CHADEMA ni Moja, Wanaotaka kufukuza wenzao wadhibitiwe haraka

Alimaanisha nini aliposema wataufuatilia mkutano wake kwa karibu. Maneno haya humuambii mtu unaemheshimu maana ni ya vitisho.

Amandla...
 
Wewe ni mfia Mbowe tutabaki kukumbuka hivi siku zote
 
Kiburi hiki siku mkichapwa na mbogamboga halafu hao mnaowakataa sahivi wakipiga kimya msilaumu msiwabeze hata kama wanamapungufu huko nyuma wao walikuwa wakipambana na nyinyi mlikuwa mmeufyata
 
Wanakutimua na wewe?
 
Lema ndio anaye ratibu hizi mambo
 
Mungu mbariki Mbowe🤣🤣
 
KIongozi bora ni yule anayevunja makundi mara moja baada ya uchaguzi na kuyazika yote kufungua ukrasa mpya.

Sasa sidhani Lissu ni mjinga kiasi hiki aruhusu kufukuzana fukuzana kwa yale maujinga ya pande zote mbili yaliyotokea kabla na wakati wa uchaguzi.
Akifanya hivyo atakuwa ni kiongozi wa ajabu sana saana kupata kutokea, naamini hawezi kufanya kosa kubwa kama hilo kabisa kabisa.

Huu muda mchache si wa kutishana wala kufukuzana uanachama, muda huu mchache kabla ya uchaguzi mkuu mwaka huu ni wa kuunganisha nguvu kubwa ya wana CDM wote ili kupambana na adui CCM.
 
Tafadhalini Sana muacheni Lisu afanye kazi yake sasa, uchaguzi umeshapita na mshindi ameshatangazwa, aliyeshindwa amekubali kushindwa.

Msijaribu kumkwamisha mwenyekiti
 
Huwezi kjenga chama kwa kufukuza Makamanda, Lissu hana uwezo huo na hatokuja kuwa nao
Mulisema hivihivi katika kutafuta Uwenyekiti,Kwa kauli kama hizi munastahili kufukuzwa mana bado hamukubali kama Lissu anauwezo mkubwa.Munamchukulia Poa bora mufukuzwe machawa wa Mbowe
 
Mrema ana shida gani kwani mpk anahofia kufukuzwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…