CHADEMA ni kundi La Nzige

CHADEMA ni kundi La Nzige

Vijana wa BAVICHA siku zote wanatumika bila kujielewa na mwaka huu watakiona cha moto baada ya kuingizwa kingi!
 
Jina kuuubwa, unaongea vumbi? Usitumie ID ambayo hata wewe mwenyewe hujiamini. HUGO CHAVES! Hatari!
ndio hugo chaves ni hatari ukiposti hoja humu ujue kui defend la sivyo vikamasi lazima vikutoke .njoo na hoja nitakujibu kwa hoja.
 
Wanajiita miamba ya Kaskazini, teh teh teh akiinuka kiongozi yoyote zaidi yao hawamruhusu kuishi kama unabisha muulize Zitto Kabwe alipokua Mwenyekiti wa PAC na Mbunge wa CDM katika nafasi ya juu ya utendaji kwa kuweka maslahi na mahaba niue ya chama pembeni alipomtaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG na Msajili wa Vyama vya Siasa kuanza kulitilia mkazo na kuanza mara moja kufuatilia na kukagua Ruzuku kwenye vyama vya Siasa, CHADEMA walianza kumchukia ghafla kama sio Nzige hao ni nani teh teh teh wanalamba Ruzuku hao ni sheedah maana wao ni wa pili kwa kupata Ruzuku kubwa kwa upande wa vyama vya siasa! Afu wanajifanya watetezi wa wanyonge na wanachukia Rushwa. Ni NZIGE TU.

CHADEMA.

1992-1998. M/ kiti Edwin Mtei
1988-2003. M/kiti Bob Makani
2003-2008. Mkiti Freeman Mbowe
2009-2014. M/ kiti Freeman Mbowe
2014-2019. M/ kiti Freeman Mbowe





Mwaka huuu mafisad lazima muombe po
 
Kelele hizi mwisho Oktober! CCM mtakiona cha moto!

Uwe macho, unaposema wengine watakiona cha moto, kumbuka nawe upo kwenye kikaango, moto utakuwakia! hao CDM ni nzige wenye njaa watakula hata mashina. Muwe macho! Nzige ni balaa
 
Jiandaeni kukimbia matokeo ya urais kama 2010 mkiongozwa na Dr wenu!

Umeonaee, hawa jamaa wanapenda kusema watu wengine wajiandae kisaikolojia kuondoka siju kama wanajua kuwa wao nao wajiandae kisaikolojia kukosa wanachokitolea macho, mwisho wake wanasema simtambui fulani ikiwa ni kauli ya mkosaji. JIANDAENI KISAIKOLOJIA KUKOSA MNACHOTAMANI ILI ISIWASUMBUE SANA VICHWANI MWENU NA NAFSINI MWENU
 
Back
Top Bottom