CHADEMA ni Moja, Wanaotaka kufukuza wenzao wadhibitiwe haraka

Yapo yaliyomfanya akanushe, huu ujinga hautakubalika Chadema

#STRONGER TOGETHER
 
No stop kabisa ...Chadema inatakiwa kufanya overhaul...wote walilamba mkwanja wa Abuduli kiama
 
Huwezi kjenga chama kwa kufukuza Makamanda, Lissu hana uwezo huo na hatokuja kuwa nao
Uchaguzi umekwisha. Akileta hoja za kingese afukuzwe tu.
Lazima chama kiwe na nidhamu. Tunajua hawa machawa wa mbowe watakuja na kila aina ya hujuma kwa uongozi uliopo na sisi tunawashauri viongozi wasisite kuwafukuza wote watakaothubutu kubomoa chama.
Sisi wanachama tupo nyuma ya uongozi uliopo na tutawaunga mkono ili kukomesha uhuni utakaojitokeza.
Walizoea vya kunyonga sasa vya kuchinja hawaviwezi.
 
Kwamba Mrema hawezi kuzungumza kwa niaba yake mwenyewe? mmeokota wapi ukubwa huo?
Tumesema akileta ujinga afukuzwe tu.
Hawa wahuni wamekichezea sana chama sasa wanaweweseka baada ya tawi kukatwa.
Chama tutakilinda na tutashiriki kukijenga sisi wenye mioyo ya kizalendo
 
Hilo ni jambo jingine na halihusu kuminywa kwa haki yake ya kujieleza
Kwani amezuiwa kujieleza? Tunamshauri tu kwamba muda wa kampeni ulishaisha.
Hatutasita kuchukua hatua kwa yeyote atakayethubutu kuhujumu chama
 
 

Attachments

  • v09044g40000cu8cf9fog65g717gh240.mp4
    8.8 MB
Kwani amezuiwa kujieleza? Tunamshauri tu kwamba muda wa kampeni ulishaisha.
Hatutasita kuchukua hatua kwa yeyote atakayethubutu kuhujumu chama
Wewe kama nani?
 
CDM tayari isha pigwa kitu kizito na CCM chalii!!
 
Magufuli alikuwa anaulinda vipi uenyekiti wa Mbowe?

Amandla...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…