CHADEMA ni mpango wa Mungu kwa watanzania, wataondoka wao wataicha CHADEMA inadunda

CHADEMA ni mpango wa Mungu kwa watanzania, wataondoka wao wataicha CHADEMA inadunda

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Nyie wanadamu wenye nia ovu ya kutaka kuiua au kuidhoofisha CHADEMA, tambueni CHADEMA ni mpango wa Mungu kwa watanzania, na ndio maana mpaka leo kiko imara licha mabavu na hujuma zote zilizodumu kwa miaka zaidi ya kumi sasa.

Mungu haturuhusu kiumbe yeyote avuruge hiki chama mpaka pale mpango wake kwa watanzania kupitia chama hiki utapotimia na ndio maana wote waliojaribu kukivuruga walishindwa na waliojaribu kukiua, waliondoka wao wakiacha inadunda hivyo hili ni onyo kwa waliobaki.

Angalieni leo hii mwenyekiti yuko ndani lakini chama kiko imara licha ya misukosuko yote wanayopitia viongozi wengine wa chama katika ngazi mbalimbali.

CHADEMA ni chama teule na ndio maana hata wale waliowahi kusema vyama vya upinzani ni vyama vya msimu, waliondoka madarakani wakaiacha CHADEMA strong kuliko walivyoingia madarakani.

Hivyo, na huyu wa leo na timu yake nae atashindwa tu na wakifiriki wataiua au kuivuruga CHADEMA,basi watazame historia na wajrekebishe vinginevyo pigo la Mungu litawashukia.

Mipango ya Mungu wakati mwingine huchukua muda mrefu kutimia ila wakati ukifika, huwa hakuna wa kuzuia.

Nilwaonya kwenye hii thread mwezi February mwaka 2016 na miaka michache baadae yalitimia.

Msije kusema sikuwaambia.

 
Hakika
FB_IMG_1619042485662.jpg
 
Nyie wanadamu wenye nia ovu ya kutaka kuiua au kuidhoofisha CHADEMA, tambueni CHADEMA ni mpango wa Mungu kwa watanzania na ndio maana mpaka leo kiko imara licha mabavu na hujuma zote zilizodumu kwa .miaka zaidi ya kumi sasa.

Mungu haturuhusu kiumbe yeyote avuruge hiki chama mpaka pale mpango wake kwa watanzania kupitia chama hiki utapotimia na ndio maana wote waliojaribu kukivuruga walishindwa na waliojaribu kukiua, waliondoka wao wakiacha inadunda hivyo hili ni onyo kwa waliobaki.

Angalieni leo hii mwenyekiti yuko ndani lakini chama kiko imara licha ya misukosuko yote wanayopitia viongozi wengine wa chama katika ngazi mbalimbali.

CHADEMA ni chama teule na ndio maana hata wale waliowahi kusema vyama vya upinzani ni vyama vya msimu waliondoka madarakani wakaiacha CHADEMA strong kuliko walivyoingia madarakani.

Hivyo, na huyu wa leo na timu yake nae atashindwa tu na wakifiriki wataiua au kuivuruga CHADEMA,basi watazame historia na wajrekebishe vinginevyo pigo la Mungu litawashukia.

Mipango ya Mungu wakati mwingine huchukua muda mrefu kutimia ila wakati ukifika, huwa hakuna wa kuzuia.

Nilwaonya kwenye hii thread mwezi February mwaka 2016 na miaka michache baadae yalitimia.

Msije kusema sikuwaambia.

Hakika!
IMG_20211012_062851.jpg
 
Wanatengeneza mazingira ya kumfunga Mbowe makusudi hata mtoto mdogo anaona.
 
Bora sisi tumepanga kuliko nyinyi mliopora majengo yaliyojengwa na watanzania wote bila kujali vyama wakati wa mifumo wa chama kimoja.

Hata haya majengo mapya mliojenga hamuwezi kutuonyesha vyanzo vyote vya mapato mlivyotumia kujenga hayo majengo.
Fanyeni nanyi hivyo hivyo kwa vyanzo vya ruzuku na michango ya m-pesa!
 
Katika maisha yangu kitu kikubwa nilichojifunza ni mtu akitumia reference ya mtu(au watu) au kitu kingine kama msingi wa hoja
yake ujue anamaanisha ni yeye ndio hoja yake au hitaji lake wala sio hao watu.
Huitaji kutumia Mungu au wingi kama vile sisi wananchi tunataka kitu flani ili ku-justify hoja au hitaji lako.
 
Chadema ni mpango wa shetani kwa watanzania
 
Naomba nikijue chama ambacho kimekufa tangu mfumo wa vyama vingi uanze!
Kabla hujapewa jibu naomba ufafanue swali lako kidogo, wewe tafsiri ya chama kufa kwako unaelewa nini?
 
