Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Ilopokaji kwenye nini,tukiweka mdahalo hapo wa Lissu na wewe utamshinda??Lissu huwa namhurumia kwa yale marisasi yaliyoharibu mwili wake
Lkn lissu Ni mtu mwenye dharau na mropokaji Sana Hilo halina ubish
Yes a healthy opposition ya kufanya uchechemuzi wa siasa zetu bungeni lakini rais wa nchi hii siku zote atatoka CCM.'Healthy opposition ' ila isiyoweza kukishinda chama chako Ccm.
Tena, ni ombwe Kali sana sana !Haya nayasema baada yakuona mihemko ya wanachama katika uchaguzi wa ndani unaoendelea kufanyika nchini.
Niaibu kwa viongozi wa juu kabisa tena ngazi ya mkoa kufikia hatua kudhihaki kiongozi wake wa juu tena nafasi ya makamu mwenyekiti kwa kutweza utu wake huku mwenyekiti akicheka wanayoyafanya viongozi hao mfano jinga la shinyanga NTOBI
Nimeamini mh Tundu lisu yupo kwenye taasisi ya wajinga iliyojaa mihemko ya kisiasa
Nimeamini kuwa mbowe nikiongozi anayejali maslahi yake binafisi Zaidi ya chama.
Mbowe kama mwenyekiti asingesema kuwa akiona chama kinazama ataingia mzigoni maana yake anaamini yeye bado NI mwenyekiti huu uchaguzi nikiini macho.
Mbowe mbinu anazotumia kuomba ridhaa ya chama kugombea nafasi ya mwenyekiti zimepitwa na wakati kwani mbinu hizo hutumiwa na viongozi ma dictator ambao huamini bila wao kuwepo hakuna kitu kinaweza kufanyika.
Wote mmesikia akisema kwenye chama anamchango mkubwa wa kukijenga Hilo halina ubishi lakini je hicho chama alikijenga mwenyewe.
watanzania tuwakatae viongozi Aina ya mbowe wanaweza kutumbukiza taifa SHIMONI tena kwenye kina kirefu.
Siamini wanachama wote waliohama chama hicho NI wasaliti ,walikaa nakuona Aina ya uongozi ndani ya chama na uendeshaji wake umejaa ubabaishaji.
Kweli kwa sasa apumzike tu.Naunga mkono hoja. Mbowe amefanya mengi makubwa na ya kutukuka Chadema, ila amefikia stage ya saturated solution, hapa ilipo ndio mwisho wa uwezo wake, apishe wengine wenye uwezo zaidi yake waiingize Chadema Ikulu, Mbowe hawezi!.
P
Naam mazoea huzaa udumavu katika ufanisi.Kisaikolojia ukifanya kazi fulani kwa mda mrefu,unaanza kufanya kwa mazoea, miaka 20 , hana jipya
Mmh maoni yako yanafikirisha mkuu,ngoja tusubiri,mungu atupe uzima inshaalah.Ni dakika sifuri!, lakini Mbowe hana uwezo huo!. Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli! kama mtu alisimama na hili jabali na kulitoa kamasi, 2025 kumsimamisha na poda, I shedow na lipstick si ni kama kumsukuma tuu mlevi?. Kilichotokea Uchaguzi wa Marekani, kinaweza kutokea Uchaguzi 2025?. Tuyatumie matokeo yao kama shamba darasa la 2025 au wao ni wao, na sisi ni sisii?
Iwapo Watanzania watakuwa wajinga kama Wamarekani Inawezekana Wamarekani ni wajinga ajabu? Wamemchagua mwanaume na kumtosa Mwanamke. 2025 Watanzania tuchague mwanamke kuonesha tuna akili zaidi yao?
P