CHADEMA pamoja na kushindwa uchaguzi bado mna deni kubwa wa watanzania

Mkuu hoja hapa ni Chadema kuomba msamaha ili kama ikajaliwa kirudi kwenye game. Mambo ya uteuzi yanahusika vipi? Ndio maana mnafeli sana.

Wanachama wengi wa chadema hawawazi maendeleo ya chadema, mahaba ni bora sana kwao kuliko brain

Ona walipofika sasa

Soon watapotea wote
 
Umenena vizuri mkuu ila kwa kuwa wanasaccos HAMNAZO! watakupinga tuuu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…