Chadema ni lazima iteue Wabunge 19 ili kukidhi masharti ya Wafadhili. Je watakubali?

Chadema ni lazima iteue Wabunge 19 ili kukidhi masharti ya Wafadhili. Je watakubali?

Kama itakuwa ni lazima Halima Mdee na wenzake wateme ubunge basi Chadema itabidi ipeleke wabunge wengine 19 ili kukidhi masharti ya Wafadhili wa miradi yetu

Je, Chadema watautambua rasmi uchaguzi mkuy wa 2020 kama ulikuwa huru na haki?

Je, watateua wabunge wengine 19?

Tundu Lisu ataridhia?

Mbarikiwe sana!
Uchaguzi mkuu 2020 sasa ni halali. Mola alishafanya yake
 
... nadhani kigugumizi ni kwamba wakiwatemesha ubunge hao 19 ita-prove officially pasi na shaka kwamba Bunge na Serikali/NEC walifoji nyaraka na kupindisha taratibu na sheria za nchi. Namna ya kuvuka kizingiti hiki ndio kizungumkuti.
Watasingizia kuwa ni kwa sababu kulikuwa na rufaa.
 
Kama itakuwa ni lazima Halima Mdee na wenzake wateme ubunge basi Chadema itabidi ipeleke wabunge wengine 19 ili kukidhi masharti ya Wafadhili wa miradi yetu

Je, Chadema watautambua rasmi uchaguzi mkuy wa 2020 kama ulikuwa huru na haki?

Je, watateua wabunge wengine 19?

Tundu Lisu ataridhia?

Mbarikiwe sana!
Kama walijua hivyo kwa nini waliiba uchaguzi?
 
Kama itakuwa ni lazima Halima Mdee na wenzake wateme ubunge basi Chadema itabidi ipeleke wabunge wengine 19 ili kukidhi masharti ya Wafadhili wa miradi yetu

Je, Chadema watautambua rasmi uchaguzi mkuy wa 2020 kama ulikuwa huru na haki?

Je, watateua wabunge wengine 19?

Tundu Lisu ataridhia?

Mbarikiwe sana!
Adui hayupo tena watachagua wakiongozwa na Super Susan
 
Kama itakuwa ni lazima Halima Mdee na wenzake wateme ubunge basi Chadema itabidi ipeleke wabunge wengine 19 ili kukidhi masharti ya Wafadhili wa miradi yetu

Je, Chadema watautambua rasmi uchaguzi mkuy wa 2020 kama ulikuwa huru na haki?

Je, watateua wabunge wengine 19?

Tundu Lisu ataridhia?

Mbarikiwe sana!
Chadema walikuwa wazi kabisa kwamba uchaguzi haukuwa huru na waki. Hivyo,matokeo yake yalikuwa batili. Na chadema walikataa mchana kweupe na kuitangazia dunia kutoutambua uchaguzi ule.
 
Back
Top Bottom