CHADEMA ni kundi La Nzige

CHADEMA ni kundi La Nzige

utakuwa bado hujanywa maji ya bendera ,ccm si mama yangu wala baba yangu ,by j.k nyerere
Shida ya wachumia matumbo vijana wa chadema kwanza hunywa viroba asubuhi asubuhi ndo maana wanachokiandika ni povu tupu! Ona upuuzi uloweka hapo wewe kibaraka wa Ukawa
 
Watatukana sana maana wameishiwa point. Wamechanganyikiwa wanaopoka hovyo hovyo tu kama mfa maji or CDM wamekua hivi wamekua vile, kwani mmeambiwa ni ushabiki au sera? Subirini October makelele ya nini
Wewe barking dog, kojoa ukalalwe, unabwabwaja bwabwaja upuuzi gani hapo?! Weka hoja acha ushabiki, Chadema njaa inawasumbua, october itafika na hamtaambulia kitu, maana kila mwaka wa uchaguzi ukifika maneno yenu ndo hayo hayo hata kwenye khanga yamo.
 
Mtu kutoka kaole Sanaa group (Zembwela) hawezi kunielewa!! ndio maana unajitambulisha kama jay Millionea! Bs

Hoja ndiyo msingi wa majadiliano. Wachangiaji jifunzeni kujenga hoja ili kuwa na mjadala wenye tija kwa wasomaji wa JF.
 
Hoja ndiyo msingi wa majadiliano. Wachangiaji jifunzeni kujenga hoja ili kuwa na mjadala wenye tija kwa wasomaji wa JF.

To every action there is an equal and opposite reaction" Newtons 3rd law of motion. kama hujui hilo rudi darasani! Mtu akija na hoja ya kipuuzi; hususani yenye utusi na kashfa atajibiwa in kind; anayekuja na hoja yenye maana na kuiwakilisha kiungwana atajibiwa kisomi na kiungwana pia; kumbuka what goes around; comes around, kama hulijui hilo pia; rudi kindergarten!
 
To every action there is an equal and opposite reaction" Newtons 3rd law of motion. kama hujui hilo rudi darasani! Mtu akija na hoja ya kipuuzi; hususani yenye utusi na kashfa atajibiwa in kind; anayekuja na hoja yenye maana na kuiwakilisha kiungwana atajibiwa kisomi na kiungwana pia; kumbuka what goes around; comes around, kama hulijui hilo pia; rudi kindergarten!

Wa kurudi darasani haya, ila Muungwana ni vitendo, tujali utu wetu, tuwajali wasomaji wetu, tusiwafukuze wasomaji hao kwa lugha za matusi, kejeli na vitu kama hivyo. Busara hainunuliwi dukani. Tunayoyazungumza humu JF yajali misingi ya utu na udugu, amani na utulivu, umoja na mshikamano katika nyanja zote za maisha.
 
Wanajiita miamba ya Kaskazini, teh teh teh akiinuka kiongozi yoyote zaidi yao hawamruhusu kuishi kama unabisha muulize Zitto Kabwe alipokua Mwenyekiti wa PAC na Mbunge wa CDM katika nafasi ya juu ya utendaji kwa kuweka maslahi na mahaba niue ya chama pembeni alipomtaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG na Msajili wa Vyama vya Siasa kuanza kulitilia mkazo na kuanza mara moja kufuatilia na kukagua Ruzuku kwenye vyama vya Siasa, CHADEMA walianza kumchukia ghafla kama sio Nzige hao ni nani teh teh teh wanalamba Ruzuku hao ni sheedah maana wao ni wa pili kwa kupata Ruzuku kubwa kwa upande wa vyama vya siasa! Afu wanajifanya watetezi wa wanyonge na wanachukia Rushwa. Ni NZIGE TU.

CHADEMA.

1992-1998. M/ kiti Edwin Mtei
1988-2003. M/kiti Bob Makani
2003-2008. Mkiti Freeman Mbowe
2009-2014. M/ kiti Freeman Mbowe
2014-2019. M/ kiti Freeman Mbowe





Hahahahahahahahha kaka CHADEMA sio chama cha siasa kaka wale wanaharakati na wasitegemee uwanaharakati wao wananchi tutawaelewa na kuwapa uongozi yaan hawa jamaa wakishika madaraka yatakuwa yale ya nkuruzinza...nisihukumiwe kwa hili hiyo ndio trend kwa jinsi inavyojionesha since then
 
Huku kwetu kuliko ungua shoka mpini ukabaki; Bukama Batoko tafsiri yake sikwambii leo wala kesho! bali itoshe tu kukushauri kwamba "Jiunge na timu ya washindi" kabla hakujakucha!! Fikra za CDM ndio fikra za wakati uliopo; going forward;
Ukiona kila mtia nia wa CCM anatangaza nia kwa kutaka kuijenga upya Tanzania! salaaale! kwani tumepata uhuru leo?! eti kupambana na rushwa na ufisadi; Aaastagafilulahi! rushwa na ufisadi vimetoka wapi wakati wao ndio wako madarakani? na hao mafisadi, wala rushwa na majangili ni kina nani!? Eti kuimarisha amani na mshikamano, kumbe vimetikisika under their watch?! eti kujenga uchumi wa viwanda; afanaleki! viwanda alivyoacha mwalimu vimekwenda wapi na wao ndio watawala!?; au kuna Tsunami ilipita vikatumbukia kweusi?! Eti kudumisha muungano; kwani hizo nyufa na kero hawazioni au ndio kesi ya "Funika kombe mwanaharamu apite?!!

