CHADEMA ni kundi La Nzige

CHADEMA ni kundi La Nzige

Join Date: 20th April 2015
Posts: 920
Rep Power: 492

Likes Received:103
Likes Given:37

Kwa mtu mwenye sifa hizi ni lazima ulie na kupiga uuuwi tu huna jinsi! hapa umekutana na Gogo la Choo; kama unajua maana yake! watu wengine mnafanya kuandika andika kwenye jamvi hili kama hobby; huu ni uwanja wa wana taaluma sio mazao ya shule za kata zilizoasisiwa na Mr Politician fulani anayesubiri kuchinjiwa baharini in due cause!

Haya maneno hata kwenye kanga yapo kibao!!Tena wewe umekosea ungeweka na picha yangu kabisa ndo ninekuona mjanja badala yake unaishia kucopy kwenye akaunt ku- verify ukomo wa uwezo wako!!
 
Maembe huwa yanaliwa tu au si mkuu.

Yees! maembe yanaliwa ndio maana mti wenye "Maembe mengi ndio hupopolea mawe" kwa saaana! hii ni semantic tu; usijielekeze sana kwenye maembe; matunda kama maembe! tafakari; use your gumption! utapata jibu kwa nini watu wengi wanahangaika kuipopoa mawe CDM!
 
Nimekuwa nikiwafuatilia hawa watu hasa viongozi na vijana wao hawana nia njema na watanzania,wanaendeshwa na mihemuko ya Siasa, vurugu ,unafiki na Matusi pamoja na uongo.Kwa matendo yao watanzania tuwahukumu na kamwe tusiwqpe nafasi ya kutuongoza!
Vipi Umeshatoka kwenye kile choo cha shimo??
 
Hivi unaweza kuondoka nyumbani eti unaenda kuwapigia kura CHADEMA? Ni uwendawazimu wa hali ya juu,

Kwa maslahi mapana ya Taifa letu, hawa CHADEMA tuendelee kuwaepuka!

Kama propaganda hata sisi tunazijua. Endeleeni kujidanganya hata Gadaffi alikuwa haamini kama anashindwa mpaka alipokuwa mtaroni. Mnatapatapa na vijana tumejiandikisha kwa wingi mtakoma kiama chenu very soon
 
Yees! maembe yanaliwa ndio maana mti wenye "Maembe mengi ndio hupopolea mawe" kwa saaana! hii ni semantic tu; usijielekeze sana kwenye maembe; matunda kama maembe! tafakari; use your gumption! utapata jibu kwa nini watu wengi wanahangaika kuipopoa mawe CDM!

Unarukaruka tu mtaalamu wa Fasihi,nenda kafundishe,maembe huliwa tu hata kama hutaki.
 
Kama propaganda hata sisi tunazijua. Endeleeni kujidanganya hata Gadaffi alikuwa haamini kama anashindwa mpaka alipokuwa mtaroni. Mnatapatapa na vijana tumejiandikisha kwa wingi mtakoma kiama chenu very soon

Dogo aka Buguruni team naon uko lindo teh teh teh hizo propaganda peleka Uscotch aliko babu.
 
Mmeacha kudiscuss ishu za maana za nchi hii na ufisadi unaoikumba nchi hii kutokana na uongozi mbovu wa serikali mnashabikia siasa za vyama.
Enewei, kwani serikali iliyopo madarakani kwa sasa ni serikali ya chama gani tenaaaa?
 
Mmeacha kudiscuss ishu za maana za nchi hii na ufisadi unaoikumba nchi hii kutokana na uongozi mbovu wa serikali mnashabikia siasa za vyama.
Enewei, kwani serikali iliyopo madarakani kwa sasa ni serikali ya chama gani tenaaaa?

Issue hapo sio Serikali ya chama gani,msumeno unakata kotekote tulia CDM member ukatwe acha kurukaruka muulize boss wenu nyie watetezi wa wanyonge Mbona mmefisadi Ruzuku?kama unabisha pitia ripoti ya CAG NI NZIGE TU.
 
Issue hapo sio Serikali ya chama gani,msumeno unakata kotekote tulia CDM member ukatwe acha kurukaruka muulize boss wenu nyie watetezi wa wanyonge Mbona mmefisadi Ruzuku?kama unabisha pitia ripoti ya CAG NI NZIGE TU.

Moja, Sidhani kama CDM wanaweza kuwazidi magamba kwenye ufisadi ndani ya nchi hii.
Pili, sidhani kama una ushahidi na vithibitisho kama ambavyo ushahidi dhidi ya serikali ya CCM ulivyojaa kila kona.
Tatu, anika facts na vielelezo na acha hizo facts zipige kelele zenyewe.
 
