CHADEMA ni Moja, Wanaotaka kufukuza wenzao wadhibitiwe haraka

CHADEMA ni Moja, Wanaotaka kufukuza wenzao wadhibitiwe haraka

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Natoa onyo kwa kikundi kinachoratibu Kufukuza wengine ndani ya CHADEMA, sitaki kuamini kwamba Katibu Mkuu na Mwenyekiti mpya mnaweza kupanga jambo hili duni na la kijinga, kemeeni jambo hili haraka sana, Uchaguzi umekwisha kwa tofauti ya kura 31 tu, kimsingi hakuna aliyeshinda bali Mshindi wa Jumla ni Chadema.

Wakati wa kampeni kila aliyetaka kuongea aliongea kila alichotaka, wamo pia waliotumia mwanya huo kutukana wenzao matusi hadi ya nguoni, lakini hakuna aliyewagusa.

Hakuna sababu yoyote ya Kijinga wala ya maana ya kuzuia John Mrema kuzungumza na Wanahabari na kutoa tathmini yake, Acheni kabisa mambo haya hayatajenga kitu chochote, Tusikilize hoja zake tuzipime na ikibidi tumjibu ikiwezekana kujibiwa.

Unaweza kukuta anaongea ili kupongeza Washindi tu, Hofu inatoka wapi na kwanini?
 
Natoa onyo kwa kikundi kinachoratibu Kufukuza wengine ndani ya Chadema, sitaki kuamini kwamba Katibu Mkuu na Mwenyekiti mpya mnaweza kupanga jambo hili duni na la kijinga, kemeeni jambo hili haraka sana, Uchaguzi umekwisha kwa tofauti ya kura 31 tu, kimsingi hakuna aliyeshinda bali Mshindi wa Jumla ni Chadema.

Wakati wa kampeni kila aliyetaka kuongea aliongea kila alichotaka, wamo pia waliotumia mwanya huo kutukana wenzao matusi hadi ya nguoni, lakini hakuna aliyewagusa.

Hakuna sababu yoyote ya Kijinga wala ya maana ya kuzuia John Mrema kuzungumza na Wanahabari na kutoa tathmini yake, Acheni kabisa mambo haya hayatajenga kitu chochote, Tusikilize hoja zake tuzipime na ikibidi tumjibu ikiwezekana kujibiwa.

Unaweza kukuta anaongea ili kupongeza Washindi tu, Hofu inatoka wapi na kwanini?


Pole Sana mkuu najua Una hali mbaya Sana
 
Natoa onyo kwa kikundi kinachoratibu Kufukuza wengine ndani ya Chadema, sitaki kuamini kwamba Katibu Mkuu na Mwenyekiti mpya mnaweza kupanga jambo hili duni na la kijinga, kemeeni jambo hili haraka sana, Uchaguzi umekwisha kwa tofauti ya kura 31 tu, kimsingi hakuna aliyeshinda bali Mshindi wa Jumla ni Chadema.

Wakati wa kampeni kila aliyetaka kuongea aliongea kila alichotaka, wamo pia waliotumia mwanya huo kutukana wenzao matusi hadi ya nguoni, lakini hakuna aliyewagusa.

Hakuna sababu yoyote ya Kijinga wala ya maana ya kuzuia John Mrema kuzungumza na Wanahabari na kutoa tathmini yake, Acheni kabisa mambo haya hayatajenga kitu chochote, Tusikilize hoja zake tuzipime na ikibidi tumjibu ikiwezekana kujibiwa.

Unaweza kukuta anaongea ili kupongeza Washindi tu, Hofu inatoka wapi na kwanini?
Swali ni je taratibu za chama zinasemaje?

Kama Mrema kakiuka taratibu za chama, na adhabu ya kosa hilo ni kufukuzwa, basi afukuzwe.

Chama kina taratibu na miongozo, ifuatwe.
 
Lazima kuwe na msemaji wa chama anayeruhusiwa kuongea na media, Kama analazimisha aondoke au afukuzwe, bila nidhamu hakuna chama
 
Swali ni je taratibu za chama zinasemaje?

Kama Mrema kakiuka taratibu za chama, na adhabu ya kosa hilo ni kufukuzwa, basi afukuzwe.

Chama kina taratibu na miongozo, ifuatwe.
Hakujawahi kuwepo mwongozo wa kumuagiza Mwenyekiti wa Tawi
 
John Mrema, Ntobi na Yericko lazima washughulikiwe kabla hasira hazijapoa.
 
Back
Top Bottom