SIDANGANYIKI2015
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 1,054
- 114
- Thread starter
- #101
Mkuu kwa hii post labda huyu zombie akili yake inaweza kuamka
Pole sana,naona leo umeamkia JF KARIBU habari ndo hiyo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwa hii post labda huyu zombie akili yake inaweza kuamka
We mtoa Mada huenda ni zombie
ndio hugo chaves ni hatari ukiposti hoja humu ujue kui defend la sivyo vikamasi lazima vikutoke .njoo na hoja nitakujibu kwa hoja.Jina kuuubwa, unaongea vumbi? Usitumie ID ambayo hata wewe mwenyewe hujiamini. HUGO CHAVES! Hatari!
Wemwenyewe masikini tu hata ukiambiwa Dr.Slaa kaiba mke wa mtu unakataa
labda kk alimuiba alokuleta duniani
ndio hugo chaves ni hatari ukiposti hoja humu ujue kui defend la sivyo vikamasi lazima vikutoke .njoo na hoja nitakujibu kwa hoja.
hivi hadi huu msimu wa uchaguzi bado mnalipwa buku 7 au dau limepanda??
Litakuwa limepanda sisi huku kwetu huwa tuna msemo mtu mzima hawezi kukata majani kabla hajazisaidiwa - msemo ulitungwa wakati bado mambo hayo yalikuwa yanaishia kumasaka
Naona unapuliza moto mkuu, angalia usiungue!
Basi naenda kulala kwanza kichwa kinauma
Mkuu naona unaamsha kutafutia watu ban, kwa taarifa yako umeingia kwenye zizi la kitimoto!
Wanajiita miamba ya Kaskazini, teh teh teh akiinuka kiongozi yoyote zaidi yao hawamruhusu kuishi kama unabisha muulize Zitto Kabwe alipokua Mwenyekiti wa PAC na Mbunge wa CDM katika nafasi ya juu ya utendaji kwa kuweka maslahi na mahaba niue ya chama pembeni alipomtaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG na Msajili wa Vyama vya Siasa kuanza kulitilia mkazo na kuanza mara moja kufuatilia na kukagua Ruzuku kwenye vyama vya Siasa, CHADEMA walianza kumchukia ghafla kama sio Nzige hao ni nani teh teh teh wanalamba Ruzuku hao ni sheedah maana wao ni wa pili kwa kupata Ruzuku kubwa kwa upande wa vyama vya siasa! Afu wanajifanya watetezi wa wanyonge na wanachukia Rushwa. Ni NZIGE TU.
CHADEMA.
1992-1998. M/ kiti Edwin Mtei
1988-2003. M/kiti Bob Makani
2003-2008. Mkiti Freeman Mbowe
2009-2014. M/ kiti Freeman Mbowe
2014-2019. M/ kiti Freeman Mbowe
Mwaka huuu mafisad lazima muombe po
aiseeee hiyo kali zizi la kitimoto.haya mkuu
Kelele hizi mwisho Oktober! CCM mtakiona cha moto!
Kelele hizi mwisho Oktober! CCM mtakiona cha moto!
Jiandaeni kukimbia matokeo ya urais kama 2010 mkiongozwa na Dr wenu!