peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Uchaguzi mkuu 2020 sasa ni halali. Mola alishafanya yakeKama itakuwa ni lazima Halima Mdee na wenzake wateme ubunge basi Chadema itabidi ipeleke wabunge wengine 19 ili kukidhi masharti ya Wafadhili wa miradi yetu
Je, Chadema watautambua rasmi uchaguzi mkuy wa 2020 kama ulikuwa huru na haki?
Je, watateua wabunge wengine 19?
Tundu Lisu ataridhia?
Mbarikiwe sana!