Vipi Umeshatoka kwenye kile choo cha shimo??

Ka ka Ka! unakumbukia mambo yako halafu unatujulisha tujue unachofanya eee! Hekima kwanza ungekaa kimya kuliko kujianika best. Katembee hata vile vya kulipia tu anagalau uone na kuosha macho kidogo. Kaaa! shimo? Hatari!
 
Moja, Sidhani kama CDM wanaweza kuwazidi magamba kwenye ufisadi ndani ya nchi hii.
Pili, sidhani kama una ushahidi na vithibitisho kama ambavyo ushahidi dhidi ya serikali ya CCM ulivyojaa kila kona.
Tatu, anika facts na vielelezo na acha hizo facts zipige kelele zenyewe.

Hudhani ha ha ha kumbe naongea na mtu asiyejua anachangia nini kama huelewi kamuulize Makene,msemaji wenu atakuambia Ufisadi wa CDM uko wapi afu leo wanasimama kwenye majukwaamkupinga ufisadi wakati wao ni Nzige wa Ruzuku wanayopewa na Serikali ya CCmM hiyo tu yatosha kuwajibika!Ama kweli nyani haoni ..........ll!!!!
 
Hudhani ha ha ha kumbe naongea na mtu asiyejua anachangia nini kama huelewi kamuulize Makene,msemaji wenu atakuambia Ufisadi wa CDM uko wapi afu leo wanasimama kwenye majukwaamkupinga ufisadi wakati wao ni Nzige wa Ruzuku wanayopewa na Serikali ya CCmM hiyo tu yatosha kuwajibika!Ama kweli nyani haoni ..........ll!!!!

Anika facts na vielelezo na acha hizo facts zipige kelele zenyewe.
Mbona scandal zenu za Escrow, Richmond na madubwasha mengine kadha wa kadha ushahidi vielelzo vilitolewa.
Iweje we ushindwe kutoa vielelezo vya scandal hii ndogo unayoishabikia mkuu?
 
Haya maneno hata kwenye kanga yapo kibao!!Tena wewe umekosea ungeweka na picha yangu kabisa ndo ninekuona mjanja badala yake unaishia kucopy kwenye akaunt ku- verify ukomo wa uwezo wako!!

You are good for the archives kama jina lako Kinje; Niliona kama ulisema umekoma hutaki kupoteza muda? so you are back?!
ku-relate to your forum particulars ni kukuonyesha kuwa kwa vigezo hivyo you are still too green; a fresher; A rookie for that matter; to weigh in on anything of substance on this forum; Ukikua utaelewa.
 
Nimekuwa nikiwafuatilia hawa watu hasa viongozi na vijana wao hawana nia njema na watanzania,wanaendeshwa na mihemuko ya Siasa, vurugu ,unafiki na Matusi pamoja na uongo.Kwa matendo yao watanzania tuwahukumu na kamwe tusiwqpe nafasi ya kutuongoza!
CCM NI VIBAKA TU by makongoro
 
You are good for the archives kama jina lako Kinje; Niliona kama ulisema umekoma hutaki kupoteza muda? so you are back?!
ku-relate to your forum particulars ni kukuonyesha kuwa kwa vigezo hivyo you are still too green; a fresher; A rookie for that matter; to weigh in on anything of substance on this forum; Ukikua utaelewa.

MTK with useless evidence to relay, stay back!muulize
Makene au naongea na Id yake hapa.
 
Issue hapo sio Serikali ya chama gani,msumeno unakata kotekote tulia CDM member ukatwe acha kurukaruka muulize boss wenu nyie watetezi wa wanyonge Mbona mmefisadi Ruzuku?kama unabisha pitia ripoti ya CAG NI NZIGE TU.
Watatukana sana maana wameishiwa point. Wamechanganyikiwa wanaopoka hovyo hovyo tu kama mfa maji or CDM wamekua hivi wamekua vile, kwani mmeambiwa ni ushabiki au sera? Subirini October makelele ya nini
 
Yees! maembe yanaliwa ndio maana mti wenye "Maembe mengi ndio hupopolea mawe" kwa saaana! hii ni semantic tu; usijielekeze sana kwenye maembe; matunda kama maembe! tafakari; use your gumption! utapata jibu kwa nini watu wengi wanahangaika kuipopoa mawe CDM!
Mwehu wewe ndo umeongea nini hapo?!
 
Back
Top Bottom