Chadema ni Team Samia kwa ushindi wa 2025

Chadema ni Team Samia kwa ushindi wa 2025

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
👉Mtu bingwa kabisa Samia Suluh Hassani,amewafanya Chadema na viongozi wao kugeuka team ya kampeni nzuri sana kuelekea 2025..

👉Mtu anayeifaham siasa ameyafanya manyumbu yote kuwa Kitu kimoja sasahv mama huna upinzani kwa chadema sijui vyama vyama gani huna..

👉Umemsafisha Magufuli maana yalisema Magufuli amewazuia kufanya siasa,umeyaruhusu siasa zenyewe sasa utafkiri zinaratibiwa na Sophia Mjema sio kwa sifa hizo wanazokumwagia.

👉Hayana agenda yanii pakushika hayana mengine ni kuratibu mapokezi ya wapiga deal,kukata keki,kumtukana Magufuli as ziiiiiii

👉Mama kwa tafsri hii piga kazi mama upinzani labda uko kwako kwa akina nape,Makamba,Mwigulu,kigwangala na genge lao lakn huku nje mama sisi na mbowe wote tunakupenda.

👉😂😂😂😂😂😂😂😂 sema mama we mtu hatari sana yani umeyaacha yajimalize yenyewe wala hujatumia nguvu,nchi ilipofika Leo utasema Leema hajapokelewa juzi,mama shkamoo😂😂😂😂

#Mama_fundi
 
Chadema wanataka majimbo ya wabunge wa CCM ambao hawatiimizi wajibu wao.Hawana shida na Raisi
 
12bce7ad-12f7-42da-a360-a37676409ff8.jpg

Jipe nafasi.
 
[emoji117]Mtu bingwa kabisa Samia Suluh Hassani,amewafanya Chadema na viongozi wao kugeuka team ya kampeni nzuri sana kuelekea 2025..

[emoji117]Mtu anayeifaham siasa ameyafanya manyumbu yote kuwa Kitu kimoja sasahv mama huna upinzani kwa chadema sijui vyama vyama gani huna..

[emoji117]Umemsafisha Magufuli maana yalisema Magufuli amewazuia kufanya siasa,umeyaruhusu siasa zenyewe sasa utafkiri zinaratibiwa na Sophia Mjema sio kwa sifa hizo wanazokumwagia.

[emoji117]Hayana agenda yanii pakushika hayana mengine ni kuratibu mapokezi ya wapiga deal,kukata keki,kumtukana Magufuli as ziiiiiii

[emoji117]Mama kwa tafsri hii piga kazi mama upinzani labda uko kwako kwa akina nape,Makamba,Mwigulu,kigwangala na genge lao lakn huku nje mama sisi na mbowe wote tunakupenda.

[emoji117][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema mama we mtu hatari sana yani umeyaacha yajimalize yenyewe wala hujatumia nguvu,nchi ilipofika Leo utasema Leema hajapokelewa juzi,mama shkamoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

#Mama_fundi
Samia hatogombea
 
[emoji117]Mtu bingwa kabisa Samia Suluh Hassani,amewafanya Chadema na viongozi wao kugeuka team ya kampeni nzuri sana kuelekea 2025..

[emoji117]Mtu anayeifaham siasa ameyafanya manyumbu yote kuwa Kitu kimoja sasahv mama huna upinzani kwa chadema sijui vyama vyama gani huna..

[emoji117]Umemsafisha Magufuli maana yalisema Magufuli amewazuia kufanya siasa,umeyaruhusu siasa zenyewe sasa utafkiri zinaratibiwa na Sophia Mjema sio kwa sifa hizo wanazokumwagia.

[emoji117]Hayana agenda yanii pakushika hayana mengine ni kuratibu mapokezi ya wapiga deal,kukata keki,kumtukana Magufuli as ziiiiiii

[emoji117]Mama kwa tafsri hii piga kazi mama upinzani labda uko kwako kwa akina nape,Makamba,Mwigulu,kigwangala na genge lao lakn huku nje mama sisi na mbowe wote tunakupenda.

[emoji117][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema mama we mtu hatari sana yani umeyaacha yajimalize yenyewe wala hujatumia nguvu,nchi ilipofika Leo utasema Leema hajapokelewa juzi,mama shkamoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

#Mama_fundi
SUKUMA GANG MTAKUFA KWA PRESSURE na kumfuata Baba yenu
 
Back
Top Bottom