Chadema nimeamini kuna ombwe la uongozi

Chadema nimeamini kuna ombwe la uongozi

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Haya nayasema baada yakuona mihemko ya wanachama katika uchaguzi wa ndani unaoendelea kufanyika nchini.

Niaibu kwa viongozi wa juu kabisa tena ngazi ya mkoa kufikia hatua kudhihaki kiongozi wake wa juu tena nafasi ya makamu mwenyekiti kwa kutweza utu wake huku mwenyekiti akicheka wanayoyafanya viongozi hao mfano jinga la shinyanga NTOBI

Nimeamini mh Tundu lisu yupo kwenye taasisi ya wajinga iliyojaa mihemko ya kisiasa

Nimeamini kuwa mbowe nikiongozi anayejali maslahi yake binafisi Zaidi ya chama.

Mbowe kama mwenyekiti asingesema kuwa akiona chama kinazama ataingia mzigoni maana yake anaamini yeye bado NI mwenyekiti huu uchaguzi nikiini macho.

Mbowe mbinu anazotumia kuomba ridhaa ya chama kugombea nafasi ya mwenyekiti zimepitwa na wakati kwani mbinu hizo hutumiwa na viongozi ma dictator ambao huamini bila wao kuwepo hakuna kitu kinaweza kufanyika.

Wote mmesikia akisema kwenye chama anamchango mkubwa wa kukijenga Hilo halina ubishi lakini je hicho chama alikijenga mwenyewe.

watanzania tuwakatae viongozi Aina ya mbowe wanaweza kutumbukiza taifa SHIMONI tena kwenye kina kirefu.

Siamini wanachama wote waliohama chama hicho NI wasaliti ,walikaa nakuona Aina ya uongozi ndani ya chama na uendeshaji wake umejaa ubabaishaji.
 
Haya nayasema baada yakuona mihemko ya wanachama katika uchaguzi wa ndani unaoendelea kufanyika nchini.

Niaibu kwa viongozi wa juu kabisa tena ngazi ya mkoa kufikia hatua kudhihaki kiongozi wake wa juu tena nafasi ya makamu mwenyekiti kwa kutweza utu wake huku mwenyekiti akicheka wanayoyafanya viongozi hao mfano jinga la shinyanga NTOBI

Nimeamini mh Tundu lisu yupo kwenye taasisi ya wajinga iliyojaa mihemko ya kisiasa

Nimeamini kuwa mbowe nikiongozi anayejali maslahi yake binafisi Zaidi ya chama.

Mbowe kama mwenyekiti asingesema kuwa akiona chama kinazama ataingia mzigoni maana yake anaamini yeye bado NI mwenyekiti huu uchaguzi nikiini macho.

Mbowe mbinu anazotumia kuomba ridhaa ya chama kugombea nafasi ya mwenyekiti zimepitwa na wakati kwani mbinu hizo hutumiwa na viongozi ma dictator ambao huamini bila wao kuwepo hakuna kitu kinaweza kufanyika.

Wote mmesikia akisema kwenye chama anamchango mkubwa wa kukijenga Hilo halina ubishi lakini je hicho chama alikijenga mwenyewe.

watanzania tuwakatae viongozi Aina ya mbowe wanaweza kutumbukiza taifa SHIMONI tena kwenye kina kirefu.

Siamini wanachama wote waliohama chama hicho NI wasaliti ,walikaa nakuona Aina ya uongozi ndani ya chama na uendeshaji wake umejaa ubabaishaji.
Naunga mkono hoja. Mbowe amefanya mengi makubwa na ya kutukuka Chadema, ila amefikia stage ya saturated solution, hapa ilipo ndio mwisho wa uwezo wake, apishe wengine wenye uwezo zaidi yake waiingize Chadema Ikulu, Mbowe hawezi!.

P
 
Watanzania tuwakatae viongozi Aina ya mbowe wanaweza kutumbukiza taifa SHIMONI tena kwenye kina kirefu.
Unafiki at its best. Unawaongelea Watanzania wa wapi hao? Hawa hawa wanaowachagua viongozi tulio nao> Come on, be serious!
Siamini wanachama wote waliohama chama hicho NI wasaliti ,walikaa nakuona Aina ya uongozi ndani ya chama na uendeshaji wake umejaa ubabaishaji.
NI mafanikio yapi hayo waliohama waliyapata nje ya Chadema kuliko waliyoyapata ndani ya Chadema?
 
