Chadema ni watu wa Amani sana. Hakuna hata sisimizi aliyekanyagwa

Chadema ni watu wa Amani sana. Hakuna hata sisimizi aliyekanyagwa

Rasterman

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2015
Posts
33,894
Reaction score
44,117
Hiki chama aisee ni cha kipekee.

Tangu hapo zamani kikifanya mikutano na shughuli zingine za mikusanyiko huwa wanatoma kwa amani na furaha tele kwa wananchi. Mikutano yao isipoingiliwa na dola huwezi kusikia hata Mwananchi mmoja akilalamika kukanyagiwa fungu la nyanya wala dagaa.

Ngoja sasa waingie wale jama hii!! Mimi ningeshangaa na ningekuwa nilishahamia CCM kitambo sana kama Chadema wangekuwa watu wa vurugu. Chama cha utu, ustarabu na kinazingatia haki za wengine wakati woote wa shughuli zake za kisiasa.

Juzi tarehe 21 wakiwa Mwanza utitiri wa makutano ya watu pembezoni mwa njia na barabara kulikuwa na watu kibao wakifanya biashara zao za mihogo, wachoma mahindi, wauza karanga, dagaa na samaki hakuna hata mmoja alilalamika kumwagiwa tenga lake.

Wale wazushi walikuwa wanadanganya umma sana. Nyakati zimebadilika.

Watanzania sio wajinga tena
 
Mmewaita watanzania mademu halafu unakuja hapa kufanya damage control ,subiri 2025 uone nani demu
 
Ni Tanzania ambapo msaliti anafanyiwa home coming.

Rwanda walishavuka huu ujinga
 
Bila CCM msingekuwa na hiyo amani
CCM ndo Huwa inavuruga Amani,

Usiku wa kuamkia uchaguzi, ukikutana na manaccccm, meno na macho huwa kama ya real zombies,

Chaguzi zilizopita, hata kushinda tu ubunge Kwa Chama Cha upinzani ilikuwa shughuli.

Yaani usijisahau kdg usiku wa kuamkia Siku ya Uchaguzi, asubuhi unakuta KAZI imeisha.😳😳😃😃😃

Mh Lema ana habari nao.
 
Hiki chama aisee ni cha kipekee.

Tangu hapo zamani kikifanya mikutano na shughuli zingine za mikusanyiko huwa wanatoma kwa amani na furaha tele kwa wananchi. Mikutano yao isipoingiliwa na dola huwezi kusikia hata Mwananchi mmoja akilalamika kukanyagiwa fungu la nyanya wala dagaa.

Ngoja sasa waingie wale jama hii!! Mimi ningeshangaa na ningekuwa nilishahamia CCM kitambo sana kama Chadema wangekuwa watu wa vurugu. Chama cha utu, ustarabu na kinazingatia haki za wengine wakati woote wa shughuli zake za kisiasa.

Juzi tarehe 21 wakiwa Mwanza utitiri wa makutano ya watu pembezoni mwa njia na barabara kulikuwa na watu kibao wakifanya biashara zao za mihogo, wachoma mahindi, wauza karanga, dagaa na samaki hakuna hata mmoja alilalamika kumwagiwa tenga lake.

Wale wazushi walikuwa wanadanganya umma sana. Nyakati zimebadilika.

Watanzania sio wajinga tena
Hakuna hata sisimizi aliyekanyagwa Wala kubughudhiwa.
 
Mungu ibariki Chadema

JamiiForums442997317_236x211.jpg
 
Shida chadema hawana pesa, kwahiyo wanaogopa wakikanyaga nyanya za wananchi hawatoweza kuwalipa chochote.
Chadema tafuteni pesa.
 
CCM ndo Huwa inavuruga Amani,

Usiku wa kuamkia uchaguzi, ukikutana na manaccccm, meno na macho huwa kama ya real zombies,

Chaguzi zilizopita, hata kushinda tu ubunge Kwa Chama Cha upinzani ilikuwa shughuli.

Yaani usijisahau kdg usiku wa kuamkia Siku ya Uchaguzi, asubuhi unakuta KAZI imeisha.😳😳😃😃😃

Mh Lema ana habari nao.
Siku ya mazishi tu ya Hayati Rais Magufuli walifanya vurugu watu makumi walipoteza maisha.

Ccm sjo watu
 
Mmewaita watanzania mademu halafu unakuja hapa kufanya damage control ,subiri 2025 uone nani demu
Bei ya unga itakuwa kilo Elfu 5, mchele elfu 9. Nani atasikiliza mabi ya eti Demu! Mtaparaganyika
 
Back
Top Bottom