CHADEMA ni Watani zangu Kisiasa na Marafiki, ila mnatuangusha mno Watanzania hadi kuhisi Mmeshanunuliwa kwa Bei rahisi

CHADEMA ni Watani zangu Kisiasa na Marafiki, ila mnatuangusha mno Watanzania hadi kuhisi Mmeshanunuliwa kwa Bei rahisi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kwa mambo yanavyoendelea nchini Tanzania hasa hasa baada ya tarehe 17 Machi, 2022 kuna Chama na Kiongozi wake Tanzania imeshawashinda kiasi kwamba wengine wanatamani tu Tukio lolote litokee ( hasa Ulaya ) ili wakapumzishe Kwanza Akili kwani walichokitegemea sicho.

CHADEMA nilidhani Kipindi hiki hicho Chama na Kiongozi wake nchi inawashinda au imeshawashinda basi nyie ndiyo mngeibuka kuja kuyasema Maovu yao huku mkija na Mikakati zaidi ya Kiushawishi ili mwaka 2025 tuwapeni nchi lakini cha Kusikitisha imekuwa ni Kinyume chake na mmebaki Kuzubaa na Kubung'aa tu.

Na kama kuna wana CHADEMA walioniangusha zaidi GENTAMYCINE ni Mheshimiwa Freeman Mbowe, John Mnyika, Tundu Lissu na Salum Mwalimu kwa kutokuja na zile amsha amsha zao zilizowafunua ( tufunua ) Akili Watanzania kiasi kwamba sasa ninahisi kuwa Wameshanunuliwa na sasa nao wako katika Payroll ya Mfumo ( System ) ili Kutombughudhi Mtemi wa Kizanzibari aliyesimikwa Mwanza kwa Wasukuma.

Pamoja na kwamba MImi ni mwana CCM Kiushabiki ( ila bado siyo Mwanachama ) nilikuwa napenda Chama cha Upinzani cha kukipa Jamba Jamba CCM yangu ili Kijitathmini, Kijirekebishe na Kiongoze vyema, ila nasikitika imekuwa ni tofauti kupelekea CCM sasa Kubweteka na kuhisi haina Mpinzani sasa na hata hiyo 2025.
 
Kwa mambo yanavyoendelea nchini Tanzania hasa hasa baada ya tarehe 17 Machi, 2022 kuna Chama na Kiongozi wake Tanzania imeshawashinda kiasi kwamba wengine wanatamani tu Tukio lolote litokee ( hasa Ulaya ) ili wakapumzishe Kwanza Akili kwani walichokitegemea sicho.

CHADEMA nilidhani Kipindi hiki hicho Chama na Kiongozi wake nchi inawashinda au imeshawashinda basi nyie ndiyo mngeibuka kuja kuyasema Maovu yao huku mkija na Mikakati zaidi ya Kiushawishi ili mwaka 2025 tuwapeni nchi lakini cha Kusikitisha imekuwa ni Kinyume chake na mmebaki Kuzubaa na Kubung'aa tu.

Na kama kuna wana CHADEMA walioniangusha zaidi GENTAMYCINE ni Mheshimiwa Freeman Mbowe, John Mnyika, Tundu Lissu na Salum Mwalimu kwa kutokuja na zile amsha amsha zao zilizowafunua ( tufunua ) Akili Watanzania kiasi kwamba sasa ninahisi kuwa Wameshanunuliwa na sasa nao wako katika Payroll ya Mfumo ( System ) ili Kutombughudhi Mtemi wa Kizanzibari aliyesimikwa Mwanza kwa Wasukuma.

Pamoja na kwamba MImi ni mwana CCM Kiushabiki ( ila bado siyo Mwanachama ) nilikuwa napenda Chama cha Upinzani cha kukipa Jamba Jamba CCM yangu ili Kijitathmini, Kijirekebishe na Kiongoze vyema, ila nasikitika imekuwa ni tofauti kupelekea CCM sasa Kubweteka na kuhisi haina Mpinzani sasa na hata hiyo 2025.
Wapinzani wa ukweli watatoka humo humo CCM ni suala la mda tu

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
Kwa mambo yanavyoendelea nchini Tanzania hasa hasa baada ya tarehe 17 Machi, 2022 kuna Chama na Kiongozi wake Tanzania imeshawashinda kiasi kwamba wengine wanatamani tu Tukio lolote litokee ( hasa Ulaya ) ili wakapumzishe Kwanza Akili kwani walichokitegemea sicho.