Naunga mkono hoja. Mbowe amefanya mengi makubwa na ya kutukuka Chadema, ila amefikia stage ya saturated solution, hapa ilipo ndio mwisho wa uwezo wake, apishe wengine wenye uwezo zaidi yake waiingize Chadema Ikulu, Mbowe hawezi!.

P
Saturated solution ndio nini?
Ni hypocricy ya hali ya juu ya kutaka uchaguzi wa haki na uwazi halafu kufanya kila njia kumzuia mwanachama asigombee. Ngojeni atangaze nia ndio mumshambulie kwa uamuzi huo.

Kuna mtu humu ametukanwa na kubezwa kama Mbowe? Tangu lini wewe umetaka Chadema iingie Ikulu?

Amandla...
 
Kisaikolojia ukifanya kazi fulani kwa mda mrefu,unaanza kufanya kwa mazoea, miaka 20 , hana jipya
 
Haya nayasema baada yakuona mihemko ya wanachama katika uchaguzi wa ndani unaoendelea kufanyika nchini.

Niaibu kwa viongozi wa juu kabisa tena ngazi ya mkoa kufikia hatua kudhihaki kiongozi wake wa juu tena nafasi ya makamu mwenyekiti kwa kutweza utu wake huku mwenyekiti akicheka wanayoyafanya viongozi hao mfano jinga la shinyanga NTOBI

Nimeamini mh Tundu lisu yupo kwenye taasisi ya wajinga iliyojaa mihemko ya kisiasa

Nimeamini kuwa mbowe nikiongozi anayejali maslahi yake binafisi Zaidi ya chama.

Mbowe kama mwenyekiti asingesema kuwa akiona chama kinazama ataingia mzigoni maana yake anaamini yeye bado NI mwenyekiti huu uchaguzi nikiini macho.

Mbowe mbinu anazotumia kuomba ridhaa ya chama kugombea nafasi ya mwenyekiti zimepitwa na wakati kwani mbinu hizo hutumiwa na viongozi ma dictator ambao huamini bila wao kuwepo hakuna kitu kinaweza kufanyika.

Wote mmesikia akisema kwenye chama anamchango mkubwa wa kukijenga Hilo halina ubishi lakini je hicho chama alikijenga mwenyewe.

watanzania tuwakatae viongozi Aina ya mbowe wanaweza kutumbukiza taifa SHIMONI tena kwenye kina kirefu.

Siamini wanachama wote waliohama chama hicho NI wasaliti ,walikaa nakuona Aina ya uongozi ndani ya chama na uendeshaji wake umejaa ubabe
Mbowe ana machaguo mawili tu, Moja, Tundu Lissu awe mwenyekiti, na Pili Mbowe alazimishe kuwa mwenyekiti chama kimfie ramsi.

Chama cha siasa kinapokubali kupoteza makada wake wenye ushawishi ujue chama hicho kinajizika chenyewe,
Niwasihi wajumbe wa mkutano mkuu, tuleteeni Tundu Lissu.
 
Kwani Lissu ndie aliechaguliwa na yeye kumrithi jabali kabla hajapewa mpaka shedo mwingine? Kwa mujibu wa SAUTI.
 
Naunga mkono hoja. Mbowe amefanya mengi makubwa na ya kutukuka Chadema, ila amefikia stage ya saturated solution, hapa ilipo ndio mwisho wa uwezo wake, apishe wengine wenye uwezo zaidi yake waiingize Chadema Ikulu, Mbowe hawezi!.

P
Naunga mkono hoja hii japo wewe ni kada wa Ccm
 
Asante, mimi ni mtu wa kutanguliza mbele maslahi ya taifa, japo kweli mimi ni kada wa CCM, ni wale makada wazalendo wanaotaka kuona nchi yetu ina a healthy opposition。

P
'Healthy opposition ' ila isiyoweza kukishinda chama chako Ccm.
 
Chaguzi zote huwa na ushindani mkubwa, ndiyo sababu vyama vingi hutoa fomu moja tu ya kugombea. Hii ni kiondoa tafrani kama hii inayoendelea chadema.
 
Kiongozi.... Haipendezi kumtaja mtu kwa Haiba yake(mwonekano, mavazi na mapambo/urembo n.k)
 
Back
Top Bottom