ajiunge na Lipumba.
 
Mwenyekiti alikuwa anakula kamisheni kwanza! Gerezani ni zuga tu!!
 
Tena ni afadhali angalau rufaa hii imeweza kusikilizwa baada ya naniliu kupewa fedha za kuitisha kikao hiki na nanilii!

Mamlaka ya rufaa ya NKM na M/Bawacha ni Baraza Kuu. Zitto alitimuliwa na CC ya Chadema, bila kuitishwa kabisa Baraza Kuu at all!. Kwa Halima Mdee ambaye Baraza Kuu, ndio Mamlaka yake ya nidhamu, haijapelekewa mashitaka yoyote ya Mdee!.

Kiukweli safari ya Upinzani Tanzania, bado ni ndefu!.
P
Na hapo ndo patafanya waendelee na ubunge maana viongozi wote wanabishania ruzuku na join the chain.
 
Bora akae kimya walau alinde hako kaheshima kadogo kalikosalia.Kadri anavyozidi kuongea anapoteza mvuto kabsaa au ajiunge na Lipumba.
Naona kama mnaelekea mahakamani
 
Back
Top Bottom