CHADEMA nilidhani Kipindi hiki hicho Chama na Kiongozi wake nchi inawashinda au imeshawashinda basi nyie ndiyo mngeibuka kuja kuyasema Maovu yao huku mkija na Mikakati zaidi ya Kiushawishi ili mwaka 2025 tuwapeni nchi lakini cha Kusikitisha imekuwa ni Kinyume chake na mmebaki Kuzubaa na Kubung'aa tu.

Na kama kuna wana CHADEMA walioniangusha zaidi GENTAMYCINE ni Mheshimiwa Freeman Mbowe, John Mnyika, Tundu Lissu na Salum Mwalimu kwa kutokuja na zile amsha amsha zao zilizowafunua ( tufunua ) Akili Watanzania kiasi kwamba sasa ninahisi kuwa Wameshanunuliwa na sasa nao wako katika Payroll ya Mfumo ( System ) ili Kutombughudhi Mtemi wa Kizanzibari aliyesimikwa Mwanza kwa Wasukuma.

Pamoja na kwamba MImi ni mwana CCM Kiushabiki ( ila bado siyo Mwanachama ) nilikuwa napenda Chama cha Upinzani cha kukipa Jamba Jamba CCM yangu ili Kijitathmini, Kijirekebishe na Kiongoze vyema, ila nasikitika imekuwa ni tofauti kupelekea CCM sasa Kubweteka na kuhisi haina Mpinzani sasa na hata hiyo 2025.
Chadema wanalambishwa asali
 
Kwa mambo yanavyoendelea nchini Tanzania hasa hasa baada ya tarehe 17 Machi, 2022 kuna Chama na Kiongozi wake Tanzania imeshawashinda kiasi kwamba wengine wanatamani tu Tukio lolote litokee ( hasa Ulaya ) ili wakapumzishe Kwanza Akili kwani walichokitegemea sicho.

CHADEMA nilidhani Kipindi hiki hicho Chama na Kiongozi wake nchi inawashinda au imeshawashinda basi nyie ndiyo mngeibuka kuja kuyasema Maovu yao huku mkija na Mikakati zaidi ya Kiushawishi ili mwaka 2025 tuwapeni nchi lakini cha Kusikitisha imekuwa ni Kinyume chake na mmebaki Kuzubaa na Kubung'aa tu.

Na kama kuna wana CHADEMA walioniangusha zaidi GENTAMYCINE ni Mheshimiwa Freeman Mbowe, John Mnyika, Tundu Lissu na Salum Mwalimu kwa kutokuja na zile amsha amsha zao zilizowafunua ( tufunua ) Akili Watanzania kiasi kwamba sasa ninahisi kuwa Wameshanunuliwa na sasa nao wako katika Payroll ya Mfumo ( System ) ili Kutombughudhi Mtemi wa Kizanzibari aliyesimikwa Mwanza kwa Wasukuma.

Pamoja na kwamba MImi ni mwana CCM Kiushabiki ( ila bado siyo Mwanachama ) nilikuwa napenda Chama cha Upinzani cha kukipa Jamba Jamba CCM yangu ili Kijitathmini, Kijirekebishe na Kiongoze vyema, ila nasikitika imekuwa ni tofauti kupelekea CCM sasa Kubweteka na kuhisi haina Mpinzani sasa na hata hiyo 2025.
Genta baada ya kunyanyasana na kesi mchongo za ugaidi,tupo tunatafakari, njia iliyobora na kuielimisha jamii japo midomo yetu imefungwa na miguu ila hivyo hivyo tunasonga,hivyo kuwa sehemu ya elimu Kwa Mtanzania Ili ajue majanga anayoletewa na wanachukua chako mapame.🤔
 
Hiki kipindi ndo ambacho CHADEMA,wangejipanga kuchukua hii nchi.

Hiki kipindi ndo kizuri sababu wa-DANGANYIKA wamechoka na hii sirikali hasahasa huyu bibi.

ila kwa masikitiko makubwa, nasikitika kutangaza kuwa HAKUNA UPINZANI KWA SASA HAPA DANGANYIKA KANTRI!
 
Mbowe amuachie kiti G Lema hakuna namna Chadema "itasavaiv" chini ya Mbowe
 
Kwa mambo yanavyoendelea nchini Tanzania hasa hasa baada ya tarehe 17 Machi, 2022 kuna Chama na Kiongozi wake Tanzania imeshawashinda kiasi kwamba wengine wanatamani tu Tukio lolote litokee ( hasa Ulaya ) ili wakapumzishe Kwanza Akili kwani walichokitegemea sicho.

CHADEMA nilidhani Kipindi hiki hicho Chama na Kiongozi wake nchi inawashinda au imeshawashinda basi nyie ndiyo mngeibuka kuja kuyasema Maovu yao huku mkija na Mikakati zaidi ya Kiushawishi ili mwaka 2025 tuwapeni nchi lakini cha Kusikitisha imekuwa ni Kinyume chake na mmebaki Kuzubaa na Kubung'aa tu.

