Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #61
HujaelewaIshindi wa kura tatu kama tofauti si ishindi kwa mantiki ipi, hata ingekuwa robo kiduchu ni ushindi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HujaelewaIshindi wa kura tatu kama tofauti si ishindi kwa mantiki ipi, hata ingekuwa robo kiduchu ni ushindi tu
Yapo yaliyomfanya akanushe, huu ujinga hautakubalika ChademaMwenyekiti wa CHADEMA @ChademaTz wa Kata ya Segerea mkoani Dar es Salaam, Kitomary Steven, amekanusha vikali madai yaliyoenezwa mtandaoni kwamba amepanga kumvua uanachama John Mrema @JonMrema , Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa CHADEMA.
Akizungumza na Jambo TV, Kitomary ameeleza kuwa taarifa hizo ni za uongo na hazina msingi wowote.
“Ninaomba nikanushe taarifa hizo, taarifa hizo ni ghushi. Kwanza kabisa, mimi ni Mwenyekiti wa CHADEMA wa Kata ya Segerea, huku Mrema akiwa ni mkazi wa Kata ya Bonyokwa na Mkurugenzi wetu wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje, ambaye tunamheshimu sana,” amesema Kitomary.
Ameendelea kueleza kuwa haikubaliki kisheria wala kimantiki kwa ngazi ya tawi kufikia maamuzi ya kumvua uanachama Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, ambaye pia ni sehemu ya Sekretarieti ya Makao Makuu.
Awali, John Mrema alitoa madai kupitia ukurasa wake wa X kwamba viongozi wa CHADEMA, akiwemo Kitomary, walikuwa wakipanga kumvua uanachama kabla ya mkutano wake na waandishi wa habari uliotarajiwa kufanyika hivi karibuni.
Katika ujumbe wake, Mrema aliandika: "Nimejulishwa na mwenyekiti wa tawi langu, ameagizwa anifute uanachama kabla ya kesho ili kama nitaendelea na nia yangu ya kuzungumza na vyombo vya habari basi niwe sio mwanachama!”,
Mrema aliongeza kuwa juhudi za kumvua uanachama ni sehemu ya juhudi za kuzima maoni huru na uhuru wa kujieleza ndani ya chama.
Kitomary amefafanua kuwa Mrema alichapisha ujumbe wa kuashiria kuwa angefanya mkutano na waandishi wa habari, ambapo Kitomary alijibu ‘tweet’ hiyo kwa kumweleza kuwa mkutano huo utafuatiliwa kwa ukaribu.
No stop kabisa ...Chadema inatakiwa kufanya overhaul...wote walilamba mkwanja wa Abuduli kiamaNatoa onyo kwa kikundi kinachoratibu Kufukuza wengine ndani ya CHADEMA, sitaki kuamini kwamba Katibu Mkuu na Mwenyekiti mpya mnaweza kupanga jambo hili duni na la kijinga, kemeeni jambo hili haraka sana, Uchaguzi umekwisha kwa tofauti ya kura 31 tu, kimsingi hakuna aliyeshinda bali Mshindi wa Jumla ni Chadema.
Wakati wa kampeni kila aliyetaka kuongea aliongea kila alichotaka, wamo pia waliotumia mwanya huo kutukana wenzao matusi hadi ya nguoni, lakini hakuna aliyewagusa.
Hakuna sababu yoyote ya Kijinga wala ya maana ya kuzuia John Mrema kuzungumza na Wanahabari na kutoa tathmini yake, Acheni kabisa mambo haya hayatajenga kitu chochote, Tusikilize hoja zake tuzipime na ikibidi tumjibu ikiwezekana kujibiwa.
Unaweza kukuta anaongea ili kupongeza Washindi tu, Hofu inatoka wapi na kwanini?
Ila kemea na Ile tweet ya mrema ili usiwe na upendeleo ile tweet imejaa chuki kabla hajapeleka ule ujumbe wake wa kutaka kufukuzwa.Yapo yaliyomfanya akanushe, huu ujinga hautakubalika Chadema
#STRONGER TOGETHER
Uchaguzi umekwisha. Akileta hoja za kingese afukuzwe tu.Huwezi kjenga chama kwa kufukuza Makamanda, Lissu hana uwezo huo na hatokuja kuwa nao
Ninailipa Chadema mamilioni ya madafu bure kabisa, sijawahi kuajiriwa na Chama na wala sina muda huoWewe umeajiriwa mwaka 2016
Hilo ni jambo jingine na halihusu kuminywa kwa haki yake ya kujielezaIla kemea na Ile tweet ya mrema ili usiwe na upendeleo ile tweet imejaa chuki kabla hajapeleka ule ujumbe wake wa kutaka kufukuzwa.
Tumesema akileta ujinga afukuzwe tu.Kwamba Mrema hawezi kuzungumza kwa niaba yake mwenyewe? mmeokota wapi ukubwa huo?
