Chadema wanapoelekea kwa sasa itakuwa kama UMD kinakufa taratibu, leo hii Chadema wanaandaa Maandamano wanakusanya Bodaboda na Bajaji zaidi ya 200 wajaze Maandamano wanamdanganya nani kama raia wamekaa maandamano yako wanawaonyesha UN ili iweje.
Nani analipa hizo pesa za mafuta na posho kwa bodaboda na bajaji au Mbowe anatoa kweye fungu la ruzuku maana ruzuku yote anakaa nayo Mbowe.
Jambo la kushangaza Chadema anaenda kushataki UN kuwa Bavicha hawana kazi maisha magumu UN atawasaidia ajira?
Hizo pesa kwa nini msianze na vikundi vya Bavicha kuwapa mitaji wafanye kilimo au ujasiliamali.
Chadema wanapoelekea kwa sasa itakuwa kama UMD kinakufa taratibu, leo hii Chadema wanaandaa Maandamano wanakusanya Bodaboda na Bajaji zaidi ya 200 wajaze Maandamano wanamdanganya nani kama raia wamekaa maandamano yako wanawaonyesha UN ili iweje.
Nani analipa hizo pesa za mafuta na posho kwa bodaboda na bajaji au Mbowe anatoa kweye fungu la ruzuku maana ruzuku yote anakaa nayo Mbowe.
Jambo la kushangaza Chadema anaenda kushataki UN kuwa Bavicha hawana kazi maisha magumu UN atawasaidia ajira?
Hizo pesa kwa nini msianze na vikundi vya Bavicha kuwapa mitaji wafanye kilimo au ujasiliamali.
Mbona fisiemu kila anapoenda bashite wanachukua boda wanawapa lita mbili za wese wanawaambia wakampokee mwenezi wanakusanya watu na magari ya halmashauri kuwapelek kwenye mkutano kwahyo usipanic Chademawize wakifa ya hivyo ni siasa tu kila mtu ashinde zake un akiona chadema wanaweza utaona fitna itakayoingia kwa ccm na chadema wamgekua na tamaa kama ccm wangeshaifanya nchi iwe kama kongo maana ni swala la kikao kimoja na us na kumuahidi resource alafu anatuma cia wanakuja kuvuruga nchi vita vinaanza basi us anacheta mali chadema wanaipiga ccm hakuna tena utawala wa sheria....
Chadema wanapoelekea kwa sasa itakuwa kama UMD kinakufa taratibu, leo hii Chadema wanaandaa Maandamano wanakusanya Bodaboda na Bajaji zaidi ya 200 wajaze Maandamano wanamdanganya nani kama raia wamekaa maandamano yako wanawaonyesha UN ili iweje.
Nani analipa hizo pesa za mafuta na posho kwa bodaboda na bajaji au Mbowe anatoa kweye fungu la ruzuku maana ruzuku yote anakaa nayo Mbowe.
Jambo la kushangaza Chadema anaenda kushataki UN kuwa Bavicha hawana kazi maisha magumu UN atawasaidia ajira?
Hizo pesa kwa nini msianze na vikundi vya Bavicha kuwapa mitaji wafanye kilimo au ujasiliamali.
Hivi kweli kwa akili yako kukodi Bodaboda ni issue!!? Makonda huko aliko kila siku anakodisha bodaboda ngapi!!? After all hizi Bajaji hazimilikiwi na wana CCM tu au wasio na vyama peke yao. Kuna wana CDM pia wanazimiliki. Nevertheless, maandamano ya km 30 lazima walitakiwa wawe na pikipiki na magari kwa ajili ya kusaidia watu wanaoshindwa kutembea. Bodaboda 200 ni kidogo sana ..... labda zingekuwa 1000.
Chadema wanapoelekea kwa sasa itakuwa kama UMD kinakufa taratibu, leo hii Chadema wanaandaa Maandamano wanakusanya Bodaboda na Bajaji zaidi ya 200 wajaze Maandamano wanamdanganya nani kama raia wamekaa maandamano yako wanawaonyesha UN ili iweje.
Nani analipa hizo pesa za mafuta na posho kwa bodaboda na bajaji au Mbowe anatoa kweye fungu la ruzuku maana ruzuku yote anakaa nayo Mbowe.
Jambo la kushangaza Chadema anaenda kushataki UN kuwa Bavicha hawana kazi maisha magumu UN atawasaidia ajira?
Hizo pesa kwa nini msianze na vikundi vya Bavicha kuwapa mitaji wafanye kilimo au ujasiliamali.