Na kama kuna wana CHADEMA walioniangusha zaidi GENTAMYCINE ni Mheshimiwa Freeman Mbowe, John Mnyika, Tundu Lissu na Salum Mwalimu kwa kutokuja na zile amsha amsha zao zilizowafunua ( tufunua ) Akili Watanzania kiasi kwamba sasa ninahisi kuwa Wameshanunuliwa na sasa nao wako katika Payroll ya Mfumo ( System ) ili Kutombughudhi Mtemi wa Kizanzibari aliyesimikwa Mwanza kwa Wasukuma.

Pamoja na kwamba MImi ni mwana CCM Kiushabiki ( ila bado siyo Mwanachama ) nilikuwa napenda Chama cha Upinzani cha kukipa Jamba Jamba CCM yangu ili Kijitathmini, Kijirekebishe na Kiongoze vyema, ila nasikitika imekuwa ni tofauti kupelekea CCM sasa Kubweteka na kuhisi haina Mpinzani sasa na hata hiyo 2025.
Siungeanzisha wewe chama Cha upinzani
 
Mbowe aliingia mtego wa watawala kwa kufutiwa kesi ya UGAIDI ndio tatizo lilipoanzia...

Mbowe kawa bubu na kibogoyo kisa buyu la asali ila kwa maisha ya sasa ilikuwa inawezekana kuanzisha movement maana dada uongozi umemshinda.
 
Kwa mambo yanavyoendelea nchini Tanzania hasa hasa baada ya tarehe 17 Machi, 2022 kuna Chama na Kiongozi wake Tanzania imeshawashinda kiasi kwamba wengine wanatamani tu Tukio lolote litokee ( hasa Ulaya ) ili wakapumzishe Kwanza Akili kwani walichokitegemea sicho.

CHADEMA nilidhani Kipindi hiki hicho Chama na Kiongozi wake nchi inawashinda au imeshawashinda basi nyie ndiyo mngeibuka kuja kuyasema Maovu yao huku mkija na Mikakati zaidi ya Kiushawishi ili mwaka 2025 tuwapeni nchi lakini cha Kusikitisha imekuwa ni Kinyume chake na mmebaki Kuzubaa na Kubung'aa tu.

Na kama kuna wana CHADEMA walioniangusha zaidi GENTAMYCINE ni Mheshimiwa Freeman Mbowe, John Mnyika, Tundu Lissu na Salum Mwalimu kwa kutokuja na zile amsha amsha zao zilizowafunua ( tufunua ) Akili Watanzania kiasi kwamba sasa ninahisi kuwa Wameshanunuliwa na sasa nao wako katika Payroll ya Mfumo ( System ) ili Kutombughudhi Mtemi wa Kizanzibari aliyesimikwa Mwanza kwa Wasukuma.

Pamoja na kwamba MImi ni mwana CCM Kiushabiki ( ila bado siyo Mwanachama ) nilikuwa napenda Chama cha Upinzani cha kukipa Jamba Jamba CCM yangu ili Kijitathmini, Kijirekebishe na Kiongoze vyema, ila nasikitika imekuwa ni tofauti kupelekea CCM sasa Kubweteka na kuhisi haina Mpinzani sasa na hata hiyo 2025.
Mku kinachowakwamisha ni majadiliano na kikosi kazi kwani ndo kimewanyamazisha.
Ila juzi Lisu nilimsikiliza juu ya yanayoendelea kuhusu mikutano kuzuiwa kuwa msimamo watautoa ktk hiki kikao chao kinachoendelea.
Hamshahamsha ya kisiasa niliyoizoea kutoka Chadema ni ya muhimu sana kwani ni wajuvi wa hoja kuanzia kwa viongozi wao hadi wanachama
 
Hakuna chama chochote cha siasa hapa Tanzania mali ya wananchi, vyama vyote ni mali ya serikali na viko chini ya mfumo.

Mapinduzi ya kweli yataletwa na wananchi kama ilivyotokea Egypt kwa Mubarak kupumzishwa, hapa pia siku wananchi wakiamka na kuwa wakali bali CCM itapumzika milele.
 
Chadema hakijawahi kuwa serious katika lolote hakuna jambo wamewahi fanya likafanikiwa.

Katika siasa za upinzani Mtikila kafanikiwa zaidi kuliko hata Chadema.

Hivyo kuwalaumu kutokupiga kelele ambazo hazizai matunda ni kazi bure tu.
 
Chadema hakijawahi kuwa serious katika lolote hakuna jambo wamewahi fanya likafanikiwa.

