RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,788
- 4,401
Haya nayasema baada yakuona mihemko ya wanachama katika uchaguzi wa ndani unaoendelea kufanyika nchini.
Niaibu kwa viongozi wa juu kabisa tena ngazi ya mkoa kufikia hatua kudhihaki kiongozi wake wa juu tena nafasi ya makamu mwenyekiti kwa kutweza utu wake huku mwenyekiti akicheka wanayoyafanya viongozi hao mfano jinga la shinyanga NTOBI
Nimeamini mh Tundu lisu yupo kwenye taasisi ya wajinga iliyojaa mihemko ya kisiasa
Nimeamini kuwa mbowe nikiongozi anayejali maslahi yake binafisi Zaidi ya chama.
Mbowe kama mwenyekiti asingesema kuwa akiona chama kinazama ataingia mzigoni maana yake anaamini yeye bado NI mwenyekiti huu uchaguzi nikiini macho.
Mbowe mbinu anazotumia kuomba ridhaa ya chama kugombea nafasi ya mwenyekiti zimepitwa na wakati kwani mbinu hizo hutumiwa na viongozi ma dictator ambao huamini bila wao kuwepo hakuna kitu kinaweza kufanyika.
Wote mmesikia akisema kwenye chama anamchango mkubwa wa kukijenga Hilo halina ubishi lakini je hicho chama alikijenga mwenyewe.
watanzania tuwakatae viongozi Aina ya mbowe wanaweza kutumbukiza taifa SHIMONI tena kwenye kina kirefu.
Siamini wanachama wote waliohama chama hicho NI wasaliti ,walikaa nakuona Aina ya uongozi ndani ya chama na uendeshaji wake umejaa ubabaishaji.
Niaibu kwa viongozi wa juu kabisa tena ngazi ya mkoa kufikia hatua kudhihaki kiongozi wake wa juu tena nafasi ya makamu mwenyekiti kwa kutweza utu wake huku mwenyekiti akicheka wanayoyafanya viongozi hao mfano jinga la shinyanga NTOBI
Nimeamini mh Tundu lisu yupo kwenye taasisi ya wajinga iliyojaa mihemko ya kisiasa
Nimeamini kuwa mbowe nikiongozi anayejali maslahi yake binafisi Zaidi ya chama.
Mbowe kama mwenyekiti asingesema kuwa akiona chama kinazama ataingia mzigoni maana yake anaamini yeye bado NI mwenyekiti huu uchaguzi nikiini macho.
Mbowe mbinu anazotumia kuomba ridhaa ya chama kugombea nafasi ya mwenyekiti zimepitwa na wakati kwani mbinu hizo hutumiwa na viongozi ma dictator ambao huamini bila wao kuwepo hakuna kitu kinaweza kufanyika.
Wote mmesikia akisema kwenye chama anamchango mkubwa wa kukijenga Hilo halina ubishi lakini je hicho chama alikijenga mwenyewe.
watanzania tuwakatae viongozi Aina ya mbowe wanaweza kutumbukiza taifa SHIMONI tena kwenye kina kirefu.
Siamini wanachama wote waliohama chama hicho NI wasaliti ,walikaa nakuona Aina ya uongozi ndani ya chama na uendeshaji wake umejaa ubabaishaji.