Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Wewe pimbi?Unashaidi gani
Pimbi tena nimekuuliza unaushaidi au njaa inakusumbuaWewe pimbi?
Jibu swali. Wewe kiazi?Pimbi tena nimekuuliza unaushaidi au njaa inakusumbua
Walivuta mpunga wa Bunge Maalum la Katiba wakasepa!Una ushaidi gani
Walivuta mpunga wa Bunge Maalum la Katiba wakasepa!
Hawa wapinzani ni tumbo maslahi. Mnashindwa kumuacha JPM apumzike?. Mnataka nani awajibu wakati alishanyamaza milele?. Ninahizunika na kughadhibika Sana!. Muacheni Rais Magufuli apumzike kwa amani.
Atakumbukwa daima kwa kuweka historia ya usalama wa chakula nchini kwa bei inahowezekana kwa kila mwananchi.
"Njaa hudhalilisha heshima na Uhuru wa nchi!. Njiaa hutweza utu wa mwanadamu".
Ni punje ndogo sana unayiona ukilinganisha na vijana wa mboweNinatamani kuona mambo ya kweli na ya maana kuwekwa kwenye mitandalo yetu. Unaweza kujifanyia takataka kama huyu mtoa posti sii kwamba hajui lakini unaiona chuki ktk moyo wake.
Nyinyi mna ushahidi gani na mnayoshadadia?¿Una ushaidi gani
Sasa unalia nini dogo ?Just imagine mfanyabiashara aliyejitolea zaidi ya mil 100 ili angalau upinzani uwepo nchini na kuirekebisha serikali. Lakini inatafunwa kama njugu.
Michango na pesa za ruzuku zaidi ya bil 13. Zilitafunwa kama njugu.
Hayati JPM alikuwa hataki utafunaji wa pesa za umma. Akawqdhibiti Chadema . Mbowe nusra afungwa kwa wizi wa pesa za umma.
Leo wanajidai kuleta uzushi na uongo ili wamchafue hayati.
Chadema mnatwanga maji kwenye kinu.
Pumbaf wewe mrundiJust imagine mfanyabiashara aliyejitolea zaidi ya mil 100 ili angalau upinzani uwepo nchini na kuirekebisha serikali. Lakini inatafunwa kama njugu.
Michango na pesa za ruzuku zaidi ya bil 13. Zilitafunwa kama njugu.
Hayati JPM alikuwa hataki utafunaji wa pesa za umma. Akawqdhibiti Chadema . Mbowe nusra afungwa kwa wizi wa pesa za umma.
Leo wanajidai kuleta uzushi na uongo ili wamchafue hayati.
Chadema mnatwanga maji kwenye kinu.
Kama wewe unavyotwanga maji kwenye kinu kwa kuamini kuwa yesu wako atarudi baada ya siku 3000Just imagine mfanyabiashara aliyejitolea zaidi ya mil 100 ili angalau upinzani uwepo nchini na kuirekebisha serikali. Lakini inatafunwa kama njugu.
Michango na pesa za ruzuku zaidi ya bil 13. Zilitafunwa kama njugu.
Hayati JPM alikuwa hataki utafunaji wa pesa za umma. Akawqdhibiti Chadema . Mbowe nusra afungwa kwa wizi wa pesa za umma.
Leo wanajidai kuleta uzushi na uongo ili wamchafue hayati.
Chadema mnatwanga maji kwenye kinu.