CHADEMA ni vibaraka - Nape

povu litayatoka sn maccm mwaka huu,mtakaa mno dodoma lakn suala la RASLIMALI,SERIKALI 3,TUME HURU YA UCHAGUZI,hamchomoki
 

Vipi Jubilee ya NDOA yenu ni lini vile?
 

Baada ya single ya Ugaidi kuchuja sasa mmebuni mbinu mpya kwa kukopi kwa Mugabe kwamba CHADEMA ni vibaraka wa nchi za Magharibi. Heri kuwa kibaraka wa nchi za Magharibi zinazotupa misaada kuliko kuwa mmojawapo wa wauaji na mafisadi wa CCM.

Tiba
 
Nape hii ndiyo maana ya demokrasia waache wapite kwa wananchi roho inakuhuma, huoni watu wanajaa kwani wamelazimishwa? kuwa na siafa safi naona unamuiga mwigulu mungu anawaona
 

Mkuu mimi nadhani watu wanasahau kuwa utungaji wa katiba ni mchakato. Process. Matumizi ya helcopter yanakosa gani endapo mwishowe cdm wanaenda kukaa kama taasis ku-consolidate comments kutoka mikutano waliyoendesha? Hapa wabezaji wanachosahau ni kwamba cdm inapiga ndege wawili kwa jiwe moja. Inatoa elimu ya uraia, inakusanya maoni na pengine ina-widen understanding miongoni mwa wananchi kuhusu cdm yenyewe. Hii janja cdm wameitumia, nilidhani badala ya ccm kuibeza wangeiga na kuanza nao (pengine too late) >>>>na pengine kama wao wakienda watapigwa mawe, kwa kuwa wamekwisha toa mapendekezo tayari, japo wengi wanahoji what was the process ya kupata yale mapendekezo ya ccm?
 
Naihurumia CCM kwa ilipofikia sasa! Maana imekosa hata watu wakuizika vyema!,Yani ccm ile yakutukomboa walalahoi ndo hii waliyojimilikisha wahuni hawa na kuizika wima hivi!? Duuh inatia ushungu sana!. R.I.P ccm japo waungwana tulikupenda ila wahuni wamekupenda zaidi.
 
"Jamani wana CCM wenzangu msiwe na akili za samaki" by Amani Karume (2012)
 

kwa upande wangu naona Nape hakumuelewa Warioba, warioba amesema hapokei maoni ya helikopa bali ya taasisi. naona nimsaidie Nape kumwelewa huyu Mhe. Warioba, kwanza helikopta haitoi maoni bali ni watu. pili CDM ni taasisi ambayo ina haki ya kuwasilisha maoni yake kwa TUME, CDM yenyewe imeona vema iwashirikishe wananchi katika kutoa maoni yake. ina maana wakishapata maoni ya wananchi watachanganya na yao kisha wataandika maoni yao kama CDM ambayo ni Taasisi ndipo watawasilisha kwa Warioba.

watu mlio karibu naye Nape mpatieni ujumbe huu na mshaurini asikurupuke awe anauliza vizuri na kuelewa tafsiri kwani anatuabisha vijana ambao tunatarajia awe mfano wa kauli thabiti na za ukweli
 
Nlichokigundua hku jf,ikiwa post ya. Ccm,watu wa cdm hujtokeza kudis,na hvo ikiwa wa cdm,ccm hujtokeza kudis na kuondoa taswira ya mahala husika,stokuwa napoteza muda soma post za kihun kama hz watu mnaacha ongelea fact unawaza kudiss tu,buuuu@all
 
hembu tukaechini tuulizane hapa ni nani anaeuza rasilimali zetu kusafirisha twiga wazima meno ya tembo kama si serikali ya CCM Magamba vibaraka wakubwa wa kina bush na obama na wachina kama sio vibaraka walete mikataba 17waliosaini na china.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…