Katika siasa za upinzani Mtikila kafanikiwa zaidi kuliko hata Chadema.

Hivyo kuwalaumu kutokupiga kelele ambazo hazizai matunda ni kazi bure tu.
Ukiwa serious wewe inatosha mkuu.
Wakienda jela na kupigwa risasi mnawaona wajinga,
 
Kwa mambo yanavyoendelea nchini Tanzania hasa hasa baada ya tarehe 17 Machi, 2022 kuna Chama na Kiongozi wake Tanzania imeshawashinda kiasi kwamba wengine wanatamani tu Tukio lolote litokee ( hasa Ulaya ) ili wakapumzishe Kwanza Akili kwani walichokitegemea sicho.

CHADEMA nilidhani Kipindi hiki hicho Chama na Kiongozi wake nchi inawashinda au imeshawashinda basi nyie ndiyo mngeibuka kuja kuyasema Maovu yao huku mkija na Mikakati zaidi ya Kiushawishi ili mwaka 2025 tuwapeni nchi lakini cha Kusikitisha imekuwa ni Kinyume chake na mmebaki Kuzubaa na Kubung'aa tu.

Na kama kuna wana CHADEMA walioniangusha zaidi GENTAMYCINE ni Mheshimiwa Freeman Mbowe, John Mnyika, Tundu Lissu na Salum Mwalimu kwa kutokuja na zile amsha amsha zao zilizowafunua ( tufunua ) Akili Watanzania kiasi kwamba sasa ninahisi kuwa Wameshanunuliwa na sasa nao wako katika Payroll ya Mfumo ( System ) ili Kutombughudhi Mtemi wa Kizanzibari aliyesimikwa Mwanza kwa Wasukuma.

Pamoja na kwamba MImi ni mwana CCM Kiushabiki ( ila bado siyo Mwanachama ) nilikuwa napenda Chama cha Upinzani cha kukipa Jamba Jamba CCM yangu ili Kijitathmini, Kijirekebishe na Kiongoze vyema, ila nasikitika imekuwa ni tofauti kupelekea CCM sasa Kubweteka na kuhisi haina Mpinzani sasa na hata hiyo 2025.
CCM haijui umhimu wa vyama vya upinzani. Sijui wewe umetokea wapi!.
 
Kwa mambo yanavyoendelea nchini Tanzania hasa hasa baada ya tarehe 17 Machi, 2022 kuna Chama na Kiongozi wake Tanzania imeshawashinda kiasi kwamba wengine wanatamani tu Tukio lolote litokee ( hasa Ulaya ) ili wakapumzishe Kwanza Akili kwani walichokitegemea sicho.

CHADEMA nilidhani Kipindi hiki hicho Chama na Kiongozi wake nchi inawashinda au imeshawashinda basi nyie ndiyo mngeibuka kuja kuyasema Maovu yao huku mkija na Mikakati zaidi ya Kiushawishi ili mwaka 2025 tuwapeni nchi lakini cha Kusikitisha imekuwa ni Kinyume chake na mmebaki Kuzubaa na Kubung'aa tu.

Na kama kuna wana CHADEMA walioniangusha zaidi GENTAMYCINE ni Mheshimiwa Freeman Mbowe, John Mnyika, Tundu Lissu na Salum Mwalimu kwa kutokuja na zile amsha amsha zao zilizowafunua ( tufunua ) Akili Watanzania kiasi kwamba sasa ninahisi kuwa Wameshanunuliwa na sasa nao wako katika Payroll ya Mfumo ( System ) ili Kutombughudhi Mtemi wa Kizanzibari aliyesimikwa Mwanza kwa Wasukuma.

Pamoja na kwamba MImi ni mwana CCM Kiushabiki ( ila bado siyo Mwanachama ) nilikuwa napenda Chama cha Upinzani cha kukipa Jamba Jamba CCM yangu ili Kijitathmini, Kijirekebishe na Kiongoze vyema, ila nasikitika imekuwa ni tofauti kupelekea CCM sasa Kubweteka na kuhisi haina Mpinzani sasa na hata hiyo 2025.
Niseme tu,
Naunga mkono hoja.
 
Waacheni chadema wafanye vile wanaona inafaa.kwasababu waliongea sana uko nyuma wakabezwa nakuonekana wanapinga kila kitu uku wengine wakiwasema kua ni wanaharakati na wabadilishe namna yakufanya siasa zao.Sasa hivi wameamua kukaa kimya bado mnawafwata fata.Kwahiyo ngoja wakae kimya ili wananchi waone umuhimu wao labda akili zitatujia.
 
Back
Top Bottom