Nyie wanadamu wenye nia ovu ya kutaka kuiua au kuidhoofisha CHADEMA, tambueni CHADEMA ni mpango wa Mungu kwa watanzania, na ndio maana mpaka leo kiko imara licha mabavu na hujuma zote zilizodumu kwa miaka zaidi ya kumi sasa.

Mungu haturuhusu kiumbe yeyote avuruge hiki chama mpaka pale mpango wake kwa watanzania kupitia chama hiki utapotimia na ndio maana wote waliojaribu kukivuruga walishindwa na waliojaribu kukiua, waliondoka wao wakiacha inadunda hivyo hili ni onyo kwa waliobaki.

Angalieni leo hii mwenyekiti yuko ndani lakini chama kiko imara licha ya misukosuko yote wanayopitia viongozi wengine wa chama katika ngazi mbalimbali.

CHADEMA ni chama teule na ndio maana hata wale waliowahi kusema vyama vya upinzani ni vyama vya msimu, waliondoka madarakani wakaiacha CHADEMA strong kuliko walivyoingia madarakani.

Hivyo, na huyu wa leo na timu yake nae atashindwa tu na wakifiriki wataiua au kuivuruga CHADEMA,basi watazame historia na wajrekebishe vinginevyo pigo la Mungu litawashukia.

Mipango ya Mungu wakati mwingine huchukua muda mrefu kutimia ila wakati ukifika, huwa hakuna wa kuzuia.

Nilwaonya kwenye hii thread mwezi February mwaka 2016 na miaka michache baadae yalitimia.

Msije kusema sikuwaambia.

Nyie ni bora kuliko hao waliojaribu kutuaminisha kuwa "huyu ni chaguo la Mungu." Msiende huko please. Ishu za Mungu ni za kiroho lakini siasa ni suala la kibinadamu/kidunia.
 
Nyie wanadamu wenye nia ovu ya kutaka kuiua au kuidhoofisha CHADEMA, tambueni CHADEMA ni mpango wa Mungu kwa watanzania, na ndio maana mpaka leo kiko imara licha mabavu na hujuma zote zilizodumu kwa miaka zaidi ya kumi sasa.

Mungu haturuhusu kiumbe yeyote avuruge hiki chama mpaka pale mpango wake kwa watanzania kupitia chama hiki utapotimia na ndio maana wote waliojaribu kukivuruga walishindwa na waliojaribu kukiua, waliondoka wao wakiacha inadunda hivyo hili ni onyo kwa waliobaki.

Angalieni leo hii mwenyekiti yuko ndani lakini chama kiko imara licha ya misukosuko yote wanayopitia viongozi wengine wa chama katika ngazi mbalimbali.

CHADEMA ni chama teule na ndio maana hata wale waliowahi kusema vyama vya upinzani ni vyama vya msimu, waliondoka madarakani wakaiacha CHADEMA strong kuliko walivyoingia madarakani.

Hivyo, na huyu wa leo na timu yake nae atashindwa tu na wakifiriki wataiua au kuivuruga CHADEMA,basi watazame historia na wajrekebishe vinginevyo pigo la Mungu litawashukia.

Mipango ya Mungu wakati mwingine huchukua muda mrefu kutimia ila wakati ukifika, huwa hakuna wa kuzuia.

Nilwaonya kwenye hii thread mwezi February mwaka 2016 na miaka michache baadae yalitimia.

Msije kusema sikuwaambia.

Kujifariji kipindi cha maumivu ni hatua nzuri
 
Nyie wanadamu wenye nia ovu ya kutaka kuiua au kuidhoofisha CHADEMA, tambueni CHADEMA ni mpango wa Mungu kwa watanzania, na ndio maana mpaka leo kiko imara licha mabavu na hujuma zote zilizodumu kwa miaka zaidi ya kumi sasa.

Mungu haturuhusu kiumbe yeyote avuruge hiki chama mpaka pale mpango wake kwa watanzania kupitia chama hiki utapotimia na ndio maana wote waliojaribu kukivuruga walishindwa na waliojaribu kukiua, waliondoka wao wakiacha inadunda hivyo hili ni onyo kwa waliobaki.

Angalieni leo hii mwenyekiti yuko ndani lakini chama kiko imara licha ya misukosuko yote wanayopitia viongozi wengine wa chama katika ngazi mbalimbali.

CHADEMA ni chama teule na ndio maana hata wale waliowahi kusema vyama vya upinzani ni vyama vya msimu, waliondoka madarakani wakaiacha CHADEMA strong kuliko walivyoingia madarakani.

Hivyo, na huyu wa leo na timu yake nae atashindwa tu na wakifiriki wataiua au kuivuruga CHADEMA,basi watazame historia na wajrekebishe vinginevyo pigo la Mungu litawashukia.

Mipango ya Mungu wakati mwingine huchukua muda mrefu kutimia ila wakati ukifika, huwa hakuna wa kuzuia.

Nilwaonya kwenye hii thread mwezi February mwaka 2016 na miaka michache baadae yalitimia.

Msije kusema sikuwaambia.

Amina
 
Back
Top Bottom