Kwani amezuiwa kujieleza? Tunamshauri tu kwamba muda wa kampeni ulishaisha.Hilo ni jambo jingine na halihusu kuminywa kwa haki yake ya kujieleza
Natoa onyo kwa kikundi kinachoratibu Kufukuza wengine ndani ya CHADEMA, sitaki kuamini kwamba Katibu Mkuu na Mwenyekiti mpya mnaweza kupanga jambo hili duni na la kijinga, kemeeni jambo hili haraka sana, Uchaguzi umekwisha kwa tofauti ya kura 31 tu, kimsingi hakuna aliyeshinda bali Mshindi wa Jumla ni Chadema.
Wakati wa kampeni kila aliyetaka kuongea aliongea kila alichotaka, wamo pia waliotumia mwanya huo kutukana wenzao matusi hadi ya nguoni, lakini hakuna aliyewagusa.
Hakuna sababu yoyote ya Kijinga wala ya maana ya kuzuia John Mrema kuzungumza na Wanahabari na kutoa tathmini yake, Acheni kabisa mambo haya hayatajenga kitu chochote, Tusikilize hoja zake tuzipime na ikibidi tumjibu ikiwezekana kujibiwa.
Unaweza kukuta anaongea ili kupongeza Washindi tu, Hofu inatoka wapi na kwanini?
Wewe kama nani?Kwani amezuiwa kujieleza? Tunamshauri tu kwamba muda wa kampeni ulishaisha.
Hatutasita kuchukua hatua kwa yeyote atakayethubutu kuhujumu chama
CDM tayari isha pigwa kitu kizito na CCM chalii!!Natoa onyo kwa kikundi kinachoratibu Kufukuza wengine ndani ya CHADEMA, sitaki kuamini kwamba Katibu Mkuu na Mwenyekiti mpya mnaweza kupanga jambo hili duni na la kijinga, kemeeni jambo hili haraka sana, Uchaguzi umekwisha kwa tofauti ya kura 31 tu, kimsingi hakuna aliyeshinda bali Mshindi wa Jumla ni Chadema.
Wakati wa kampeni kila aliyetaka kuongea aliongea kila alichotaka, wamo pia waliotumia mwanya huo kutukana wenzao matusi hadi ya nguoni, lakini hakuna aliyewagusa.
Hakuna sababu yoyote ya Kijinga wala ya maana ya kuzuia John Mrema kuzungumza na Wanahabari na kutoa tathmini yake, Acheni kabisa mambo haya hayatajenga kitu chochote, Tusikilize hoja zake tuzipime na ikibidi tumjibu ikiwezekana kujibiwa.
Unaweza kukuta anaongea ili kupongeza Washindi tu, Hofu inatoka wapi na kwanini?
Kuongea tarehe 25 ataongea na maneno yake yatachujwa ukweli utajulikana,kuna mambo mengi sana ya tetesi yapo.Hilo ni jambo jingine na halihusu kuminywa kwa haki yake ya kujieleza
Amka usingizini.CDM tayari isha pigwa kitu kizito na CCM chalii!!
Msalimie sana Mgabe!!Amka usingizini.
Mshindi ni mshindi tu hata kama,, kwa kura moja,ni mshindi!!Naunga mkono hoja!
Lissu akumbuke ameshinda kwa ushindi mwembamba sana!
Litakuwa ni kosa kubwa kuwapuuza waliokuwa wafuasi wa Mbowe.
Mgabe hayupo CDM.Msalimie sana Mgabe!!
Uko sahihi kabisa.Huwezi kjenga chama kwa kufukuza Makamanda, Lissu hana uwezo huo na hatokuja kuwa nao
Magufuli alikuwa anaulinda vipi uenyekiti wa Mbowe?Kuna msemo wa wahenga wa Zamani kuwa kuna kundi la nyani lilishangilia baada ya kusikia mkulima wa mahindi amekufa wakaambiana sasa watakula mahindi kwa uhuru bila kurushiwa mawe. Hawakujua kuwa aliyefariki ndiyo alikuwa anasababisha mahindi yawepo, baada ya muda nyani nao walikufa njaa vibaya sana kwa kukosa chakula.
Stori hii ya wahenga inafanana na kitendo cha Mbowe kushangilia kufariki kwa Magufuli, asijue kuwa ndiye aliyekuwa analinda uenyekiti wake wa Chadema.
Kila mtu anajua kama Magufuli angekuwa rais wa Tanzania isingewezekana Tundu Lisu kuwa Mwenyekiti wa Chadema.
Freeman Mbowe ulishangilia wakati wengine wakilia ,leo ni zamu yako kulia huku wengine wakicheka na kushangilia.
Freeman Mbowe ni faida ipi uliyoipata kwa kushangilia kifo cha Magufuli?