peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Uchaguzi mkuu 2020 sasa ni halali. Mola alishafanya yakeKama itakuwa ni lazima Halima Mdee na wenzake wateme ubunge basi Chadema itabidi ipeleke wabunge wengine 19 ili kukidhi masharti ya Wafadhili wa miradi yetu
Je, Chadema watautambua rasmi uchaguzi mkuy wa 2020 kama ulikuwa huru na haki?
Je, watateua wabunge wengine 19?
Tundu Lisu ataridhia?
Mbarikiwe sana!
Watasingizia kuwa ni kwa sababu kulikuwa na rufaa.... nadhani kigugumizi ni kwamba wakiwatemesha ubunge hao 19 ita-prove officially pasi na shaka kwamba Bunge na Serikali/NEC walifoji nyaraka na kupindisha taratibu na sheria za nchi. Namna ya kuvuka kizingiti hiki ndio kizungumkuti.
... mkuu rufaa ilikuja baada ya forgery iliyowaingiza Covid-19 bungeni kiharamu.Watasingizia kuwa ni kwa sababu kulikuwa na rufaa.
Kama walijua hivyo kwa nini waliiba uchaguzi?Kama itakuwa ni lazima Halima Mdee na wenzake wateme ubunge basi Chadema itabidi ipeleke wabunge wengine 19 ili kukidhi masharti ya Wafadhili wa miradi yetu
Je, Chadema watautambua rasmi uchaguzi mkuy wa 2020 kama ulikuwa huru na haki?
Je, watateua wabunge wengine 19?
Tundu Lisu ataridhia?
Mbarikiwe sana!
Adui hayupo tena watachagua wakiongozwa na Super SusanKama itakuwa ni lazima Halima Mdee na wenzake wateme ubunge basi Chadema itabidi ipeleke wabunge wengine 19 ili kukidhi masharti ya Wafadhili wa miradi yetu
Je, Chadema watautambua rasmi uchaguzi mkuy wa 2020 kama ulikuwa huru na haki?
Je, watateua wabunge wengine 19?
Tundu Lisu ataridhia?
Mbarikiwe sana!
Kwa kesi ipi iliyofunguliwa?Hata Mnyika hajapinga Mahakamani
Chadema walikuwa wazi kabisa kwamba uchaguzi haukuwa huru na waki. Hivyo,matokeo yake yalikuwa batili. Na chadema walikataa mchana kweupe na kuitangazia dunia kutoutambua uchaguzi ule.Kama itakuwa ni lazima Halima Mdee na wenzake wateme ubunge basi Chadema itabidi ipeleke wabunge wengine 19 ili kukidhi masharti ya Wafadhili wa miradi yetu
Je, Chadema watautambua rasmi uchaguzi mkuy wa 2020 kama ulikuwa huru na haki?
Je, watateua wabunge wengine 19?
Tundu Lisu ataridhia?
Mbarikiwe sana!