CHADEMA ni mpango wa Mungu kwa watanzania, wataondoka wao wataicha CHADEMA inadunda

CHADEMA ni mpango wa Mungu kwa watanzania, wataondoka wao wataicha CHADEMA inadunda

Nyie wanadamu wenye nia ovu ya kutaka kuiua au kuidhoofisha CHADEMA, tambueni CHADEMA ni mpango wa Mungu kwa watanzania, na ndio maana mpaka leo kiko imara licha mabavu na hujuma zote zilizodumu kwa miaka zaidi ya kumi sasa.

Mungu haturuhusu kiumbe yeyote avuruge hiki chama mpaka pale mpango wake kwa watanzania kupitia chama hiki utapotimia na ndio maana wote waliojaribu kukivuruga walishindwa na waliojaribu kukiua, waliondoka wao wakiacha inadunda hivyo hili ni onyo kwa waliobaki.

Angalieni leo hii mwenyekiti yuko ndani lakini chama kiko imara licha ya misukosuko yote wanayopitia viongozi wengine wa chama katika ngazi mbalimbali.

CHADEMA ni chama teule na ndio maana hata wale waliowahi kusema vyama vya upinzani ni vyama vya msimu, waliondoka madarakani wakaiacha CHADEMA strong kuliko walivyoingia madarakani.

Hivyo, na huyu wa leo na timu yake nae atashindwa tu na wakifiriki wataiua au kuivuruga CHADEMA,basi watazame historia na wajrekebishe vinginevyo pigo la Mungu litawashukia.

Mipango ya Mungu wakati mwingine huchukua muda mrefu kutimia ila wakati ukifika, huwa hakuna wa kuzuia.

Nilwaonya kwenye hii thread mwezi February mwaka 2016 na miaka michache baadae yalitimia.

Msije kusema sikuwaambia.

Chadema ni mpango wa wamangi. Kitaondoka kitaiwacha ccm imara.😂😂😂🤸😂🤸😂😂🤸🤸🚶🚶🚶🚶🚶
 
Wako vizuri sana Chadema, pamoja na figusi zote hizi lakini bado wako imara. Thanks kwa kushare
Kweli kabisa!
IMG_20211012_062851.jpg
 
Nyie wanadamu wenye nia ovu ya kutaka kuiua au kuidhoofisha CHADEMA, tambueni CHADEMA ni mpango wa Mungu kwa watanzania, na ndio maana mpaka leo kiko imara licha mabavu na hujuma zote zilizodumu kwa miaka zaidi ya kumi sasa.

Mungu haturuhusu kiumbe yeyote avuruge hiki chama mpaka pale mpango wake kwa watanzania kupitia chama hiki utapotimia na ndio maana wote waliojaribu kukivuruga walishindwa na waliojaribu kukiua, waliondoka wao wakiacha inadunda hivyo hili ni onyo kwa waliobaki.

Angalieni leo hii mwenyekiti yuko ndani lakini chama kiko imara licha ya misukosuko yote wanayopitia viongozi wengine wa chama katika ngazi mbalimbali.

CHADEMA ni chama teule na ndio maana hata wale waliowahi kusema vyama vya upinzani ni vyama vya msimu, waliondoka madarakani wakaiacha CHADEMA strong kuliko walivyoingia madarakani.

Hivyo, na huyu wa leo na timu yake nae atashindwa tu na wakifiriki wataiua au kuivuruga CHADEMA,basi watazame historia na wajrekebishe vinginevyo pigo la Mungu litawashukia.

Mipango ya Mungu wakati mwingine huchukua muda mrefu kutimia ila wakati ukifika, huwa hakuna wa kuzuia.

Nilwaonya kwenye hii thread mwezi February mwaka 2016 na miaka michache baadae yalitimia.

Msije kusema sikuwaambia.

Chama Cha Mashetani
 
Back
Top Bottom