Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
๐Mtu bingwa kabisa Samia Suluh Hassani,amewafanya Chadema na viongozi wao kugeuka team ya kampeni nzuri sana kuelekea 2025..
๐Mtu anayeifaham siasa ameyafanya manyumbu yote kuwa Kitu kimoja sasahv mama huna upinzani kwa chadema sijui vyama vyama gani huna..
๐Umemsafisha Magufuli maana yalisema Magufuli amewazuia kufanya siasa,umeyaruhusu siasa zenyewe sasa utafkiri zinaratibiwa na Sophia Mjema sio kwa sifa hizo wanazokumwagia.
๐Hayana agenda yanii pakushika hayana mengine ni kuratibu mapokezi ya wapiga deal,kukata keki,kumtukana Magufuli as ziiiiiii
๐Mama kwa tafsri hii piga kazi mama upinzani labda uko kwako kwa akina nape,Makamba,Mwigulu,kigwangala na genge lao lakn huku nje mama sisi na mbowe wote tunakupenda.
๐๐๐๐๐๐๐๐๐ sema mama we mtu hatari sana yani umeyaacha yajimalize yenyewe wala hujatumia nguvu,nchi ilipofika Leo utasema Leema hajapokelewa juzi,mama shkamoo๐๐๐๐
#Mama_fundi
๐Mtu anayeifaham siasa ameyafanya manyumbu yote kuwa Kitu kimoja sasahv mama huna upinzani kwa chadema sijui vyama vyama gani huna..
๐Umemsafisha Magufuli maana yalisema Magufuli amewazuia kufanya siasa,umeyaruhusu siasa zenyewe sasa utafkiri zinaratibiwa na Sophia Mjema sio kwa sifa hizo wanazokumwagia.
๐Hayana agenda yanii pakushika hayana mengine ni kuratibu mapokezi ya wapiga deal,kukata keki,kumtukana Magufuli as ziiiiiii
๐Mama kwa tafsri hii piga kazi mama upinzani labda uko kwako kwa akina nape,Makamba,Mwigulu,kigwangala na genge lao lakn huku nje mama sisi na mbowe wote tunakupenda.
๐๐๐๐๐๐๐๐๐ sema mama we mtu hatari sana yani umeyaacha yajimalize yenyewe wala hujatumia nguvu,nchi ilipofika Leo utasema Leema hajapokelewa juzi,mama shkamoo๐๐๐๐
#Mama_fundi