CHADEMA pumzi imekata, ACT hakiaminiki, vyama vingine havina mvuto. Kwa hali hii watashindana vipi na CCM wakashinda?

CHADEMA pumzi imekata, ACT hakiaminiki, vyama vingine havina mvuto. Kwa hali hii watashindana vipi na CCM wakashinda?

Mtoa mada ameongea kihisia nasio kiuhalisia.CHADEMA ikate pumzi, CCM ingetumia nguvu kukwapua Serikali za mitaa?


Labda nmsaidie Mtoa mada....CCM hata ifanye mambo gan,,WATU WAMECHOKA KUONGOZWA NA CHAMA KIMOJA MIAKA ZAIDI YA 50 NA BADO HALI ZAO ZAKIMAISHA ZKIWA CHINI.
Bado huamini CHADEMA pumzi imekata au nipunguze sauti?
 
This is where the rubber hit the ground. Tough times for opposition. Democracy is self destroying.
 
Back
Top Bottom