CHADEMA ni wapinzani uchwara sana, mpaka leo wameshindwa kuwateka wakulima

Wakili wa shetani

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2022
Posts
1,726
Reaction score
3,391
CDM ni chama chenye uuchwara mwingi sana, na wala siyo chama cha maana. Lakini kwenye uuchwara huo nashangaa wameshindwaje kuwateka wakulima ukiaangalia jinsi mkulima wa nchi hii anavyoteseka. Asilimia 70 ya watz wanategmea kulima, lakini sera na harakati za CDM zinawagusa kidogo sana. Watu wanaishia kusema watu wa vijijini wanachagua CCM sababu ya ujinga, kumbe ni sababu sera za wapinzani hazijaeleweka kwa watu hao.

Watu wa vijijini wanataka bei nzuri za mazao yao. Lowassa na Mwalimu walizungumzia tu kwa mbali suala hilo kwenye chaguzi mbili zilizopita, lakini si kwa namna ya watu kuwachukulia serious. Watu wa vijijini hata usipowaambia habari ya zahanati, barabara, maji na shule, ukawaambia tu jinsi watakavyopata pesa za kutosha kutokana na mazao yao watakuelewa na kukubali mara mia. Mtu mwenye pesa mfukoni anaweza kujitatulia mambo mengi.

Fanyeni kama wataalamu, ni aibu mpaka leo kwa chama chenu kutoeleweka vijijini.
 
 
Anzisha wewe chama chako ukateke hao watu wa vijijini.

Utamu wa ngoma ingia ucheze sio unajificha nyuma ya keyboard na kujitia kutoa ushauri
 
ccm inamapunguani ndio maana yanauza bandari za tanganyika huku za zanzibar zikiachwa ccm inawapumbavu wengi sana ona kama hili jinga liaassume kuwa chadema haijafika vijijin kama sio kujizima data ni nini ccm ni mapumbavu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…