Hata hivyo; pole sana Bukama Batoko; kwa CV hii hapa chini wewe bado ni wa "Chandimu" kule mchangani; kwa ligu kuu hujapevuka; tulia ukikua utaelewa! au jiunge na ACT; alliance for cowards and traitors watoto wenzio!
Join Date: 27th April 2015
Posts: 157
Rep Power: 338

Likes Received: 22
Likes Given: 14

text color mine and deliberate!!

asipokuelewa hapo mkuu kamwe hatokuelewa iko vizur sna hoja za upinzani zimekuwa hoja za watia nia wa ccm.
 
Hahahahahahahahha kaka CHADEMA sio chama cha siasa kaka wale wanaharakati na wasitegemee uwanaharakati wao wananchi tutawaelewa na kuwapa uongozi yaan hawa jamaa wakishika madaraka yatakuwa yale ya nkuruzinza...nisihukumiwe kwa hili hiyo ndio trend kwa jinsi inavyojionesha since then

siasa zipo ccm kila mtia nia anataka kutokemeza rushwa ufisad na kuijenga upya serikali kama vile hawapo ktk system iliyopo halafu unawaita wanasiasa wakat ni kund la wasakatonge lililojaa uongo wa wazwaz kwa watz.
 
Issue hapo sio Serikali ya chama gani,msumeno unakata kotekote tulia CDM member ukatwe acha kurukaruka muulize boss wenu nyie watetezi wa wanyonge Mbona mmefisadi Ruzuku?kama unabisha pitia ripoti ya CAG NI NZIGE TU.

Hawa wanafki wanaovaa kaki wanajifanya wanaharakati kumbe walafi....
 
To every action there is an equal and opposite reaction" Newtons 3rd law of motion. kama hujui hilo rudi darasani! Mtu akija na hoja ya kipuuzi; hususani yenye utusi na kashfa atajibiwa in kind; anayekuja na hoja yenye maana na kuiwakilisha kiungwana atajibiwa kisomi na kiungwana pia; kumbuka what goes around; comes around, kama hulijui hilo pia; rudi kindergarten!

Wa kurudi darasani haya, ila Muungwana ni vitendo, tujali utu wetu, tuwajali wasomaji wetu, tusiwafukuze wasomaji hao kwa lugha za matusi, kejeli na vitu kama hivyo. Busara hainunuliwi dukani. Tunayoyazungumza humu JF yajali misingi ya utu na udugu, amani na utulivu, umoja na mshikamano katika nyanja zote za maisha.
 
Nimekuwa nikiwafuatilia hawa watu hasa viongozi na vijana wao hawana nia njema na watanzania,wanaendeshwa na mihemuko ya Siasa, vurugu ,unafiki na Matusi pamoja na uongo.Kwa matendo yao watanzania tuwahukumu na kamwe tusiwqpe nafasi ya kutuongoza!

ukweli upo sisiemu kila mtia nia atapambana na rushwa ufisad na mwingine anaenda mbali zaid anauchukia umasikini wakat yupo ktk uongoz toka enz za mwalimu anabadili wizara tu kaz kwelikweli mwingine yule wa mureba anaawambia wapiga kura wake wamekunywa viroba asubuh ili wamzomee raha sana ndani ya ccm.
 
asipokuelewa hapo mkuu kamwe hatokuelewa iko vizur sna hoja za upinzani zimekuwa hoja za watia nia wa ccm.

Tabia ya kudowea dowea siku zote mwisho wake ni mbaya. Unapojifanya una umri mkubwa halafu mawazo yako ni ya kubomoa na siyo kujenga, umri wako JF unatusaidije kutambua busara yako? Unaweza kuwa na umri mkubwa lakini huna msaada wowote kwa jamii maana unaharibu tu na siyo kujenga. Wanini sasa wewe?
 
Tabia ya kudowea dowea siku zote mwisho wake ni mbaya. Unapojifanya una umri mkubwa halafu mawazo yako ni ya kubomoa na siyo kujenga, umri wako JF unatusaidije kutambua busara yako? Unaweza kuwa na umri mkubwa lakini huna msaada wowote kwa jamii maana unaharibu tu na siyo kujenga. Wanini sasa wewe?

Ukisema wa nini sasa wewe; wenzio watakujibu wewe wa kazi na manufaa gani?! ukija kijinga unavurumishwa kijinga vivyo hivyo!! what goes around; always comes around; you get pulverised into smeetherens!!!!
 
Back
Top Bottom